Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Kijana, Wapi uliteleza hadi kuharibikiwa kimaisha?

Kitu kingine nilichojifunza maishani ni swala la kukopesha ndugu na marafiki, I learned this the hard way, nimepoteza hela nyingi sana takribani milioni 9 kwa kusaidia ndugu ambao hawana shukrani, kuna huyo nilimpa milioni 5 hadi leo hajanilipa na hana mpango wa kunipa. Unaenda kudai hela mtu anakuchamba.
Namshukuru mungu nimewasamehe na sina kinyongo na ndugu yangu yeyote, kwa sababu naamini ndugu na rafiki ni watu muhimu sana maishani kuliko hata hela.

Kitu chingine ambacho vijana inabidi tujifunze ni kwamba, kuna kipindi flani katika maisha yetu, mungu hufungulia baraka zake, tunajikuta tunapata hela nyingi sana ambazo sometimes hajutui tuzipeleka wapi au tuzitumiaje.
Huu ni muda ambao inabidi tuwe makini sana kwasababu Lucifer(Ibilisi) hutumia nguvu sana kutuyumbisha na kutuingiza kweny mienendo isiyofaa ili tutumie hela vibaya kwa mambo ambayo siyo ya msingi kama pombe, ngono, kuzurura, mavazi expensive, na expenses zingine zisizo kuwa na umuhimu.

Hakika nakwambia ukiweza kutumia huu muda ambao kipato chako kipo stable na madili yanatiki vizur na kuepukana na zinaa, utakuja kuwa na uzee wa baraka sana, hutasumbuliwa na magonjwa, hutasumbuliwa na uchumi mbovu, utaweza kusaidia familia na ndugu zako wengine vizur, utakuwa baraka kweny ukoo wenu.
Sisemi uongo mm mwenyew ni mhanga wa kwenda viwanja, weekend hivi kama leo nisipoenda viwanja najihic kabisa mwili unauma, japokuwa situmii pombe wala kilevi chochote(kwanza siwez, siku ya kwanza kunywa pombe nilitapika sana)

Ewe kijana mwenzangu ukiona asaiv account yako inacheka basi jua muda wa kuwa makini sana.
Lucifer(Ibilisi) hataki tuwe matajiri, anajua tajiri anaweza kujiamulia maisha ya kuishi, maskini hawez, maskini hata akiambiwa sujudia sanamu nikupe millioni kumi anakubali kwasababu maskini anaamuliwa maisha ya kuishi.

Chingine jamani, tukumbuke kilimo na ufugaji, hasa tulioajiriwa, mkulima huwez kumwona anamlilia mwanasiasa amlipe mshahara, mkulima ana uhakika wa kula hata kama hana hela mfukoni, chochote unachofanya hata kama wewe ni rubani hakikisha unalima na kufuga(sio lazima uwe mkulima mkubwa hata ukiwa na bustani nzuri ya mbogamboga na kuku wa idadi flani inatosha), serikali haitabiriki tuachane na mambo ya kuwategemea wanasiasa hawa.
Mwakani mungu akinibariki naingia kweny kilimo na ufugaji rasmi.
hapa nimechukua kitu mkuu
 
1. Kufanya partnership na mtoto 2a kishua.

Baada ya kufunga ndoa nilikuwa sina ajira nikachukua zile hela za zawaditunazope2a na kamati. Baadhi nikanunua bodaboda enzi zile chombo ilikuwa fekon 150. Nyingine nikafungua duka la uzushi la chakula na kufanya mishe zingine.
Sasa kutokana na kuwa na njaa ya mafanikio pale kwenye fremu nilizokuwa nimepanga alikuwa Mzee mmoja wa kishua ameritire alikuwa na vijana wake rika sawa na wote tulikuwa tumemaliza degree za kwanza. Walikiwa na Yale mafriza makubwaa sijui futi sita walikuwa wameliweka ndani.
Huku shop ikiwa inaendelea kuchanganya kwa kuwadaka kama ntilie wanakopa jioni maharage, unga wa ngano, mafuta na Michele kesho yake wanafanya biashara jioni tena wanarudisha, wakawa wanafuata samaki mbagara. Nikaona hii fursa. Nikawashawishi wale vijana kuwa hii fursa tujipange mimi nakodi fremu kwa Mzee na nyie mtoe friza kwa mshua mimi nitatoa mtaji wa kuuza samaki tuuze tugawane faida itakayopatikana. WIFE ALINIONYA AKASEMA BORA TUKOPE FRIZA JAPO KWA KUANZIA DOGO,

Tukaandika proposal kupeleka kwa mshua wao akasema very good. Mimi nawapa fremu Bure na akaweka order ya samaki tasi kwa wiki kilo 4.
Enzi box la samaki yalikuwa kati ya kilo 10 Hadi 20 pale mbagara. So unatakiwa udamke asubuhi unaingia pale mbagara kwa nyuma unachukua mzigo kilo zako 30 za samaki aina tofauti tofauti huku wameganda wakifika utawadumbikiza kwa friza.

