Kijeshi, Urusi imefeli vibaya sana huko Ukraine

Kijeshi, Urusi imefeli vibaya sana huko Ukraine

Acha arushe hayo mabomu, aharibu majengo, avunje shule, hospitali etc Lakini hizo siyo military targets ni civilian targets na inaonyesha namna Gani jeshi la Urusi lilivyodhaifu. Unashindwa kudeal na askari wa upande mwingine unaenda kuharibu miji!
Mzee wanajeshi wa Ukraine wanapokimbilia kujificha kwenye maeneo ya raia basi maeneo hayo yote yanakua valid military target.

Wanajeshi wa Ukraine wanashambulia wakiwa wamejificha kwenye mashule/mahospital alafu wanategemea kama yale majengo yatakua kinga kwao juu ya wao kushambuliwa, Russian army ikija kulipiza mashambulizi wanaanza kulalamika kwamba Russia inashambulia maeneo ya raia.

20220420_112236.jpg
 
Ukiitazama hii vita katika jicho la kijeshi ni dhahiri urusi imefeli!
Imefeli kwa sababu imeshindwa kufikia malengo yake ya uanzishaji hii vita!

Lengo la Kijeshi la Urusi ilikuwa ni kuingia Kiev haraka, kukamata mji mkuu na kuuangusha utawala wa Zelensky. Lakini hadi leo hii takriban siku ya 60 ya kivita, Urusi imeshindwa kukamata Kiev, na majeshi yake baada ya kukutana na upinzani mkali yakakimbia(retreat) kutoka miji ya ndani na kurudi huko Mashariki ambako walikuwa wanapakalia toka mwaka 2014.

Urusi imepata hasara kubwa sana ya vifaa na askari. Vifaru vyake vilikuwa vikikaangwa kwelikweli na Javelin missiles, pamoja na drones za Bayraktaar.

Logistics za kupeleka chakula na silaha ndanindani kwa askari wake ilikuwa shida

Wakati huo vikwazo vikiendelea kuichakaza urusi kwelikweli.

Hadi hivi sasa Zelensky amefanikiwa kuilinda serikali yake, na kinachofuata sasa ni kuandaa operesheni kabambe ya kumtoa nyoka pangoni huko Mashariki, Hii itakuwa operesheni kali sana na ngumu sana lakini itawezekana.

Urusi ni Taifa kubwa lakini uchumi wake ni mdogo kuliko jimbo moja tu la Texas Marekani, haina fedha za kupigana hii vita kwa muda mrefu, itakachokifanya ni kutafuta kideal cha kizushi na Ukraine ili kuficha aibu ya uso wake!

Kikubwa nilichojifunza katika hizi vita, Moyo wa askari una nguvu kuliko silaha kali ktk mikono ya askari asiye na moyo wa mapambano!

Mafanikio ya kijeshi ya Urusi huko mashariki mwa Ukraine katika vita hii ya Sasa wala si jambo la ajabu maana warusi walishakuwepo huko toka mwaka 2014, hakuna kitu kipya!. Ni sawasawa na kupiga bomu mochwari na kisha kushangilia kuwa umeua!
Ni uwezo wa Ukraine au hao Mazuzu NATO? Vipi Urusi hajakumbana na betrayal na sabotage za ndani kwa jeshi lake, vipi mamluki pia.
 
Tuwe tunatumia Akili zetu japo kidogo usiweke mahaba tu.....
Hivi unaweza kuteka jiji lenye population million kwa Wanajeshi 20k?
Hakuna anayejua Mrussi anachofanya, baada ya mda ndio unaweza kuelewa alikuwa anawaza nini.
Mfano, Baada ya mda kupita ndio watu tukaelewa kuwa labda alipanga kuyazuia majeshi ya Ukraine from reinforcing miji mingine kwa kuizunguka kiev.
Putin ni mwanaume, anawalaza macho washirika wote wa NATO
 
Umoja wa Wayahudi duniani kamwe hauwezi kumuacha Myahudi mwenzao Zelensky aangushwe!
Zelensky ni sehemu ya symbol ya power ya Wayahudi(Kutawala sehemu mbalimbali za Dunia)
Wayahudi hawana uwezo wowote ule,
Wako overrated mno

Hizo Ni propaganda mnalishwa na western
Israel kuionea palestina na Syria sio kwamba wanajiweza mno.

