Kijeshi, Urusi imefeli vibaya sana huko Ukraine

Kijeshi, Urusi imefeli vibaya sana huko Ukraine

Mtoa uzi jalibu ku balance shobo ,uhalisia unaonekana ukraine ipo magovu na miji mingine imishikiliwa.hatutaki analysis za kimchongo za kubana pumzi mpaka media za west zilopoke
 
Zelensky kila MTU amemugaya.
Hama's wanawapelekea moto kule Israel, kwa sasa wanapambana na hali zao.
Uturuki-kampa kidogo
Saudia-amempa kidogo
EU-chumi zao zimevurugika hawana cha kumpa zaidi ya kumpa maneno ya faraja

Sasa msaada wake ni USA tu ambapo Wananchi wake wameanza kupiga kelele hali yao ya uchumi inaanza kuwa mbaya.
Marekani aliwahi saidia Ulaya nzima kumpiga Hitler na hao Ukraine wenyewe na Urusi misaada walipata. Marekani kutoa $800 million mara mbili sio jambo la kupigisha raia yowe wakati last year Chairman wa Fed. Jerome Power aliachia zaidi ya $2 trillioni kusaidia uchumi kwenye COVID-19.

Marekani wanaweza toa hata $10 billion bila kelele kutoka popote. Hawajaamua tu na wakati huohuo kuna wanaotia pressure misaada iongezwe
 
Ukiitazama hii vita katika jicho la kijeshi ni dhahiri urusi imefeli!
Imefeli kwa sababu imeshindwa kufikia malengo yake ya uanzishaji hii vita!

Lengo la Kijeshi la Urusi ilikuwa ni kuingia Kiev haraka, kukamata mji mkuu na kuuangusha utawala wa Zelensky. Lakini hadi leo hii takriban siku ya 60 ya kivita, Urusi imeshindwa kukamata Kiev, na majeshi yake baada ya kukutana na upinzani mkali yakakimbia(retreat) kutoka miji ya ndani na kurudi huko Mashariki ambako walikuwa wanapakalia toka mwaka 2014.

Urusi imepata hasara kubwa sana ya vifaa na askari. Vifaru vyake vilikuwa vikikaangwa kwelikweli na Javelin missiles, pamoja na drones za Bayraktaar.

Logistics za kupeleka chakula na silaha ndanindani kwa askari wake ilikuwa shida

Wakati huo vikwazo vikiendelea kuichakaza urusi kwelikweli.

Hadi hivi sasa Zelensky amefanikiwa kuilinda serikali yake, na kinachofuata sasa ni kuandaa operesheni kabambe ya kumtoa nyoka pangoni huko Mashariki, Hii itakuwa operesheni kali sana na ngumu sana lakini itawezekana.

Urusi ni Taifa kubwa lakini uchumi wake ni mdogo kuliko jimbo moja tu la Texas Marekani, haina fedha za kupigana hii vita kwa muda mrefu, itakachokifanya ni kutafuta kideal cha kizushi na Ukraine ili kuficha aibu ya uso wake!

Kikubwa nilichojifunza katika hizi vita, Moyo wa askari una nguvu kuliko silaha kali ktk mikono ya askari asiye na moyo wa mapambano!

Mafanikio ya kijeshi ya Urusi huko mashariki mwa Ukraine katika vita hii ya Sasa wala si jambo la ajabu maana warusi walishakuwepo huko toka mwaka 2014, hakuna kitu kipya!. Ni sawasawa na kupiga bomu mochwari na kisha kushangilia kuwa umeua!
Kuna warusi wa kwa mtogole, watakuja kubisha
 
Toka mwanzo wa vita wenzako walikua na maneno kama hayo mara uchumi wake sio imara hawezi kupigana vita mda mrefu mara kaishiwa chakula hawezi kulisha wanajeshi wake (muda huo huo anatoa tani za vyakula kusaidia wananchi walioko ukraine) mara kaishiwa silaha zimebaki za kupambana siku 3 tu, leo ni miezi bado silaha zipo na mashambulizi yanazidi kuendelea

Sisi wachambuzi ambao hatujui masuala ya kivita tunafanya analysis kwa kufuata hisia zetu tuendelee kuwa watazamaji tu hatujui malengo ya Putin yalikuwaje na hatujui kafanikiwa au vp kwa sasa kila mtu anachukua cheo cha kuwa military analyst anachambua anavyojua yeye.