Mtaji ulikuwa kama 300k niliotenga.

Biashara tulikuwa tunafanya vyema japo mwanzoni ilikuwa na ugumu fulani maana wateja wapo scarted, faida ilikuwa ukinunua mzigo wa 60 unapata 30 au 40 kabisa. Maana kilo unanunua 6000 jumla unauza 10 au 9.
.tukafikia Hadi kilo 100 kwa wiki..
Sasa kutokana na kuoenda kazi mimi nikawa natafuta soko kwa mama ntilie, wadosi wa kanisani, mtaani, kwenye kuuza nikawa nawachia majamaa.

Sasa kwa sababu fremu ipo karibu na nyumbani, wanakaa wanaangalia tv na maseries mteja anaita wee mwishowe wanaondoka. Muda mwingine wanaitwa na wife wanamuuliza anataka kilo ngapi alisema kilo au nusu wanasema anatusumbua. Au unaweza ukawa umepigiwa simu na mama ntilie.naomba niletee samaki kilo 2 wanakujibu poa then hawapeleki wapo busy na tv. Generally walikiwa ni wavivu sana. Ila faida wanapenda

Siku moja nikawaonyesha msg toka kwa mdosi analalamika jamaa walivyomjibu mke wake shits.. nikamwomba msamaha.

Mzigo ulipokuwa mkubwa kubeba hizo kilo mia Mzee wao alitupa kirukuu tubebe samaki badala ya kukodi Bajaj,

Machangamoto yakaanza.
1. Wakienda wao mzigo wanachukia wa Bei rahisi kumbe umeanza kuchili then wakiwa box hawapokei serious na kazi wanakaa kwenye gari wanapakia mzigo mbovu. Kwa hiyo kama tasi wamechukua 20 kg maana watauza mbili au 3 then 17 inatupa au unauzia nusu Bei ila uwe umekwangua mifupa pembeni ndo wanakubali kununua huo mzigo.mbovu.
Ukiwaambia wanakujibu utakuwa tajiri kwa 5m au 2m wewe tafuta hela uagize mzigo mwanza. Kwanza faida hakuna kwa sababu vitu vingi tumepewa buree kwa tukiweka real investment hakuna faida hapa. Then wanajadili bifu la kalapina na chid benzi sijui diamond na mtu gani.

2. Hawaheshimu hela ndogo ndogo anajiunga bundle na hela ya mauzi dukani then anasema faida yake kaitumia. Au akiwa na ratiba ya kugonga Malaya anachukua 50 hapo then anasepa.
3. Show off zikawa nyingi. Anakuja na mademu zao anawaonyesha hapo ndo nipo now days anashinda hapo hafanyi kazi ataingia mchana akula demu wake wakati wa kuondoka anakuja anakuomba nauli then anamsindikizq demu wake. Sasa Ukiwaambia ukweli wanakuona mdwanzi. Wakati wewe ukipata kifaida unaweza upanue biashara, ufanye maendeleo kidogo..

Sasa niliwahi kuitwa kwenye kazi ya muda wa miezi 6 hivi yankusafiri ilikuwa inalipa maana kwa siku walikuwa wanatoa kama 75 hivi.

Nimeeenda nimekaa miezi miwili nikaambiwa biashara imekufa...

Yani kama ningekomaa mwenyewe ningekuwa mbali...

