Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Hakuna kingine, starehe tu..
Mwenyezi Mungu anisamehe kwa kufuru nilizofanya, namuomba pia anifanyie wepesi nikae kwenye mstari na kuachana na haya maujinga yangu.
Sipendi kuyasema ili ni mambo magumu sana, kuna watu wakiyajua hata robo tu wataogopa sana, naamini Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atanipa wepesi wakubadilika na kuyaacha haya, nafsi yangu inayajutia na kuna mahala binafsi najiogopa sana..
Mwenyezi Mungu anisamehe kwa kufuru nilizofanya, namuomba pia anifanyie wepesi nikae kwenye mstari na kuachana na haya maujinga yangu.
Sipendi kuyasema ili ni mambo magumu sana, kuna watu wakiyajua hata robo tu wataogopa sana, naamini Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atanipa wepesi wakubadilika na kuyaacha haya, nafsi yangu inayajutia na kuna mahala binafsi najiogopa sana..