Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Rudi IranKwahiyo tufanyeje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi IranKwahiyo tufanyeje?
Rudi Iran
Hili wala siyo la kushangaza. Umesema kweli kabisa. Bila shaka uimara wake ndiyo umelifanya libaki.Kanisa limejengwa kwa msingi imara. Nyumba za raia kutokana na uelewa mdogo ktk madula ya ujenzi na umaskini nyumba zao zimeegeshwa TU.
Ya walokole je?Majengo ya Katoliki, Lutheran na Angikana hujengwa juu ya misingi imara sana.
Wapo tayari ujenzi uchelewe ila jengo liwe imara
Wangekuwa wamejenga kama Katoliki basi taarifa zingesemaYa walokole je?
[emoji16][emoji16][emoji16]Ungemalizia kwakusema, hata misikiti nayo imeenda na maji
UPANDE WA PILI LINGEBAKI HANDAKI NA MAKOBAZIView attachment 2833512
"Kwenye madhara haya tumepata majeruhi pia wapatao 116, wanaume ni 56 na wanawake ni 60, ndugu Watanzania haya maafa ni makubwa sana, pia tumepata uharibifu mkubwa wa nyumba za kuishi, mashamba na mitambo mbalimbali ya magari, nimepata bahati ya kwenda Gendabi nyuma ya milima, kile kijiji nyumba zimeachwa upande wa kulia na kushoto eneo la katikati nyumba zote zimeondoka limebaki kanisa tu, hali sio nzuri,"
Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
===
Salamu,
Huko Hanan'g kijiji cha Ngendabi nyumba zote zimesombwa na maji ila kanisa limesimama vilevile.
Je hii ni sababu ya matereal za ujenzi au Koroho zaidi?
Hakuna kitu kinanikera Kama hiki, na hii inaashiria hata taarifa za vifo na majeruhi ni za kupikwa, kila ukweli unafichwa,Waandishi wamezuiwa wasipige picha , wewe umeona picha za kueleweka za tukio
Unafikiri labda ni adhabu ya mungu, Dunia bado IPO kwenye evolution process hizi natural phenomena ni jambo lakuwa nalo kichwani.Hakuna kitu kinanikera Kama hiki, na hii inaashiria hata taarifa za vifo na majeruhi ni za kupikwa, kila ukweli unafichwa,
Back kwenye mada, kwanini hao watu "hawakufunuliwa" kukimbilia kanisani? Huenda wangepona wote!!!
Yesu kristo ni yeye yule jana leo na hata mileleView attachment 2833512
"Kwenye madhara haya tumepata majeruhi pia wapatao 116, wanaume ni 56 na wanawake ni 60, ndugu Watanzania haya maafa ni makubwa sana, pia tumepata uharibifu mkubwa wa nyumba za kuishi, mashamba na mitambo mbalimbali ya magari, nimepata bahati ya kwenda Gendabi nyuma ya milima, kile kijiji nyumba zimeachwa upande wa kulia na kushoto eneo la katikati nyumba zote zimeondoka limebaki kanisa tu, hali sio nzuri,"
Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
===
Salamu,
Huko Hanan'g kijiji cha Ngendabi nyumba zote zimesombwa na maji ila kanisa limesimama vilevile.
Je hii ni sababu ya matereal za ujenzi au Koroho zaidi?
Hapo hata Mungu tunamsingizia, ametupa akili za kutosha, baada ya watu kuripoti moshi usio wa kawaida, ilikuwa Ni jukumu la serikali kufika haraka, kufanya uchunguzi, kuwataarifu watu hatari iliyopo, hata serikali isingewahamisha lakini wengi wangehamia maeneo mengine kwa mudaUnafikiri labda ni adhabu ya mungu, Dunia bado IPO kwenye evolution process hizi natural phenomena ni jambo lakuwa nalo kichwani.
Lakini wakazi waliona mlima ukifoka Moshi wenye harufu mbaya.
Cunajua CCM Tena ,hawana Akili,wakaficha
matope yameanza kukaukaMkuu utazama kwenye tope au ushazoea?
Nyumba za nyasiView attachment 2833512
"Kwenye madhara haya tumepata majeruhi pia wapatao 116, wanaume ni 56 na wanawake ni 60, ndugu Watanzania haya maafa ni makubwa sana, pia tumepata uharibifu mkubwa wa nyumba za kuishi, mashamba na mitambo mbalimbali ya magari, nimepata bahati ya kwenda Gendabi nyuma ya milima, kile kijiji nyumba zimeachwa upande wa kulia na kushoto eneo la katikati nyumba zote zimeondoka limebaki kanisa tu, hali sio nzuri,"
Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
===
Salamu,
Huko Hanan'g kijiji cha Ngendabi nyumba zote zimesombwa na maji ila kanisa limesimama vilevile.
Je hii ni sababu ya matereal za ujenzi au Koroho zaidi?