Usifanye biashara wa watoto wa kishua
 
1. Kufanya partnership na mtoto 2a kishua.

Baada ya kufunga ndoa nilikuwa sina ajira nikachukua zile hela za zawaditunazope2a na kamati. Baadhi nikanunua bodaboda enzi zile chombo ilikuwa fekon 150. Nyingine nikafungua duka la uzushi la chakula na kufanya mishe zingine.
Sasa kutokana na kuwa na njaa ya mafanikio pale kwenye fremu nilizokuwa nimepanga alikuwa Mzee mmoja wa kishua ameritire alikuwa na vijana wake rika sawa na wote tulikuwa tumemaliza degree za kwanza. Walikiwa na Yale mafriza makubwaa sijui futi sita walikuwa wameliweka ndani.
Huku shop ikiwa inaendelea kuchanganya kwa kuwadaka kama ntilie wanakopa jioni maharage, unga wa ngano, mafuta na Michele kesho yake wanafanya biashara jioni tena wanarudisha, wakawa wanafuata samaki mbagara. Nikaona hii fursa. Nikawashawishi wale vijana kuwa hii fursa tujipange mimi nakodi fremu kwa Mzee na nyie mtoe friza kwa mshua mimi nitatoa mtaji wa kuuza samaki tuuze tugawane faida itakayopatikana. WIFE ALINIONYA AKASEMA BORA TUKOPE FRIZA JAPO KWA KUANZIA DOGO,

Tukaandika proposal kupeleka kwa mshua wao akasema very good. Mimi nawapa fremu Bure na akaweka order ya samaki tasi kwa wiki kilo 4.
Enzi box la samaki yalikuwa kati ya kilo 10 Hadi 20 pale mbagara. So unatakiwa udamke asubuhi unaingia pale mbagara kwa nyuma unachukua mzigo kilo zako 30 za samaki aina tofauti tofauti huku wameganda wakifika utawadumbikiza kwa friza.

Mtaji ulikuwa kama 300k niliotenga.

Biashara tulikuwa tunafanya vyema japo mwanzoni ilikuwa na ugumu fulani maana wateja wapo scarted, faida ilikuwa ukinunua mzigo wa 60 unapata 30 au 40 kabisa. Maana kilo unanunua 6000 jumla unauza 10 au 9.
.tukafikia Hadi kilo 100 kwa wiki..
Sasa kutokana na kuoenda kazi mimi nikawa natafuta soko kwa mama ntilie, wadosi wa kanisani, mtaani, kwenye kuuza nikawa nawachia majamaa.

Sasa kwa sababu fremu ipo karibu na nyumbani, wanakaa wanaangalia tv na maseries mteja anaita wee mwishowe wanaondoka. Muda mwingine wanaitwa na wife wanamuuliza anataka kilo ngapi alisema kilo au nusu wanasema anatusumbua. Au unaweza ukawa umepigiwa simu na mama ntilie.naomba niletee samaki kilo 2 wanakujibu poa then hawapeleki wapo busy na tv. Generally walikiwa ni wavivu sana. Ila faida wanapenda

Siku moja nikawaonyesha msg toka kwa mdosi analalamika jamaa walivyomjibu mke wake shits.. nikamwomba msamaha.

Mzigo ulipokuwa mkubwa kubeba hizo kilo mia Mzee wao alitupa kirukuu tubebe samaki badala ya kukodi Bajaj,

Machangamoto yakaanza.
1. Wakienda wao mzigo wanachukia wa Bei rahisi kumbe umeanza kuchili then wakiwa box hawapokei serious na kazi wanakaa kwenye gari wanapakia mzigo mbovu. Kwa hiyo kama tasi wamechukua 20 kg maana watauza mbili au 3 then 17 inatupa au unauzia nusu Bei ila uwe umekwangua mifupa pembeni ndo wanakubali kununua huo mzigo.mbovu.
Ukiwaambia wanakujibu utakuwa tajiri kwa 5m au 2m wewe tafuta hela uagize mzigo mwanza. Kwanza faida hakuna kwa sababu vitu vingi tumepewa buree kwa tukiweka real investment hakuna faida hapa. Then wanajadili bifu la kalapina na chid benzi sijui diamond na mtu gani.

2. Hawaheshimu hela ndogo ndogo anajiunga bundle na hela ya mauzi dukani then anasema faida yake kaitumia. Au akiwa na ratiba ya kugonga Malaya anachukua 50 hapo then anasepa.
3. Show off zikawa nyingi. Anakuja na mademu zao anawaonyesha hapo ndo nipo now days anashinda hapo hafanyi kazi ataingia mchana akula demu wake wakati wa kuondoka anakuja anakuomba nauli then anamsindikizq demu wake. Sasa Ukiwaambia ukweli wanakuona mdwanzi. Wakati wewe ukipata kifaida unaweza upanue biashara, ufanye maendeleo kidogo..

