hakuna rais aliyewahi kupigana na nchi zaidi ya 30,na akawa piga na kuwafanya waanze kuomba huruma kwa dunia yote wasaidiwe Vita,ukiacha Hitler ,ni Russia kwa Sasa,hata huyo marekani hajawahi kuingia Vita na nchi 30.
mpaka hapo,hakuna nchi yenye nguvu kijeshi duniani kushinda Russia ,Kama malengo ametimiza yote,kumzuia Ukraine akome kuwaza kuhusu NATO Hilo ametimiza, zelensky kwa ss NATO anaiona Kama sumu kwake na anajuta.pili kaigawa Ukraine izae vi nchi vingine Kama 3 au 4,Hilo amefanikiwa ,tatu Ukraine kwa Sasa haina bahari Tena Hilo amefanikiwa,lkn pia amefanikiwa kumvimbia marekani na kumuonyesha marekani sio super power Tena wa kuamua kila kitu Hilo amefanikiwa. Kiujumla NATO na marekani wamemfanya Russia again confidence zaidi kuwa yy ni taifa lenye nguvu duniani ,kuliko mwanzo.lakini pia hii Vita imeiweka Russia kwenye ramani nyingine kabisa duniani ,kuwa ni taifa pekee linaloweza kumdhibiti marekani na NATO yake ,na kubadili upepo wa world order!!!!
Sasa tunaelekea uelekeo wa new world order,na aliye i lonch ni Russia ,sio mmalekani tena.ila mtekelezaji ndo hatujui atakuwa Nani au wakina Nani!!