Wanakingiwa kifua sana na US ndo maana wanakua wajeuri

Kwa Hii Vita ya Ukraine,
Russia amedhihirisha kweli Ni super power kijeshi na kiuchumi kwa kupigana na nchi zaidi ya 30 na zote zimeshakua exhausted mpk sahv.
 
Toka mwanzo wa vita wenzako walikua na maneno kama hayo mara uchumi wake sio imara hawezi kupigana vita mda mrefu mara kaishiwa chakula hawezi kulisha wanajeshi wake (muda huo huo anatoa tani za vyakula kusaidia wananchi walioko ukraine) mara kaishiwa silaha zimebaki za kupambana siku 3 tu, leo ni miezi bado silaha zipo na mashambulizi yanazidi kuendelea

Sisi wachambuzi ambao hatujui masuala ya kivita tunafanya analysis kwa kufuata hisia zetu tuendelee kuwa watazamaji tu hatujui malengo ya Putin yalikuwaje na hatujui kafanikiwa au vp kwa sasa kila mtu anachukua cheo cha kuwa military analyst anachambua anavyojua yeye.

Labda unaweza kuelezea Zelensky amefanikiwaje kuilinda serikali yake? Ukiangalia kwa jicho lako la kijeshi nani kapata losses nyingi kwenye vita hii?
Tukiachana na uchambuzi wa mkuu hapo juu, urusi hakutegemea kupigana na Ukraine kwa muda mrefu hii itapelekea urusi kutumia rasilimali ti tge maximum na kwa minaji hii ni fursa kwa nchi zetu kupata bidhaa kwa bei nafuu ila kwa vile marekani kaweka vikwazo tupambane tu
 
Wayahudi hawana uwezo wowote ule,
Wako overrated mno

Hizo Ni propaganda mnalishwa na western
Israel kuionea palestina na Syria sio kwamba wanajiweza mno.

Wanakingiwa kifua sana na US ndo maana wanakua wajeuri

Kwa Hii Vita ya Ukraine,
Russia amedhihirisha kweli Ni super power kijeshi na kiuchumi kwa kupigana na nchi zaidi ya 30 na zote zimeshakua exhausted mpk sahv.
Mkuuu kwa hapa sidhani urusi ni taifa kubwa ila kupigana na nchi 30 mpaka sasa azingeweza kuwepo
 
Wayahudi hawana uwezo wowote ule,
Wako overrated mno

Hizo Ni propaganda mnalishwa na western
Israel kuionea palestina na Syria sio kwamba wanajiweza mno.

Wanakingiwa kifua sana na US ndo maana wanakua wajeuri

Kwa Hii Vita ya Ukraine,
Russia amedhihirisha kweli Ni super power kijeshi na kiuchumi kwa kupigana na nchi zaidi ya 30 na zote zimeshakua exhausted mpk sahv.
Wana connection ndefu.
Hao wanauwezo wa kushawishi Nchi kubwa ili Ukraine apewe silaha na msaada mkubwa zaidi as long as it takes kumvunjavunja nguvu Urusi.
Na pia Wana uwezo wa kuwezesha vikwazo dhidi ya Urusi ving'ate kwelikweli
 
Inawezekana unachoongea ,ila Nina hofu na mataifa ya kidictetor maana wako radhi wananchi watembee uchi na kufa njaa ilimrad watimize kile walichokusudia.

