Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Ulevi wa ngono.
Hiyo ni hatari mkuu.
But jesus rescue me""" I thank him""
hongera sana , mimi najaribu lakini wapi
kuna binti mmoja akinichek tu
lazima nibadili mawazo hata kama sitaki kupiga mzigo siku hiyoa
 

Attachments

  • Screenshot_20231109-205626_Messages.jpg
    Screenshot_20231109-205626_Messages.jpg
    88.4 KB · Views: 18
MWANAMKE..

Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.

Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.

Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.

Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.

Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Pole sana. Kaka
 
MWANAMKE..

Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.

Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.

Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.

Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.

Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Mkuu kwa heshima tunaomba ufungue uzi wa hiki kisa, please usiache kinitag.
 
Kuanza kuishi na mwanamke mwaka 2012.Kiukweli nilitakiwa kuanza kuishi na mwanamke mwaka 2025.It was tough.
Kama mimi ndugu yangu, ile namaliza shule tu naingia mtaani 2009 nakutana na dada mmoja kwa huruma na mapenzi nikamchukua geto nilikaa miaka minne alitemana na mimi kama mtu ambaye hajawahi kuonana naye maishani mwake, nilipoteza vingi kwa ajili yake, hadi leo 2023 japo nina maisha mengine lakini athari za yule dada bado zipo.
Mapenzi na huruma zetu wanaume dhidi ya wanawake zimechangia sana kutuwekea kwenye daraja la umaskini kwa kiasi kikubwa.
 
Forex

Mwaka 2017 ninamaliza chuo nikakutana na hilo dubwana mkuu wa kuinfluence bwana ontario...kwanza niseme ktk watu waliopata utam wa hii kitu kipnd kile tupo kwenye magroup ya wale wasouth aliewaleta ontario na mm nilikuemo niliweza kupandisha dola 100 mpaka 5000,,,kula bata club madem yaan unaish km vile muvi ukienda kwenye computer ukiclick masaa2 maokoto hayo km yote...mapcha pcha yakaaza mara soko liende tofauti mara tamaa ya kutaka utajir chap mara broker acheze na machart mara news yani balaa kipindi hiko ndugu zangu wananipgia connection za kazi mara hii mara ile wengine full kunifata adi nyumbani kwann sionyeshi ushirikiano mm wala sieleweki najiona nimepata deal kumbe mm ndio deal lenyewe mpk kufika 2019 nimeshakua km teja yani akili inawaza malambogn ferari mansion...huku nikuchoma account na kufund account uko kwenye circle ile ile mpaka nakuja kushtuka nimepoteza mda na pesa kibao na kazi kibao daah yaan acheni kabsa..2020 nikaachana kabsa na fx nikabadili mfumo wa maisha nikaanzsha biashara ndogo ile biashara ikazaa nyngne, nikakuza mtaji now nipo kkoo napambania kombe alhamdulilah bado najitafuta sjajipata vzur ila 7figure kwenye account znasoma.

Hustler migogoro junior
 
Safari yetu ya utafutaji katika dunia hii imejaa misukosuko mingi sana either ya kifamilia, ndoa, kazi na kipato.

Wapo watu chungu nzima dunia hii inawasulubu na hawajui wafanye nini kila wanalofanya linakwama iwe ajira, mahusiano na kipato.

Wapo watu ambao mambo yao yamewanyokea kutokana na juhudi zao saizi wana usafiri, wanavaa safi na kusaidia familia zao kiasi kwamba wanaona wengine wazembe

Mfano mimi nimewahi pata msala katika utafutaji kama sio ndugu na washkaji zangu kunipa faraja, ushauri sidhani kama ningefika hatua moja mbele. Ilifika hatua nikamuomba MUNGU.

why Umeruhusu haya majaribu?

Shusha uzoefu wako ni msukosuko upi huwezi usahau ,na ulijikwamua vipi?

Na ambao mambo bado tafrani wafanyaje waweze kupata nafuu?

Wanawake,mikopo,usimamizi wa karibu.
 
Back
Top Bottom