Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

MWANAMKE..

Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.

Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.

Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.

Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.

Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Umeoa mwanmke gani kabla gani Hilo
 
Shusha uzoefu wako ni msukosuko upi huwezi usahau ,na ulijikwamua vipi?

Na ambao mambo bado tafrani wafanyaje waweze kupata nafuu?
Nishafukuzwa interview kibao mpaka nikakata tamaa nikaenda interview moja kuna documents sikwenda nayo nikatolewa baru nikaambiwa kalete hio documents hapo ningekua na hio documents nilikua napewa mkataba nianze kazi nikaondoka nikajua kote ndio wale wale baada ya siku 2 nikatafutwa wananipigia simu wananiambia nipeleke documents nikasaini mkataba nianze kazi

Nyingine nikaenda nikafanya written nikajua tu hapa sijui km nitaitwa maana haikua rahisi nimekaa zangu nishasahau kuhusu habari za interview Sina hili Wala lile nasikia simu inaita napokea naambiwa naongea na 'Mpetde' Mimi najibu ndio naambiwa njoo kwenye oral siku fulani mda fulani ile written umepasua

Maisha haya.....

😆😆😆🤪
 
Usisingizie forex singizia akili zako mbovu
Forex
Mwaka 2017 ninamaliza chuo nikakutana na hilo dubwana mkuu wa kuinfluence bwana ontario.kwanza niseme ktk watu waliopata utam wa hii kitu kipnd kile tupo kwenye magroup ya wale wasouth aliewaleta ontario na mm nilikuemo niliweza kupandisha dola 100 mpaka 5000 kula bata club madem yaan unaish km vile muvi ukienda kwenye computer ukiclick masaa2 maokoto hayo km yote mapcha pcha yakaaza mara soko liende tofauti mara tamaa ya kutaka utajir chap mara broker acheze na machart mara news yani balaa kipindi hiko ndugu zangu wananipgia connection za kazi mara hii mara ile wengine full kunifata adi nyumbani kwann sionyeshi ushirikiano mm wala sieleweki najiona nimepata deal kumbe mm ndio deal lenyewe mpk kufika 2019 nimeshakua km teja yani akili inawaza malambogn ferari mansion.huku nikuchoma account na kufund account uko kwenye circle ile ile mpaka nakuja kushtuka nimepoteza mda na pesa kibao na kazi kibao daah yaan acheni 2020 nikaachana kabsa na fx nikabadili mfumo wa maisha nikaanzsha biashara ndogo ile biashara ikazaa nyngne, nikakuza mtaji now nipo kkoo napambania kombe alhamdulilah bado najitafuta sjajipata vzur ila 7figure kwenye account znasoma.

Hustler migogoro junior
 
Kama mimi ndugu yangu, ile namaliza shule tu naingia mtaani 2009 nakutana na dada mmoja kwa huruma na mapenzi nikamchukua geto nilikaa miaka minne alitemana na mimi kama mtu ambaye hajawahi kuonana naye maishani mwake, nilipoteza vingi kwa ajili yake, hadi leo 2023 japo nina maisha mengine lakini athari za yule dada bado zipo.
Mapenzi na huruma zetu wanaume dhidi ya wanawake zimechangia sana kutuwekea kwenye daraja la umaskini kwa kiasi kikubwa.
Polee mkuu, nahisi maumivu yako.

Kuna mwanamke nilishawahi ku-date naye miaka ya nyuma, aisee nilimpenda sana na hali yake ya kunitegemea mm kwa kila kitu ndo ilinifanya nimpende zaidi na zaidi.

Aliniomba ahamie ghetto kwangu, kwa upumbavu wa kupenda uchi nikakubali, kumbe nafuga shetani, aisee nilikuwa namnunulia kila kitu mzee...chupi, pads, vocha yaan like 95% ya mahitaji yake yote ela ilitoka mfukoni kwangu.

Sasa kuna kipindi nilipatwa na matatizo, uwezo wangu wa kumhudumia ukapungua, aisee niliona kila rangi, sikuamini yale maneno yalitoka kinywani mwake. Kuna maneno alinambia bado nayakumbuka, ndo maana hadi leo naogopa wanawake wa Tanga.
 
Polee mkuu, nahisi maumivu yako.

Kuna mwanamke nilishawahi ku-date naye miaka ya nyuma, aisee nilimpenda sana na hali yake ya kunitegemea mm kwa kila kitu ndo ilinifanya nimpende zaidi na zaidi.

Aliniomba ahamie ghetto kwangu, kwa upumbavu wa kupenda uchi nikakubali, kumbe nafuga shetani, aisee nilikuwa namnunulia kila kitu mzee...chupi, pads, vocha yaan like 95% ya mahitaji yake yote ela ilitoka mfukoni kwangu.

Sasa kuna kipindi nilipatwa na matatizo, uwezo wangu wa kumhudumia ukapungua, aisee niliona kila rangi, sikuamini yale maneno yalitoka kinywani mwake. Kuna maneno alinambia bado nayakumbuka, ndo maana hadi leo naogopa wanawake wa Tanga.
Pole
 
Back
Top Bottom