Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
I used to respect your contribution hapa jf, ila katika hili umefeli kufanya deep and objective analysis, malengo ya urusi sio kuteka kievi hapana ni matatu na ame achive almost 70% zerelesiky baada ya vita hawezi kua Raisi wa ukurain tena hapo ameshikiliwa na Nato pamoja na US propaganda ila wa Ukuraini wamesha kiona ni ze comedy kabisa malengo ya Urusi ni:
*Denazification of ukurain achieved 90%
*Kutenga ukurain na Nato achieved 99%
*Kuunda jamhuri mpya Donesk Republic achieved 50%
Hapo amefail wapi?.
Other achievements of Russia
*amesababisha kuyubisha uchumi wa EU na US. NK.
- Ameonyesha ulimwengu kwamba ni superpower
- Amejaribisha silaha zake za siku nyingi
- Amedhofisha marikani na kumtia aibu
MALENGO YA RUSSIA KUFANYA OPERATION HII NI YAPI HADI WEWE USEME RUSSIA KAFELI?.Ukiitazama hii vita katika jicho la kijeshi ni dhahiri urusi imefeli!
Imefeli kwa sababu imeshindwa kufikia malengo yake ya uanzishaji hii vita!
Lengo la Kijeshi la Urusi ilikuwa ni kuingia Kiev haraka, kukamata mji mkuu na kuuangusha utawala wa Zelensky. Lakini hadi leo hii takriban siku ya 60 ya kivita, Urusi imeshindwa kukamata Kiev, na majeshi yake baada ya kukutana na upinzani mkali yakakimbia(retreat) kutoka miji ya ndani na kurudi huko Mashariki ambako walikuwa wanapakalia toka mwaka 2014.
Urusi imepata hasara kubwa sana ya vifaa na askari. Vifaru vyake vilikuwa vikikaangwa kwelikweli na Javelin missiles, pamoja na drones za Bayraktaar.
Logistics za kupeleka chakula na silaha ndanindani kwa askari wake ilikuwa shida
Wakati huo vikwazo vikiendelea kuichakaza urusi kwelikweli.
Hadi hivi sasa Zelensky amefanikiwa kuilinda serikali yake, na kinachofuata sasa ni kuandaa operesheni kabambe ya kumtoa nyoka pangoni huko Mashariki, Hii itakuwa operesheni kali sana na ngumu sana lakini itawezekana.
Urusi ni Taifa kubwa lakini uchumi wake ni mdogo kuliko jimbo moja tu la Texas Marekani, haina fedha za kupigana hii vita kwa muda mrefu, itakachokifanya ni kutafuta kideal cha kizushi na Ukraine ili kuficha aibu ya uso wake!
Kikubwa nilichojifunza katika hizi vita, Moyo wa askari una nguvu kuliko silaha kali ktk mikono ya askari asiye na moyo wa mapambano!
Sio hisia bali ni uhalisia sisi wote ni watazamaji/mashabiki wa vita kila mtu ana upande wake anaouhusudu lakini ushabiki huo uendane na facts sio kuaminisha kitu ambacho kila mtu anaona.na mimi nikisema umeandika hii kwa kufuata hisia zako nitakuwa nakosea?
Wanauchungu na Urusi balaa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Subiri Warusi wa Buza kwa Mpalange waje na vijora
wenzio walikuwa na phase moja tu , punde si punde wakaongeza Phase 2 hatujui zipo phase ngap ? na malengo yao yanabadilishwa kila siku , ipo siku watasema walienda kusalimia UkraineToka mwanzo wa vita wenzako walikua na maneno kama hayo mara uchumi wake sio imara hawezi kupigana vita mda mrefu mara kaishiwa chakula hawezi kulisha wanajeshi wake (mda huo huo anatoa tani za vyakula kusaidia wananchi walioko ukraine) mara kaishiwa silaha zimebaki za kupambana siku 3 tu, leo ni miezi bado silaha zipo na mashambulizi yanazidi kuendelea
Sisi wachambuzi ambao hatujui masuala ya kivita tunafanya analysis kwa kufuata hisia zetu tuendelee kuwa watazamaji tu hatujui malengo ya Putin yalikuwaje na hatujui kafanikiwa au vp kwa sasa kila mtu anachukua cheo cha kuwa military analyst anachambua anavyojua yeye.
