Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namtukuza Bwana Yesu Kristo kwa ulinzi wake.Shughulisha akili Kanisa limejengwaa imara sehemu nzuri sio kama nyumba za wala hoi hizo
IShughulisha akili Kanisa limejengwaa imara sehemu nzuri sio kama nyumba za wala hoi hizo
Bibi angetupelekesha sana
Thibitisha kauli Yako ukishindwa ichungeNaamini Msikiti imekwenda na maji.
Ni vema limebaki, kanisa kama nyumba ya mungu itakuwa sehemu ya waathirika kwenda kupata faraja,au wewe ukitaka nalo likutwe na mudd slides??
Ujenzi imara location sahibi. Hakuna nguvu za kiroho hapo kanisa lingekuwa na nguvu hiyo basi lingefichwa kama Nyuklia .Hakuna nguvu yoyote kwenye hizo imaniView attachment 2833512
"Kwenye madhara haya tumepata majeruhi pia wapatao 116, wanaume ni 56 na wanawake ni 60, ndugu Watanzania haya maafa ni makubwa sana, pia tumepata uharibifu mkubwa wa nyumba za kuishi, mashamba na mitambo mbalimbali ya magari, nimepata bahati ya kwenda Gendabi nyuma ya milima, kile kijiji nyumba zimeachwa upande wa kulia na kushoto eneo la katikati nyumba zote zimeondoka limebaki kanisa tu, hali sio nzuri,"
Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
===
Salamu,
Huko Hanan'g kijiji cha Ngendabi nyumba zote zimesombwa na maji ila kanisa limesimama vilevile.
Je hii ni sababu ya matereal za ujenzi au Koroho zaidi?