Urusi inajali dola yake kuliko wananchi, Urusi hawatakubali wadhindwe ,hata kama itagharimu uchumi kuanguka,hilo kwao halipo, kwenye serikali za kidicteta hakuna uwajibishwaji,kila mtawala anafanya anavyojua, katiba imejaa vumbi, ole wako waziri au kiongoz au media mtangaze urusi ina njaa, Uhuru hakuna, kule media yoyote hairusiwi kuongelea mambo ya serikali, bila kuomba kibali aisee Mimi udicteta siufagilii kabisa
Huwa nacheka sana pale pro western wanavochambua siasa za mataifa hasa pale wanapotumia neno dikteta kwa madai ya eti hawajli nchi zao......jebu tulichambie kidogo hili taifa la marekani na demokrasia zake kama ni ishara ya ungozi bora na usawa na lenye kujari wananchi wake
1. marekani ni nchi yenye economic gap kubwa kati ya walionacho na wasio nacho maana yake ni kwamba sera nyingi za kiuchumi zinawajali walionacho kuliko wasio nacho. Wako tayar kuingiza taifa lao kwenye vita visivyo na faida kwa wananchi wao wa kawaida kwa masilahi ya walionacho(nenda kaangalie military industrial complex).
2. Marekani na nchi shirika za magharibi ndio walioongoza na bado wanaongoza kwa mauaji ya halaiki(mass murder) ulimwenguni mfano red indian australia abolignals helelo wa namibia congo chini ya utawala wa ubelgiji n.k.
3. Marekani na washirikia wake ndio waporaji wakubwa wa ardhi za watu na rasilimali zao...tafuta documentary inaitwa "stilling"a nation utanielewa zaidi.
4. Marekani ndio taifa pekee lilitumia na ninaelendea kutumia silaha za nyuklia na za kibaologia kwenye vita vyake..mfano hirosima na nagasaki, agent orange vita ya vietnam na DU(depleted uranium) vita ya iraq
Kwa hiyo bado sijajua hawa pro-western wanaukita wapi ujasili wa kusimama na kuwasema madikteta nchi zingine kwamba ni wavunjifu wa haki za kibinafamu huku wakijifanya hawajui kinachoendelea kwenye mataifa ya kimagharibi
 
ww ndo mpuuz kbs , hawez kuwa rais ? ww ni raia wa ukraine ? unahisi wa ukraine wana akil za kipuuz km zako , wamevamiwa wanajua , malengo ya kujiunga na NATO na EU siyo ya Zelewinsky ameyakuta katika ilani ya utawala ambayo yalikuwepo na ndo yaliyomtoa kibaraka wa Urusi 2013 baada ya kukataa ofa ya kujiunga na umoja wa ulaya EU kwa kung'ang'ania ushosti na urusi ndipo raia wakaandamana wiki kadhaa mfululizo mpk kujiuzuru kwake , so Zelewinsky hajaleta jambo lolote jipya na ndio maana raia wamejitolea kuipigania serikali yao sababu wanajua ipo kwa ajili yao , Urusi anapambania kupandikiza kibaraka ndani ya ukraine na hiko kitu wa ukraine wanaelewa na ndio maana wameshikama kumzuia mrusi asifanikiwe na kwa hilo wamefanikiwa , sasa hv mrusi kabadili ameenda kujifanya anapigana sehemu ambayo kashashinda tangu muda mrefu ,ulibakia upinzan mdogo tu ndo anapambana nao , ila serikali ya Ukraine imemfuata huko huko mashariki kwa wiki hii inasemekana ( sababu sipo ukraine ) mpambano umechachamaa kwa pande zote mbili
Asee wew kumbe hufatilii hata hii vita ni unazi unakusumbua
 
Toka mwanzo wa vita wenzako walikua na maneno kama hayo mara uchumi wake sio imara hawezi kupigana vita mda mrefu mara kaishiwa chakula hawezi kulisha wanajeshi wake (muda huo huo anatoa tani za vyakula kusaidia wananchi walioko ukraine) mara kaishiwa silaha zimebaki za kupambana siku 3 tu, leo ni miezi bado silaha zipo na mashambulizi yanazidi kuendelea

Sisi wachambuzi ambao hatujui masuala ya kivita tunafanya analysis kwa kufuata hisia zetu tuendelee kuwa watazamaji tu hatujui malengo ya Putin yalikuwaje na hatujui kafanikiwa au vp kwa sasa kila mtu anachukua cheo cha kuwa military analyst anachambua anavyojua yeye.