Labda unaweza kuelezea Zelensky amefanikiwaje kuilinda serikali yake? Ukiangalia kwa jicho lako la kijeshi nani kapata losses nyingi kwenye vita hii?
Kweli kabisa [emoji1787][emoji1787]Bro unatatizo jaribu kujichunguza aisee!!.
Ooh. Naomba usipuuze ushauri wangu hii si akili ya kawaida.
hahaa sasa kama malengo yalikuwa mashariki , je walienda kufanya nn Kyiv ?Ha ha ha ha ha ha
mpaka muda huu ukraine imegawanya kati kati miji ya ya lungnsk donenk mariupol kharkiv khersan oddess imeshakuwa chini ya Mrusi.
Mpaka muda huu ukraine haina tena bahari mijai tajawa hapo juu ni miji ya kichumi kwa ukraine. Kitenda cha urusi kuiteka miji hiyo kuna uwezekano uchumi wa ukraine usiufikie hata uchumi wa hapa morogoro
Alafu hii vita ni ya urusi na nato na nato wemepigika mno mpaka makamanda wao kukamatwa
Urusi sio marekani iliyoshindwa kuiteka kamji kadogo ka mogadishu pale Somalia.
ha ha ha ha ha ha ha
Umeongea ushuziUkiitazama hii vita katika jicho la kijeshi ni dhahiri urusi imefeli!
Imefeli kwa sababu imeshindwa kufikia malengo yake ya uanzishaji hii vita!
Lengo la Kijeshi la Urusi ilikuwa ni kuingia Kiev haraka, kukamata mji mkuu na kuuangusha utawala wa Zelensky. Lakini hadi leo hii takriban siku ya 60 ya kivita, Urusi imeshindwa kukamata Kiev, na majeshi yake baada ya kukutana na upinzani mkali yakakimbia(retreat) kutoka miji ya ndani na kurudi huko Mashariki ambako walikuwa wanapakalia toka mwaka 2014.
Urusi imepata hasara kubwa sana ya vifaa na askari. Vifaru vyake vilikuwa vikikaangwa kwelikweli na Javelin missiles, pamoja na drones za Bayraktaar.
Logistics za kupeleka chakula na silaha ndanindani kwa askari wake ilikuwa shida
Wakati huo vikwazo vikiendelea kuichakaza urusi kwelikweli.
Hadi hivi sasa Zelensky amefanikiwa kuilinda serikali yake, na kinachofuata sasa ni kuandaa operesheni kabambe ya kumtoa nyoka pangoni huko Mashariki, Hii itakuwa operesheni kali sana na ngumu sana lakini itawezekana.
Urusi ni Taifa kubwa lakini uchumi wake ni mdogo kuliko jimbo moja tu la Texas Marekani, haina fedha za kupigana hii vita kwa muda mrefu, itakachokifanya ni kutafuta kideal cha kizushi na Ukraine ili kuficha aibu ya uso wake!
Kikubwa nilichojifunza katika hizi vita, Moyo wa askari una nguvu kuliko silaha kali ktk mikono ya askari asiye na moyo wa mapambano!
ww ndo mpuuz kbs , hawez kuwa rais ? ww ni raia wa ukraine ? unahisi wa ukraine wana akil za kipuuz km zako , wamevamiwa wanajua , malengo ya kujiunga na NATO na EU siyo ya Zelewinsky ameyakuta katika ilani ya utawala ambayo yalikuwepo na ndo yaliyomtoa kibaraka wa Urusi 2013 baada ya kukataa ofa ya kujiunga na umoja wa ulaya EU kwa kung'ang'ania ushosti na urusi ndipo raia wakaandamana wiki kadhaa mfululizo mpk kujiuzuru kwake , so Zelewinsky hajaleta jambo lolote jipya na ndio maana raia wamejitolea kuipigania serikali yao sababu wanajua ipo kwa ajili yao , Urusi anapambania kupandikiza kibaraka ndani ya ukraine na hiko kitu wa ukraine wanaelewa na ndio maana wameshikama kumzuia mrusi asifanikiwe na kwa hilo wamefanikiwa , sasa hv mrusi kabadili ameenda kujifanya anapigana sehemu ambayo kashashinda tangu muda mrefu ,ulibakia upinzan mdogo tu ndo anapambana nao , ila serikali ya Ukraine imemfuata huko huko mashariki kwa wiki hii inasemekana ( sababu sipo ukraine ) mpambano umechachamaa kwa pande zote mbiliI used to respect your contribution hapa jf, ila katika hili umefeli kufanya deep and objective analysis, malengo ya urusi sio kuteka kievi hapana ni matatu na ame achive almost 70% zerelesiky baada ya vita hawezi kua Raisi wa ukurain tena hapo ameshikiliwa na Nato pamoja na US propaganda ila wa Ukuraini wamesha kiona ni ze comedy kabisa malengo ya Urusi ni:
*Denazification of ukurain achieved 90%
*Kutenga ukurain na Nato achieved 99%
*Kuunda jamhuri mpya Donesk Republic achieved 50%
Hapo amefail wapi?.
