Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Atakutafuna hadi wewe usipomuangalia uyo mmachame mimi nimeachana nao mwaka jana ila mala nimehama hadi mkoa maana nilihisi mda wote ataniwekea hata sumu au majambazi ao watu ilibidi wazaliwe hamas au Pakistan huko
dah hii kali
 
Kitu kingine nilichojifunza maishani ni swala la kukopesha ndugu na marafiki, I learned this the hard way, nimepoteza hela nyingi sana takribani milioni 9 kwa kusaidia ndugu ambao hawana shukrani, kuna huyo nilimpa milioni 5 hadi leo hajanilipa na hana mpango wa kunipa. Unaenda kudai hela mtu anakuchamba.
Namshukuru mungu nimewasamehe na sina kinyongo na ndugu yangu yeyote, kwa sababu naamini ndugu na rafiki ni watu muhimu sana maishani kuliko hata hela.

Kitu chingine ambacho vijana inabidi tujifunze ni kwamba, kuna kipindi flani katika maisha yetu, mungu hufungulia baraka zake, tunajikuta tunapata hela nyingi sana ambazo sometimes hajutui tuzipeleka wapi au tuzitumiaje.
Huu ni muda ambao inabidi tuwe makini sana kwasababu Lucifer(Ibilisi) hutumia nguvu sana kutuyumbisha na kutuingiza kweny mienendo isiyofaa ili tutumie hela vibaya kwa mambo ambayo siyo ya msingi kama pombe, ngono, kuzurura, mavazi expensive, na expenses zingine zisizo kuwa na umuhimu.

Hakika nakwambia ukiweza kutumia huu muda ambao kipato chako kipo stable na madili yanatiki vizur na kuepukana na zinaa, utakuja kuwa na uzee wa baraka sana, hutasumbuliwa na magonjwa, hutasumbuliwa na uchumi mbovu, utaweza kusaidia familia na ndugu zako wengine vizur, utakuwa baraka kweny ukoo wenu.
Sisemi uongo mm mwenyew ni mhanga wa kwenda viwanja, weekend hivi kama leo nisipoenda viwanja najihic kabisa mwili unauma, japokuwa situmii pombe wala kilevi chochote(kwanza siwez, siku ya kwanza kunywa pombe nilitapika sana)

Ewe kijana mwenzangu ukiona asaiv account yako inacheka basi jua muda wa kuwa makini sana.
Lucifer(Ibilisi) hataki tuwe matajiri, anajua tajiri anaweza kujiamulia maisha ya kuishi, maskini hawez, maskini hata akiambiwa sujudia sanamu nikupe millioni kumi anakubali kwasababu maskini anaamuliwa maisha ya kuishi.

Chingine jamani, tukumbuke kilimo na ufugaji, hasa tulioajiriwa, mkulima huwez kumwona anamlilia mwanasiasa amlipe mshahara, mkulima ana uhakika wa kula hata kama hana hela mfukoni, chochote unachofanya hata kama wewe ni rubani hakikisha unalima na kufuga(sio lazima uwe mkulima mkubwa hata ukiwa na bustani nzuri ya mbogamboga na kuku wa idadi flani inatosha), serikali haitabiriki tuachane na mambo ya kuwategemea wanasiasa hawa.
Mwakani mungu akinibariki naingia kweny kilimo na ufugaji rasmi.
Mkuu una madini sana.. mkuu una madini kwelikweli
 
Atakutafuna hadi wewe usipomuangalia uyo mmachame mimi nimeachana nao mwaka jana ila mala nimehama hadi mkoa maana nilihisi mda wote ataniwekea hata sumu au majambazi ao watu ilibidi wazaliwe hamas au Pakistan huko
Du,kumekuchq
 
Samahanini niko nje ya mada nauliza tu kwani huku wote mmemaliza chuo zamani maana kila nikisoma comment naona 2012,2017 nikijiangalia ndio kwanza nimemaliza this year nimeishiwa nguvu
[emoji23][emoji1787][emoji23] Mi niligraduate 1998
 
Ooooh bado.
Nipo very carefully kufatilia visa humu ndani na kujifunza kupitia visa hivo.

Kwa sababu hiyo mpaka leo nipo mikono salama..

Lakini pia kama haitoshi huwa na screenshot kabisa napitia pitia ili kujikumbusha.
 
Unaishiwaje nguvu sasa?? Ndo wakati wako huu pambana...je tukisema sisi tulomaliza elfu 2013 huko si utazirai... 😇 😇 😇 😀😀
Samahanini niko nje ya mada nauliza tu kwani huku wote mmemaliza chuo zamani maana kila nikisoma comment naona 2012,2017 nikijiangalia ndio kwanza nimemaliza this year nimeishiwa nguvu
 
UZEMBE.