Labda unaweza kuelezea Zelensky amefanikiwaje kuilinda serikali yake? Ukiangalia kwa jicho lako la kijeshi nani kapata losses nyingi kwenye vita hii?
Mkuu unajua vita hii Ukraine kwenye mitandao ameshinda vibaya mno.. ila kwa ground mrusi yupo mbali sana.
 
Kumbuka China na Russia wameiplan hii vita muda mrefu sana. Hizi ni super power mpya za dunia
China hawezi vamia siasa za mtu mmoja pale Russia. China na USSR waliwahi pigana na walidaiana maeneo na technically wakiamua kujitoa ufahamu wanazo sababu za kugombana. Wachina wako very strategic hawana muda kuparamia sera zisizosaidia taifa lao. Kwa sasa wako busy na South China sea kuzuia influence ya Australia na washirika. Jana hapa walisaini mkataba wa ulinzi na Solomon islands.

China anajua shida za vikwazo tangu Tiananmen square indicent
 
Unaweza kukuta huyu mwamba hata kozi ya mgambo hajawahi pitia achilia mbali ulinzi wa Suma JKT lakini hapa yuko anatupanga kinoma eti anafanya analysis kwa jicho la kijeshi

Maisha haya [emoji1787][emoji1787]
Unashangaa hili, Waziri wa Ulinzi wa Urusi yule Sergei Shoigu ni Civil Engineer na hakuwahi kuwa jeshini hapo kabla. Ni kama umbebe mtu Tanroads uko, sasa hajabu kwa mleta mada ni nini
 
China's Vice Foreign Minister Le Yucheng reiterated to Russia's Ambassador to China Andrey Denisov that Beijing intends to maintain its "high-level development" and "comprehensive strategic partnership" with Moscow.

"No matter how the international landscape may change, China will continue to strengthen strategic coordination with Russia for win-win cooperation, jointly safeguard the common interests of the two countries and promote the building of a new type of international relations and a community with a shared future for mankind," Le said, according to a readout of a meeting between the diplomats.

During the bilateral meeting, the two also discussed ways to "deepen cooperation in various fields" and talked about the war in Ukraine, according to a readout from China's Ministry of Foreign Affairs.

On Monday, the Biden administration said it had not yet seen China provide material or financial support to Russia for its invasion of Ukraine.

"If the PRC were to provide weapons, supplies or seek to help Russia evade sanctions, there would be strong consequences for that," State Department spokesman Ned Price said during a daily briefing.

โ€” Amanda Macias
Thanks for the nice share; in fact this war has proved beyond resonable doubt that THE AMERICAN power is no longer there.
 
Unaweza kukuta huyu mwamba hata kozi ya mgambo hajawahi pitia achilia mbali ulinzi wa Suma JKT lakini hapa yuko anatupanga kinoma eti anafanya analysis kwa jicho la kijeshi

Maisha haya [emoji1787][emoji1787]
Haa ha ha; we jamaa yaani kati ya mafunzo ya SUMA JKT na mgambo yepi makali? SUMA JKT wale ni wana jeshi kabisa wale kaka, sheria tu ndio haiwaruhusu kufanya zaidi ya kile wanacho kifanya, alipo SUMA JKT police anapaogopa. Sorry kua nje ya topic ila umenifurahisha kwa mchango wako
 
hakuna rais aliyewahi kupigana na nchi zaidi ya 30,na akawa piga na kuwafanya waanze kuomba huruma kwa dunia yote wasaidiwe Vita,ukiacha Hitler ,ni Russia kwa Sasa,hata huyo marekani hajawahi kuingia Vita na nchi 30.

mpaka hapo,hakuna nchi yenye nguvu kijeshi duniani kushinda Russia ,Kama malengo ametimiza yote,kumzuia Ukraine akome kuwaza kuhusu NATO Hilo ametimiza, zelensky kwa ss NATO anaiona Kama sumu kwake na anajuta.pili kaigawa Ukraine izae vi nchi vingine Kama 3 au 4,Hilo amefanikiwa ,tatu Ukraine kwa Sasa haina bahari Tena Hilo amefanikiwa,lkn pia amefanikiwa kumvimbia marekani na kumuonyesha marekani sio super power Tena wa kuamua kila kitu Hilo amefanikiwa. Kiujumla NATO na marekani wamemfanya Russia again confidence zaidi kuwa yy ni taifa lenye nguvu duniani ,kuliko mwanzo.lakini pia hii Vita imeiweka Russia kwenye ramani nyingine kabisa duniani ,kuwa ni taifa pekee linaloweza kumdhibiti marekani na NATO yake ,na kubadili upepo wa world order!!!!

