To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Ndo maana nakupenda...ulipokimbilia ni sehemu sahihiUlevi wa ngono.
Hiyo ni hatari mkuu.
But jesus rescue me""" I thank him""
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana nakupenda...ulipokimbilia ni sehemu sahihiUlevi wa ngono.
Hiyo ni hatari mkuu.
But jesus rescue me""" I thank him""
Very bad, tunapenda hela Mkuu....yaan sisi bhana😓MWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja...
Nawajua, ndio maana nimeamua nienjoy2 mwenyeweVery bad,tunapenda hela Mkuu....yaan sisi bhana😓
Nawajua, ndio maana nimeamua nienjoy2 mwenyewe
Baki hivyohivyo mpaka uamue kweli....pole sanaNawajua, ndio maana nimeamua nienjoy2 mwenyewe
Asante mkuu. Mtihani wangu huo na mimi. Jiandae kinisahihisha madam😀😀Baki hivyohivyo mpaka uamue kweli....pole sana
Mi mwenyewe natamani kusahishiwa ila naogopa nitakutwa na makosa tuAsante mkuu. Mtihani wangu huo na mimi. Jiandae kinisahihisha madam😀😀
Huu ulevi mzuri hauna shidaUlevi wa ngono.
Hiyo ni hatari mkuu.
But jesus rescue me""" I thank him""
Hakuna mkamilifu mkuu. Kila mmoja ana madhaifu yake ndio maana sijutii tena suala lile. Nilijua sababu ni mapungufu yangu tu, kushindwa kuendelea kuwa na uchumi mzuri kama awaliMi mwenyewe natamani kusahishiwa ila naogopa nitakutwa na makosa tu
Ladies and gentlemen, I bring you... WomenMWANAMKE..
Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.
Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.
Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.
Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.
Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Bado upo unaendelea kupiga ya mwishobado mkuu, ila napambana
hatari sanamwaka 2017 niligundua nyeto kwa kusugulia nanilii yangu kwenye kochi,
maisha yangu hayajawahi kua sawa tena
Underrated comment.Kuiamini C. C. M.
Yeah,kweli umekuwa mkubwa sasaHakuna mkamilifu mkuu. Kila mmoja ana madhaifu yake ndio maana sijutii tena suala lile. Nilijua sababu ni mapungufu yangu tu, kushindwa kuendelea kuwa na uchumi mzuri kama awali
hatari sanamwaka 2017 niligundua nyeto kwa kusugulia nanilii yangu kwenye kochi,
maisha yangu hayajawahi kua sawa tena
I feel you broo, jau knoma hio.kumueleza jamaa yangu mipango ya upigaji dili kampuni flani, jamaa akaenda kutuchoma kwa wivu wake hadi sasa tunahangaika kumaliza msala.
hatari sanamwaka 2017 niligundua nyeto kwa kusugulia nanilii yangu kwenye kochi,
maisha yangu hayajawahi kua sawa tena
@dronedrakehahaaa nyeto ni mbaya sana zinaua neva za ubongo , vp bdo hujaacha?