Labda unaweza kuelezea Zelensky amefanikiwaje kuilinda serikali yake? Ukiangalia kwa jicho lako la kijeshi nani kapata losses nyingi kwenye vita hii?
Hivi Tanzania na Russia wakipigana vita kwa siku 60 na uwanja wa vita ukawa Russia, hivi kati ya Russia na Tanzania nani atapata hasara kubwa?.
 
Mkuuu kwa hapa sidhani urusi ni taifa kubwa ila kupigana na nchi 30 mpaka sasa azingeweza kuwepo
Nchi kibao ulaya zimetuma mamluki kibao,Silaha zaidi zinazidi kumiminika,

Marekani kapeleka hammer, uingereza javellin, Norway kapeleka ndege, Australia kapeleka vifaru, ujerumani kapeleka bunduki na risasi, poland kapeleka mig 26 alizonunua urusi.

Wengine kibao wanazid kupeleka

ujerumani Jana katangaza kuishiwa silaha za kutuma ukraine,

Uingereza kasema zaidi ya javellin Hana silaha zaidi atatuma Tena Ukraine

Pentagon baada ya kelele Sana, jana nao wamesema watatuma silaha zaidi na pesa ila sio wanajeshi
 
Nchi kibao ulaya zimetuma mamluki kibao,Silaha zaidi zinazidi kumiminika,

Marekani kapeleka hammer, uingereza javellin, Norway kapeleka ndege, Australia kapeleka vifaru, ujerumani kapeleka bunduki na risasi, poland kapeleka mig 26 alizonunua urusi.

Wengine kibao wanazid kupeleka

ujerumani Jana katangaza kuishiwa silaha za kutuma ukraine,

Uingereza kasema zaidi ya javellin Hana silaha zaidi atatuma Tena Ukraine

Pentagon baada ya kelele Sana, jana nao wamesema watatuma silaha zaidi na pesa ila sio wanajeshi
Supporting tofauti na direct war hao wote wengeingia in total war urusi angekuwa anapumulia gesi sasa hivi
 
Inawezekana unachoongea ,ila Nina hofu na mataifa ya kidictetor maana wako radhi wananchi watembee uchi na kufa njaa ilimrad watimize kile walichokusudia.

Urusi inajali dola yake kuliko wananchi, Urusi hawatakubali wadhindwe ,hata kama itagharimu uchumi kuanguka,hilo kwao halipo, kwenye serikali za kidicteta hakuna uwajibishwaji,kila mtawala anafanya anavyojua, katiba imejaa vumbi, ole wako waziri au kiongoz au media mtangaze urusi ina njaa, Uhuru hakuna, kule media yoyote hairusiwi kuongelea mambo ya serikali, bila kuomba kibali aisee Mimi udicteta siufagilii kabisa
Mtaalam nipe source ya uhakika ya mambo uliyosema hapa. Let speak realistic
 
Umoja wa Wayahudi duniani kamwe hauwezi kumuacha Myahudi mwenzao Zelensky aangushwe!
Zelensky ni sehemu ya symbol ya power ya Wayahudi(Kutawala sehemu mbalimbali za Dunia)
Zelensky kila MTU amemugaya.
Hama's wanawapelekea moto kule Israel, kwa sasa wanapambana na hali zao.
Uturuki-kampa kidogo
Saudia-amempa kidogo
EU-chumi zao zimevurugika hawana cha kumpa zaidi ya kumpa maneno ya faraja

Sasa msaada wake ni USA tu ambapo Wananchi wake wameanza kupiga kelele hali yao ya uchumi inaanza kuwa mbaya.
 
Back
Top Bottom