Other achievements of Russia
*Amesababisha kuyubisha uchumi wa EU na US. NK.
- Ameonyesha ulimwengu kwamba ni superpower
- Amejaribisha silaha zake za siku nyingi
- Amedhofisha marikani na kumtia aibu
Kweli kabisa mkuu,mpk Sasa Zelensky anaenda kuichukua Moscow.Umemaliza kila kitu mkuu na urusi hii vita ashindi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Yeye ana tatizo Ila wewe huna akili kabisaBro unatatizo jaribu kujichunguza aisee!!.
Ooh. Naomba usipuuze ushauri wangu hii si akili ya kawaida.
Sio hisia bali ni uhalisia sisi wote ni watazamaji/mashabiki wa vita kila mtu ana upande wake anaouhusudu lakini ushabiki huo uendane na facts sio kuaminisha kitu ambacho kila mtu anaona.
Labda hilo swali unisaidie kujibu, kwa mtazamo wako unavyoona nani kapata loss kwenye hii vita ili kumsaidia mtoa mada?
Uko sahihi mimi sina akili hivyo sihitaji kwenda kutafuta suruhisho. Uwezi kwenda kutibu kidondo ambacho huna.Yeye ana tatizo Ila wewe huna akili kabisa
Putin naona kapoteza sana sababu kama ulipanga vita utumie siku 3 halafu kwenye ground ukaenda siku 60+ maana yake umetumia bajet ambayo hukuipangaSio hisia bali ni uhalisia sisi wote ni watazamaji/mashabiki wa vita kila mtu ana upande wake anaouhusudu lakini ushabiki huo uendane na facts sio kuaminisha kitu ambacho kila mtu anaona.
Labda hilo swali unisaidie kujibu, kwa mtazamo wako unavyoona nani kapata loss kwenye hii vita ili kumsaidia mtoa mada?
Hujajumlisha gharama ya vifaa ambavyo amepoteza, ukiconvert ktk money, ni pesa ndefu imeenda.Putin naona kapoteza sana sababu kama ulipanga vita utumie siku 3 halafu kwenye ground ukaenda siku 60+ maana yake umetumia bajet ambayo hukuipanga
Wewe unaishi dunia ipi? Mbona unavyo jua ni tofauti na hali halisi, Urusi ime mzingira adui asiweze kureinforce majeshi yake mahara popote kwa kupeleka vita karibu na kievi hilo anelipata vizuri, tu.ww ndo mpuuz kbs , hawez kuwa rais ? ww ni raia wa ukraine ? unahisi wa ukraine wana akil za kipuuz km zako , wamevamiwa wanajua , malengo ya kujiunga na NATO na EU siyo ya Zelewinsky ameyakuta katika ilani ya utawala ambayo yalikuwepo na ndo yaliyomtoa kibaraka wa Urusi 2013 baada ya kukataa ofa ya kujiunga na umoja wa ulaya EU kwa kung'ang'ania ushosti na urusi ndipo raia wakaandamana wiki kadhaa mfululizo mpk kujiuzuru kwake , so Zelewinsky hajaleta jambo lolote jipya na ndio maana raia wamejitolea kuipigania serikali yao sababu wanajua ipo kwa ajili yao , Urusi anapambania kupandikiza kibaraka ndani ya ukraine na hiko kitu wa ukraine wanaelewa na ndio maana wameshikama kumzuia mrusi asifanikiwe na kwa hilo wamefanikiwa , sasa hv mrusi kabadili ameenda kujifanya anapigana sehemu ambayo kashashinda tangu muda mrefu ,ulibakia upinzan mdogo tu ndo anapambana nao , ila serikali ya Ukraine imemfuata huko huko mashariki kwa wiki hii inasemekana ( sababu sipo ukraine ) mpambano umechachamaa kwa pande zote mbili