Tukiachana na mahusiano na ulevi UZEMBE ni jambo linalotukwamisha sana vijana kufikia ndoto zetu.
Mimi ni mmoja kati ya wanafunzi waliobahatika kujiunga na elimu ya juu miaka kadhaa ilopita. Nliendekeza uzembe kipindi nikiwa chuo kiasi kwamba suala la kupga msuli sikulichukulia kama ndo kilichoniweka pale.

Mwaka wa kwanza nlipga GBA ya 2.1 na ata ckuwaza as long as bado nliexist kwenye system ya chuo na BOOM lilisoma kama kawa.

Mwaka wa pili pia sikubadili jambo. Aloo!!!! Hamuez amini nlikutana na neno DISCONTINUED likipambwa na maneno haya " reason: GPA below an average. "

Kuanzia apo akili yangu ilitibuka. Nikaona n kama nimetupwa na dunia.nilizunguka kila kona ya mtaa nisione cha kushika mazee 😁😁. Kila mtu nlihisi ananitenga na hatak stori na mimi. Familia yangu ndo kabisaaaaa, si baba, si MAMA, si ndugu, wote walinichukia.

Kwa BAHATI nzuri nilikubaliana na hali ile mapema sana. Niliingia rasmi kitaa, nikafakamia kazi yyte inayopita mbele yangu. Kikubwa iwe halali na iwe na chochote. Nlijitafuta katika mazingira matata sana, nlilala nje siku 9 nikiwa sina pa kuutua mwili wangu baada ya Kazi ngumu za mchana zilizoniacha na buku 3 na uhakika wa kula tu😣😥. Nlipitia vingi lkn nikaona sawa tu, sikuwa na chaguo.

Nliparata mkonge sana, nikauza maji barabaran, nikafanya Kazi kiwanja cha SUNOLA Singida, nikatembeza nguo mwanza (mabatini), mpaka pale nlipoamua kuwa MVUVI. Nimepiga kasia sana yani, apo kdg nikapata MWANGA na kuondoa tongotongo mpaka pale nlipoachana na kasia na kuanza biashara ya kuagiza na kusambaza nyavu. Hapa ndo nikaanza na kuongezeka uzito wa mwili baada ya kuwa mkonde kwa muda mref.

Sikuufagilia uvivu na uzembe popote nlipopita an. Hii imenisaidia mpaka sasa nina miradi kadhaa ambayo inanipa kuishi. Angalau sasa nyumbani wananielewa, uhakika wa kufunga ela ndefu kwa siku upo.

VIJANA TUFANYE KAZI KWA BIDII. UVIVU, UZEMBE, MAHUSIANO MABOVU NA ULEVI tusiviabudu.
Asante mkubwa umesomeka. Mahusiano mabovu yanamchango mkubwa sana kurudisha wanaume nyuma hata wanawake pia
 
MWANAMKE..

Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.

Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.

Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.

Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.

Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Mwanamke jeee,ulimrudisha ??
 
Ulevi wa ngono.

Hiyo ni hatari mkuu.

But jesus rescue me I thank him"
Acha tuu mbususu ni adiction moja hatari...wee ukione mwanamke tuu unataka kidinya mshahara ukifika tuu unachona wewe ni mbususu.
Ila wanawake watamu nyie acheni tuu
 
Mkuu kumlilia mungu tu.
Na kujihukumu nafsi kila unapofanya uraibu huo.
Cha kwanza inatakiwa uanze kujionea aibu wewe mwenyewe binafsi.
JESUS NEVER DISAPPOINT ME SINCE DAY ONE.
HASA KATIKA NYAKATI NGUMU KABISA KWA HALI YA KIBINADAMU.
TATIZO LA URAIBU WA NGONO NI KUKOSA HAMU YA KUENDELEA KUISHI.
UNATAMANI KUJIUA SABABU ROHO YA UZINZI NI MAUTI.
I GO THROUGH IT MKUU NA BILA JESUS NISINGEKUA HAPA LEO
Kutamani kujiua tena kisa mbususu?!!
Wee huonuraibu wako uliambatana na pepp 🤣🤣🤣
 
MWANAMKE..

Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.

Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.

Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.

Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.

Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Aloo wazee mna mioyo ya chuma mnasomeshe mwanamke duh!
HWa ni kuwagegeda tuu na kuwatupa kule
 
Back
Top Bottom