Sasa niliwahi kuitwa kwenye kazi ya muda wa miezi 6 hivi yankusafiri ilikuwa inalipa maana kwa siku walikuwa wanatoa kama 75 hivi.

Nimeeenda nimekaa miezi miwili nikaambiwa biashara imekufa...

Yani kama ningekomaa mwenyewe ningekuwa mbali...

Usifanye biashara wa watoto wa kishua
very interesting
 
Safari yetu ya utafutaji katika dunia hii imejaa misukosuko mingi sana either ya kifamilia, ndoa, kazi na kipato.

Wapo watu chungu nzima dunia hii inawasulubu na hawajui wafanye nini kila wanalofanya linakwama iwe ajira, mahusiano na kipato.

Wapo watu ambao mambo yao yamewanyokea kutokana na juhudi zao saizi wana usafiri, wanavaa safi na kusaidia familia zao kiasi kwamba wanaona wengine wazembe

Mfano mimi nimewahi pata msala katika utafutaji kama sio ndugu na washkaji zangu kunipa faraja, ushauri sidhani kama ningefika hatua moja mbele. Ilifika hatua nikamuomba MUNGU.

why Umeruhusu haya majaribu?

Shusha uzoefu wako ni msukosuko upi huwezi usahau ,na ulijikwamua vipi?

Na ambao mambo bado tafrani wafanyaje waweze kupata nafuu?
Shusha kwanza wewe hayo "majaribu"
 
MWANAMKE..

Nilikuwa na mwanamke kipindi fulani nikiwa vizuri kiuchumi. Nilimsomesha pia. Baada ya kumaliza alipata kazi. Ikumbukwe nilipata nae mtoto mmoja.

Baada ya yeye kupata kazi bahati mbaya maisha yangu yaliyumba sana kwa kuwa nilisimamishwa kazi kampuni niliyokuwepo wakati ule. Nilianza upya kutafuta kazi hadi kwa kuhonga ili niingie kwenye vitengo ila haikuwa hivyo, nilifeli.

Nilijikuta akiba yote imeisha nikiwa sijapata kazi, hapo ndipo mambo yalianzia. Mwanamke alianza kujazia sehemu zenye mapungufu japo kishingo upande, zikaanza influence za kwao kuwa aondoke kwangu sababu sina mchango wowote tena.

Aliondoka na vitu siku moja nikiwa safari kufukuzia kazi. Nilipigiwa simu tu na watu wa karibu kuulizia mbona ninahama. Asikwambie mtu, from there nikaanza kuishi kama kuku, kuzurura tu. Again I started from Zero. Hakuna alienielewa, si wazazi wake wala yeye. Home wakaniambia nipotezee tu.

Ni mengi sana yalipita nikipata time nitashusha kila kitu. I thank God, nilipata kazi tena kampuni jingine and from there my life is back on track. Sina vikuuubwa ila ninaishi maisha yangu.
Polee sana Mungu akusimamie ,vip mwanamke aliyekimbia hakuwahi kukutafuta Tena
 
Mahusiano.

TUnaoa kwasababu kuna mambo ya msingi anapaswa kufanya mke na sio demu wala hawara.
Tatzo la mke wangu ni moja tu, wivu unamtesa mno, najaribu kumuweka wazi kwa mambo mengi lakini bado hajawahi kuniamini hata kidogo.
Simu yangu ana uhuru nayo kila kona lakni haisaidii kujiiaminisha kwake.
TImbwili.
Mama yake mzazi alikuwa naumwa nikamruhusu akamuuguze mzaa chema alipofika Huko simu huku kwa majarini hazikomi, yani nikitoa mguu majiran macho kwangu. Akapewa story za uongo na kweli kuwa silali nyumbani wala sishindi hata siku za weekend yani kamezeshwa stori mbovu atari.

Alivyorudi na mimi nikawaka kidogo kama baba akatulia kidogo baada ya wiki moja hivi, timbwili likaanza. Nipo mezani nafunga siku yangu mara simu ikaiingia na ule mchoko alaf namba mpya nikapokea nikaweka loud huku naendelea na hesabu sasa mpgaji simu akaanza stori za mchana nimepiga simu hukupokea kwanini?

Nikamjibu nilikuwa bize sema unashida gan na ww ni nani?
Akasema alikuwa anamtafuta msela wake akidhani nilikuwa naye. Nikajibu inshort sikuwa naye mpigie kwenye simu yake then nikakata simu.
Mke akajua ni mchongo wee kesho yake nipo kazini nashangaa mtu anakuja na mtoto mara kamuacha mara huyoo kasepa nikaita naona meseji inasema: 'ukinikuta niite mbwa maisha mema.'

