Ndio nyeto gani hiyo hebu ielezee?mwaka 2017 niligundua nyeto kwa kusugulia nanilii yangu kwenye kochi,
maisha yangu hayajawahi kua sawa tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nyeto gani hiyo hebu ielezee?mwaka 2017 niligundua nyeto kwa kusugulia nanilii yangu kwenye kochi,
maisha yangu hayajawahi kua sawa tena
tamaa hizi zitatuua chiefNa mimi kuna demu yuko mpanda uko anasema nitume tu nauli na kwa uchumi uu hapan abaki tu uko.
nimeokota kitu hapa aiseehUZEMBE.
Tukiachana na mahusiano na ulevi UZEMBE ni jambo linalotukwamisha sana vijana kufikia ndoto zetu.
Mimi ni mmoja kati ya wanafunzi waliobahatika kujiunga na elimu ya juu miaka kadhaa ilopita. Nliendekeza uzembe kipindi nikiwa chuo kiasi kwamba suala la kupga msuli sikulichukulia kama ndo kilichoniweka pale.
Mwaka wa kwanza nlipga GBA ya 2.1 na ata ckuwaza as long as bado nliexist kwenye system ya chuo na BOOM lilisoma kama kawa.
Mwaka wa pili pia sikubadili jambo. Aloo!!!! Hamuez amini nlikutana na neno DISCONTINUED likipambwa na maneno haya " reason: GPA below an average. "
Kuanzia apo akili yangu ilitibuka. Nikaona n kama nimetupwa na dunia.nilizunguka lila kona ya mtaa nisione cha kushika mazee 😁😁. Kila mtu nlihisi ananitenga na hatak stori na mimi. Familia yangu ndo kabisaaaaa, si baba, si MAMA, si ndugu, wote walinichukia an.
Kwa BAHATI nzuri nilikubaliana na hali ile mapema sana. Niliingia rasmi kitaa, nikafakamia kazi yyte inayopita mbele yangu. Kikubwa iwe halali na iwe na chochote. Nlijitafuta katika mazingira matata sana, nlilala nje siku 9 nikiwa sina pa kuutua mwili wangu baada ya Kazi ngumu za mchana zilizoniacha na buku 3 na uhakika wa kula tu😣😥. Nlipitia vingi lkn nikaona sawa tu, alaf fresh tu.
Nliparata mkonge sana, nikauza maji barabaran, nikafanya Kazi kiwanja cha SUNOLA Singida, nikatembeza nguo mwanza, mpaka pale nlipoamua kuwa MVUVI. Nimepiga kasia sana yani, apo kdg nikipata MWANGA na kuondoka tongotongo mpaka pale nlipoachana na kasia na kuanza biashara ya kuagiza na kusambaza nyavu. Hapa ndo nikaanza na kuongezeka uzito baada ya kuwa mkonde kwa muda mref.
Sikuufagilia uvivu na uzembe popote nlipopita an. Hii imenisaidia mpaka sasa nina miradi kadhaa ambayo inanipa kuishi. Angalau sasa nyumbani wananielewa, uhakika wa kufunga ela ndefu kwa mwezi upo.
VIJANA TUFANYE KAZI KWA BIDII. UVIVU, UZEMBE, MAHUSIANO MABOVU NA ULEVI tusiviabudu.
ulisoma history and kiswahili mkuu??Kusoma course mbaya chuoni,
Education ya Art soko liko tight jamaa angu ana hustle anapiga kazi ngumu.ulisoma history and kiswahili mkuu??
MUNGU ampiganieEducation ya Art soko liko tight jamaa angu ana hustle anapiga kazi ngumu.
Ndoivo namuambia jamaa komaa kama ipo ipo tu.MUNGU ampiganie
Education ya Art soko liko tight jamaa angu ana hustle anapiga kazi ngumu
tena hohehahe wa kanda ya kusini hawasaidiani kabisa.Janga kubwa sana hili linatutesa wengi Hasa ukitokea 👪 hohehae
Ila mungu ni mwema tunasogea kidogokidogo, pia kikubwa kuomba uzima wa afya ya mwili na akili
nadhani kusini na kanda ya Kati ni kama kulwa na dototena hohehahe wa kanda ya kusini hawasaidiani kabisa.
afadhali kaskazini
je inaweza sababisha uchizi?hahaaa nyeto ni mbaya sana zinaua neva za ubongo , vp bdo hujaacha?
roho mbaya na kuji mwambafai mbele za watu ndio zaonadhani kusini na kanda ya Kati ni kama kulwa na doto
Hasa penye ulevi hapoulichukua hatua gani mpaka ukafanikiwa coz ni jambo gumu sana?
sina hakika. ila vijana tuipuke nyetoje inaweza sababisha uchizi?
mwaka 2017 niligundua nyeto kwa kusugulia nanilii yangu kwenye kochi,
maisha yangu hayajawahi kua sawa tena
Fafanua mkuu mbona hatuelewi vizurmwaka 2017 niligundua nyeto kwa kusugulia nanilii yangu kwenye kochi,
maisha yangu hayajawahi kua sawa tena