Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Mahusiano.

TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.

Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?

Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'

Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.

Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.
Hawa wanawake wa hovyo kiasi hiki huwa mnawaokota wapi
Ndoa ni utapeli.
 
Ndugu Soulja nilishawahi hadi kumlipia baba yake nauli alikuwa anatoka Moshi kuja Dar. Ubaya zaidi mimi huwa ninaandika hela zangu zote nilizotumia isipokuwa msosi na nauli za daladala au Uber. Mambo mengine yote huwa naandika. Huyo demu kwa mwaka 2017 hadi 19 mwishoni nadhani hela jumla nilizotumia kwake zinafika 20m
Duh yan kila mwaka ulikuwa unamuonga 10m ila mkuu yote hayo uko vzr kiuchumi.
 
Alienda Uganda. Kuna kipindi alianza kunitafuta baada ya kuambiwa na marafiki zake kuwa wameanza kuniona napendeza, hapo ni baada ya kupata kazi tena, Ila sikuwahi kumzingatia

Kipindi sina kazi baada ya yeye kuondoka na kuniacha patupu nilikuwa kama niliechanganyikiwa, mchafu, minywele nimeachia, kutembea naongea peke yangu, yaani acheni tu nyie. Nitaleta mkasa humu from A TO Z
Lete mkasa mkuu.tujifunze.
 
mkuu tatizo soko au?
1.2021 mvua zilizidi zikavamia shamba mzigo ukazolewa karibia nusu shamba.
2.2022.Soko liliyumba sana hadi pileti mojaunauza elfu 15
3.2023 ulizuka ugonjwa mmoja wa ajabu sana,nyanya unachuma mchumo wa kwanza unakuta shida zima linanyauka na matunda yanaoza,ilikua patashika sana babu.
 
1.2021 mvua zilizidi zikavamia shamba mzigo ukazolewa karibia nusu shamba.
2.2022.Soko liliyumba sana hadi pileti mojaunauza elfu 15
3.2023 ulizuka ugonjwa mmoja wa ajabu sana,nyanya unachuma mchumo wa kwanza unakuta shida zima linanyauka na matunda yanaoza,ilikua patashika sana babu.
pole chief Market & climate vagaries
 
Ndugu Soulja nilishawahi hadi kumlipia baba yake nauli alikuwa anatoka Moshi kuja Dar. Ubaya zaidi mimi huwa ninaandika hela zangu zote nilizotumia isipokuwa msosi na nauli za daladala au Uber. Mambo mengine yote huwa naandika. Huyo demu kwa mwaka 2017 hadi 19 mwishoni nadhani hela jumla nilizotumia kwake zinafika 20m
Mmh 20M parefu
 
Back
Top Bottom