Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Mkuu upo sahii na kasome uzi wangu wa mungu wa walokoleJapo hamna kilichovurugika kiivo lkn tangu nirudi nyuma kiimani nahis Kuna namna sipo vzr kiivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo sahii na kasome uzi wangu wa mungu wa walokoleJapo hamna kilichovurugika kiivo lkn tangu nirudi nyuma kiimani nahis Kuna namna sipo vzr kiivo
Mungu anasemehe maana watu tumefanya mabaya kuliko hata wewe.Hakuna kingine, starehe tu..
Mwenyezi Mungu anisamehe kwa kufuru nilizofanya, namuomba pia anifanyie wepesi nikae kwenye mstari na kuachana na haya maujinga yangu.
Sipendi kuyasema ili ni mambo magumu sana, kuna watu wakiyajua hata robo tu wataogopa sana, naamini Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atanipa wepesi wakubadilika na kuyaacha haya, nafsi yangu inayajutia na kuna mahala binafsi najiogopa sana..
Dogo yuko wapi?MWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.
Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.
Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.
Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.
Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Maisha noumaa aiseee... Wakati mwingine tunafanya makosa ambayo dah yanagharimu sanaa
Hongera sana....Mungu akutie nguvu usimame imaraMWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.
Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.
Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.
Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.
Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Pole sana ndugu yangukumueleza jamaa yangu mipango ya upigaji dili kampuni flani, jamaa akaenda kutuchoma kwa wivu wake hadi sasa tunahangaika kumaliza msala.
pombe sio SIGARAMWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.
Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.
Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.
Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.
Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Hayo maneno yataje ndio dhumuni la uzi huu tuelimike,tujengeke na tusaidianePolee mkuu, nahisi maumivu yako.
Kuna mwanamke nilishawahi ku-date naye miaka ya nyuma, aisee nilimpenda sana na hali yake ya kunitegemea mm kwa kila kitu ndo ilinifanya nimpende zaidi na zaidi.
Aliniomba ahamie ghetto kwangu, kwa upumbavu wa kupenda uchi nikakubali, kumbe nafuga shetani, aisee nilikuwa namnunulia kila kitu mzee...chupi, pads, vocha yaan like 95% ya mahitaji yake yote ela ilitoka mfukoni kwangu.
Sasa kuna kipindi nilipatwa na matatizo, uwezo wangu wa kumhudumia ukapungua, aisee niliona kila rangi, sikuamini yale maneno yalitoka kinywani mwake. Kuna maneno alinambia bado nayakumbuka, ndo maana hadi leo naogopa wanawake wa Tanga.
Nimeusoma mwanzon ila update zilizofuata ndo bado sijapitia ila ntasoma zote!Mkuu upo sahii na kasome uzi wangu wa mungu wa walokole
Na mimi kuna demu yuko mpanda uko anasema nitume tu nauli na kwa uchumi uu hapan abaki tu uko.aisee uzinzi,na huruma nyingi kw watu zilinitudisha nyuma,ilikuwa nikipata pesa tu mtu yeyote nikikutana nae analia lia haana hata buku 5 nampatia,,kuhusu uzinzi unakuta mdada anaishi mkoa wa mbali kbs ila unajitoa kumtumia nauli na akija anakaa hata wiki 2 hizo zote unamhudumia aisee,mpk akatoke ushaisha kila idara,😒🖐️
Mmh pole sana ndugu yanguMahusiano.
TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.
Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?
Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'
Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.
Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.
Bora Beting kuliko ngono na uleviMkuu unasema ukweli kabisa nilipoteza 1.6 kwa wiki tu kwa ajili ya uraibu wa ngono na pombe.
Roho iliniuma sana,,wakati kuna watu hata laki moja hawapati kwa wiki.
Nikaamua kubadilika
Brother nakupa pongezi sana kwa kutufungua macho, unachosema ni kweli kabisa. Sisi watanzania siasa za ujamaa zimeturudisha nyuma sana. Yaani unakuta mtu anasubiri kupewa, kuna msemo "mgaa mgaa na upwa hali wali mkavu". Amini usiamini ukipambana na ukizunguka utakuja kukutana na fursa ambazo hukutegema kukutaa nazo.UZEMBE.
Tukiachana na mahusiano na ulevi UZEMBE ni jambo linalotukwamisha sana vijana kufikia ndoto zetu.
Mimi ni mmoja kati ya wanafunzi waliobahatika kujiunga na elimu ya juu miaka kadhaa ilopita. Nliendekeza uzembe kipindi nikiwa chuo kiasi kwamba suala la kupga msuli sikulichukulia kama ndo kilichoniweka pale.
Mwaka wa kwanza nlipga GBA ya 2.1 na ata ckuwaza as long as bado nliexist kwenye system ya chuo na BOOM lilisoma kama kawa.
Mwaka wa pili pia sikubadili jambo. Aloo!!!! Hamuez amini nlikutana na neno DISCONTINUED likipambwa na maneno haya " reason: GPA below an average. "
Kuanzia apo akili yangu ilitibuka. Nikaona n kama nimetupwa na dunia.nilizunguka lila kona ya mtaa nisione cha kushika mazee 😁😁. Kila mtu nlihisi ananitenga na hatak stori na mimi. Familia yangu ndo kabisaaaaa, si baba, si MAMA, si ndugu, wote walinichukia an.
Kwa BAHATI nzuri nilikubaliana na hali ile mapema sana. Niliingia rasmi kitaa, nikafakamia kazi yyte inayopita mbele yangu. Kikubwa iwe halali na iwe na chochote. Nlijitafuta katika mazingira matata sana, nlilala nje siku 9 nikiwa sina pa kuutua mwili wangu baada ya Kazi ngumu za mchana zilizoniacha na buku 3 na uhakika wa kula tu😣😥. Nlipitia vingi lkn nikaona sawa tu, alaf fresh tu.
Nliparata mkonge sana, nikauza maji barabaran, nikafanya Kazi kiwanja cha SUNOLA Singida, nikatembeza nguo mwanza, mpaka pale nlipoamua kuwa MVUVI. Nimepiga kasia sana yani, apo kdg nikipata MWANGA na kuondoka tongotongo mpaka pale nlipoachana na kasia na kuanza biashara ya kuagiza na kusambaza nyavu. Hapa ndo nikaanza na kuongezeka uzito baada ya kuwa mkonde kwa muda mref.
Sikuufagilia uvivu na uzembe popote nlipopita an. Hii imenisaidia mpaka sasa nina miradi kadhaa ambayo inanipa kuishi. Angalau sasa nyumbani wananielewa, uhakika wa kufunga ela ndefu kwa mwezi upo.
VIJANA TUFANYE KAZI KWA BIDII. UVIVU, UZEMBE, MAHUSIANO MABOVU NA ULEVI tusiviabudu.
Pamoja mkuuNimeusoma mwanzon ila update zilizofuata ndo bado sijapitia ila ntasoma zote!
Mada zako zote hua nazisoma kwa umakini
Kweli kabisa mkuuBora Beting kuliko ngono na ulevi
Coz gan?Kusoma course mbaya chuoni,
hahaha niko mpanda huku naomba nimtumie mimiNa mimi kuna demu yuko mpanda uko anasema nitume tu nauli na kwa uchumi uu hapan abaki tu uko.