Sasa tunaelekea uelekeo wa new world order,na aliye i lonch ni Russia ,sio mmalekani tena.ila mtekelezaji ndo hatujui atakuwa Nani au wakina Nani!!
Umeota leo
 
Ujeruman Jana katangaza kuishiwa silaha zaidi za kutuma Ukraine,

Pentagon Jana wanasema Putin keshatumia 25% TU ya silaha zote alizopanga kutumia kwny Hii operation

Uingereza wamesema zaidi ya zile javellin hawana silaha Zaid za kutuma uko ukrine

PUTIN ANAWAKIMBIZA MCHAKA MCHAKA
Ukilewa sifa wa chapwa. [emoji23][emoji23]
 
Sasa kama wanajeshi wanajificha kwenye majengo ya kiraia afanyeje Sasa[emoji3]

Tunapiga pale pale alipo adui,
Cha kufanya toeni tamko wanajeshi wa Ukraine wasalie kwenye makambi Yao zipigwe uko uko
Mnapiga??[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji117][emoji117]
 
Mzee wanajeshi wa Ukraine wanapokimbilia kujificha kwenye maeneo ya raia basi maeneo hayo yote yanakua valid military target.

Wanajeshi wa Ukraine wanashambulia wakiwa wamejificha kwenye mashule/mahospital alafu wanategemea kama yale majengo yatakua kinga kwao juu ya wao kushambuliwa, Russian army ikija kulipiza mashambulizi wanaanza kulalamika kwamba Russia inashambulia maeneo ya raia.

View attachment 2193859
Mpaka leo hawaja tambua ivo??
 
Ha ha ha ha ha ha
mpaka muda huu ukraine imegawanya kati kati miji ya ya lungnsk donenk mariupol kharkiv khersan oddess imeshakuwa chini ya Mrusi.

Mpaka muda huu ukraine haina tena bahari mijai tajawa hapo juu ni miji ya kichumi kwa ukraine. Kitenda cha urusi kuiteka miji hiyo kuna uwezekano uchumi wa ukraine usiufikie hata uchumi wa hapa morogoro

Alafu hii vita ni ya urusi na nato na nato wemepigika mno mpaka makamanda wao kukamatwa

Urusi sio marekani iliyoshindwa kuiteka kamji kadogo ka mogadishu pale Somalia.

ha ha ha ha ha ha ha
unajitekenya na kujichekesha na kujibebesha matakwa ya russia kama na wewe ni ndugu yake putini., Ukraine watapigana mpaka dakika ya mwisho, Russia ilikusudia operation labda kwa siku kadhaa hivi sasa ni mwezi wa pili, jana amekodi mamluki toka Syria na Libya ni wazi amebanwa pabaya sana, kiasi kwamba wanajeshi wanaendelea kupoteza maisha., tusubiri tuone hiyo miji uliyotaja russia ikiwa chini yake

Ukraine ni nchi ambayo watu wengi wanaichukulia poa, ukraine wana historia nzuri vita dhidi ya russia, time will tell
 
Acha arushe hayo mabomu, aharibu majengo, avunje shule, hospitali etc Lakini hizo siyo military targets ni civilian targets na inaonyesha namna Gani jeshi la Urusi lilivyodhaifu. Unashindwa kudeal na askari wa upande mwingine unaenda kuharibu miji!
Inatakiwa huo udhaifu alonao RUSSIA wale jamaa wa NATO wautumie kumchapa sababu anaua RAIA kama alivyokua anaua ASSAD na GADAFI
Na kama hutojali MKUU tunaomba utuekee yalokua malengo ya PUT IN na siku alizotangaza zahii OP
RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Back
Top Bottom