Ikabidi nivute pumzi ndefu na kazi nikafunga nikarudi nyumbani na mwanangu nikimpigia sm hapokei.

Usimuamini mwanamke utaishia pabaya.

Wewe ni mwanaume dhaifu sana na hilo mkeo amelitambua. Be a man.
 
Kitu kingine nilichojifunza maishani ni swala la kukopesha ndugu na marafiki, I learned this the hard way, nimepoteza hela nyingi sana takribani milioni 9 kwa kusaidia ndugu ambao hawana shukrani, kuna huyo nilimpa milioni 5 hadi leo hajanilipa na hana mpango wa kunipa. Unaenda kudai hela mtu anakuchamba.
Namshukuru mungu nimewasamehe na sina kinyongo na ndugu yangu yeyote, kwa sababu naamini ndugu na rafiki ni watu muhimu sana maishani kuliko hata hela.

Kitu chingine ambacho vijana inabidi tujifunze ni kwamba, kuna kipindi flani katika maisha yetu, mungu hufungulia baraka zake, tunajikuta tunapata hela nyingi sana ambazo sometimes hajutui tuzipeleka wapi au tuzitumiaje.
Huu ni muda ambao inabidi tuwe makini sana kwasababu Lucifer(Ibilisi) hutumia nguvu sana kutuyumbisha na kutuingiza kweny mienendo isiyofaa ili tutumie hela vibaya kwa mambo ambayo siyo ya msingi kama pombe, ngono, kuzurura, mavazi expensive, na expenses zingine zisizo kuwa na umuhimu.

Hakika nakwambia ukiweza kutumia huu muda ambao kipato chako kipo stable na madili yanatiki vizur na kuepukana na zinaa, utakuja kuwa na uzee wa baraka sana, hutasumbuliwa na magonjwa, hutasumbuliwa na uchumi mbovu, utaweza kusaidia familia na ndugu zako wengine vizur, utakuwa baraka kweny ukoo wenu.
Sisemi uongo mm mwenyew ni mhanga wa kwenda viwanja, weekend hivi kama leo nisipoenda viwanja najihic kabisa mwili unauma, japokuwa situmii pombe wala kilevi chochote(kwanza siwez, siku ya kwanza kunywa pombe nilitapika sana)

Ewe kijana mwenzangu ukiona asaiv account yako inacheka basi jua muda wa kuwa makini sana.
Lucifer(Ibilisi) hataki tuwe matajiri, anajua tajiri anaweza kujiamulia maisha ya kuishi, maskini hawez, maskini hata akiambiwa sujudia sanamu nikupe millioni kumi anakubali kwasababu maskini anaamuliwa maisha ya kuishi.

Chingine jamani, tukumbuke kilimo na ufugaji, hasa tulioajiriwa, mkulima huwez kumwona anamlilia mwanasiasa amlipe mshahara, mkulima ana uhakika wa kula hata kama hana hela mfukoni, chochote unachofanya hata kama wewe ni rubani hakikisha unalima na kufuga(sio lazima uwe mkulima mkubwa hata ukiwa na bustani nzuri ya mbogamboga na kuku wa idadi flani inatosha), serikali haitabiriki tuachane na mambo ya kuwategemea wanasiasa hawa.
Mwakani mungu akinibariki naingia kweny kilimo na ufugaji rasmi.
Lima na fuga kitaalumu mkuu.
Pia fanya survey kilimo cha tumbaku watu wanapiga hela.
 
1. Kufanya partnership na mtoto 2a kishua.

Baada ya kufunga ndoa nilikuwa sina ajira nikachukua zile hela za zawaditunazope2a na kamati. Baadhi nikanunua bodaboda enzi zile chombo ilikuwa fekon 150. Nyingine nikafungua duka la uzushi la chakula na kufanya mishe zingine.
Sasa kutokana na kuwa na njaa ya mafanikio pale kwenye fremu nilizokuwa nimepanga alikuwa Mzee mmoja wa kishua ameritire alikuwa na vijana wake rika sawa na wote tulikuwa tumemaliza degree za kwanza. Walikiwa na Yale mafriza makubwaa sijui futi sita walikuwa wameliweka ndani.
Huku shop ikiwa inaendelea kuchanganya kwa kuwadaka kama ntilie wanakopa jioni maharage, unga wa ngano, mafuta na Michele kesho yake wanafanya biashara jioni tena wanarudisha, wakawa wanafuata samaki mbagara. Nikaona hii fursa. Nikawashawishi wale vijana kuwa hii fursa tujipange mimi nakodi fremu kwa Mzee na nyie mtoe friza kwa mshua mimi nitatoa mtaji wa kuuza samaki tuuze tugawane faida itakayopatikana. WIFE ALINIONYA AKASEMA BORA TUKOPE FRIZA JAPO KWA KUANZIA DOGO,

