Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Tuwe tunatumia Akili zetu japo kidogo usiweke mahaba tu.....
Hivi unaweza kuteka jiji lenye population million kwa Wanajeshi 20k?
Hakuna anayejua Mrussi anachofanya, baada ya mda ndio unaweza kuelewa alikuwa anawaza nini.
Mfano, Baada ya mda kupita ndio watu tukaelewa kuwa labda alipanga kuyazuia majeshi ya Ukraine from reinforcing miji mingine kwa kuizunguka kiev.
Hivi unaweza kuteka jiji lenye population million kwa Wanajeshi 20k?
Hakuna anayejua Mrussi anachofanya, baada ya mda ndio unaweza kuelewa alikuwa anawaza nini.
Mfano, Baada ya mda kupita ndio watu tukaelewa kuwa labda alipanga kuyazuia majeshi ya Ukraine from reinforcing miji mingine kwa kuizunguka kiev.