Tukaandika proposal kupeleka kwa mshua wao akasema very good. Mimi nawapa fremu Bure na akaweka order ya samaki tasi kwa wiki kilo 4.
Enzi box la samaki yalikuwa kati ya kilo 10 Hadi 20 pale mbagara. So unatakiwa udamke asubuhi unaingia pale mbagara kwa nyuma unachukua mzigo kilo zako 30 za samaki aina tofauti tofauti huku wameganda wakifika utawadumbikiza kwa friza.

Mtaji ulikuwa kama 300k niliotenga.

Biashara tulikuwa tunafanya vyema japo mwanzoni ilikuwa na ugumu fulani maana wateja wapo scarted, faida ilikuwa ukinunua mzigo wa 60 unapata 30 au 40 kabisa. Maana kilo unanunua 6000 jumla unauza 10 au 9.
.tukafikia Hadi kilo 100 kwa wiki..
Sasa kutokana na kuoenda kazi mimi nikawa natafuta soko kwa mama ntilie, wadosi wa kanisani, mtaani, kwenye kuuza nikawa nawachia majamaa.

Sasa kwa sababu fremu ipo karibu na nyumbani, wanakaa wanaangalia tv na maseries mteja anaita wee mwishowe wanaondoka. Muda mwingine wanaitwa na wife wanamuuliza anataka kilo ngapi alisema kilo au nusu wanasema anatusumbua. Au unaweza ukawa umepigiwa simu na mama ntilie.naomba niletee samaki kilo 2 wanakujibu poa then hawapeleki wapo busy na tv. Generally walikiwa ni wavivu sana. Ila faida wanapenda

Siku moja nikawaonyesha msg toka kwa mdosi analalamika jamaa walivyomjibu mke wake shits.. nikamwomba msamaha.

Mzigo ulipokuwa mkubwa kubeba hizo kilo mia Mzee wao alitupa kirukuu tubebe samaki badala ya kukodi Bajaj,

Machangamoto yakaanza.
1. Wakienda wao mzigo wanachukia wa Bei rahisi kumbe umeanza kuchili then wakiwa box hawapokei serious na kazi wanakaa kwenye gari wanapakia mzigo mbovu. Kwa hiyo kama tasi wamechukua 20 kg maana watauza mbili au 3 then 17 inatupa au unauzia nusu Bei ila uwe umekwangua mifupa pembeni ndo wanakubali kununua huo mzigo.mbovu.
Ukiwaambia wanakujibu utakuwa tajiri kwa 5m au 2m wewe tafuta hela uagize mzigo mwanza. Kwanza faida hakuna kwa sababu vitu vingi tumepewa buree kwa tukiweka real investment hakuna faida hapa. Then wanajadili bifu la kalapina na chid benzi sijui diamond na mtu gani.

2. Hawaheshimu hela ndogo ndogo anajiunga bundle na hela ya mauzi dukani then anasema faida yake kaitumia. Au akiwa na ratiba ya kugonga Malaya anachukua 50 hapo then anasepa.
3. Show off zikawa nyingi. Anakuja na mademu zao anawaonyesha hapo ndo nipo now days anashinda hapo hafanyi kazi ataingia mchana akula demu wake wakati wa kuondoka anakuja anakuomba nauli then anamsindikizq demu wake. Sasa Ukiwaambia ukweli wanakuona mdwanzi. Wakati wewe ukipata kifaida unaweza upanue biashara, ufanye maendeleo kidogo..

Sasa niliwahi kuitwa kwenye kazi ya muda wa miezi 6 hivi yankusafiri ilikuwa inalipa maana kwa siku walikuwa wanatoa kama 75 hivi.

Nimeeenda nimekaa miezi miwili nikaambiwa biashara imekufa...

Yani kama ningekomaa mwenyewe ningekuwa mbali...

Usifanye biashara wa watoto wa kishua

Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom