Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MeaskronUnaendaje kuufuata moto
Hapa kijijini nilipo, mwaka jana kuna upepo mkali ulipita usiku mmoja, ukang'oa paa la jengo la Kanisa tu, nyumba zingine zote mapaa yalibakia salama. (Miezi michache kabla ya hilo tukio, mhandisi mmoja wa hilo dhehebu alipita na kuona uduni wa namna hilo paa lilivyojengwa na kutoa angalizo kuwa, upepo mkali wowote unaweza kuling'oa hilo paa kirahisi, hivyo warekebishe mapema).
Sasa embu tuambie kiroho imekaaje?
wakulaumiwa ni gigy mahelaNimeona Wmkuu akiwa eneo hilo la kanisa, piteni huko fb.
Kwa maana kuwa zile nyumba nyingine je, hazikuwepo ?
Tutazodowana sana kwa hilo.
Sasa kwanini unapotosha? Hakuna kijiji kilichosombwa choteNipo Kateshi mjini mda huu
Science first before myth!Salamu,
Huko Hanan'g kijiji cha Ngendabi nyumba zote zimesombwa na maji ila kanisa limesimama vilevile.
Je hii ni sababu ya matereal za ujenzi au Koroho zaidi?
===
View attachment 2833512
"Kwenye madhara haya tumepata majeruhi pia wapatao 116, wanaume ni 56 na wanawake ni 60, ndugu Watanzania haya maafa ni makubwa sana, pia tumepata uharibifu mkubwa wa nyumba za kuishi, mashamba na mitambo mbalimbali ya magari, nimepata bahati ya kwenda Gendabi nyuma ya milima, kile kijiji nyumba zimeachwa upande wa kulia na kushoto eneo la katikati nyumba zote zimeondoka limebaki kanisa tu, hali sio nzuri,"- Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
ASANTE SANA mana watu walidai ni CHAI YA COCOAView attachment 2833512
"Kwenye madhara haya tumepata majeruhi pia wapatao 116, wanaume ni 56 na wanawake ni 60, ndugu Watanzania haya maafa ni makubwa sana, pia tumepata uharibifu mkubwa wa nyumba za kuishi, mashamba na mitambo mbalimbali ya magari, nimepata bahati ya kwenda Gendabi nyuma ya milima, kile kijiji nyumba zimeachwa upande wa kulia na kushoto eneo la katikati nyumba zote zimeondoka limebaki kanisa tu, hali sio nzuri,"
Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
===
Salamu,
Huko Hanan'g kijiji cha Ngendabi nyumba zote zimesombwa na maji ila kanisa limesimama vilevile.
Je hii ni sababu ya matereal za ujenzi au Koroho zaidi?
Kapicha basi
Mungu anadhihirisha ukuu wakeView attachment 2833512
"Kwenye madhara haya tumepata majeruhi pia wapatao 116, wanaume ni 56 na wanawake ni 60, ndugu Watanzania haya maafa ni makubwa sana, pia tumepata uharibifu mkubwa wa nyumba za kuishi, mashamba na mitambo mbalimbali ya magari, nimepata bahati ya kwenda Gendabi nyuma ya milima, kile kijiji nyumba zimeachwa upande wa kulia na kushoto eneo la katikati nyumba zote zimeondoka limebaki kanisa tu, hali sio nzuri,"
Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
===
Salamu,
Huko Hanan'g kijiji cha Ngendabi nyumba zote zimesombwa na maji ila kanisa limesimama vilevile.
Je hii ni sababu ya matereal za ujenzi au Koroho zaidi?
bwana Nani?Nyumba ya Bwana
Mungu anaonyesha ukuu wake!!View attachment 2833512
"Kwenye madhara haya tumepata majeruhi pia wapatao 116, wanaume ni 56 na wanawake ni 60, ndugu Watanzania haya maafa ni makubwa sana, pia tumepata uharibifu mkubwa wa nyumba za kuishi, mashamba na mitambo mbalimbali ya magari, nimepata bahati ya kwenda Gendabi nyuma ya milima, kile kijiji nyumba zimeachwa upande wa kulia na kushoto eneo la katikati nyumba zote zimeondoka limebaki kanisa tu, hali sio nzuri,"
Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
===
Salamu,
Huko Hanan'g kijiji cha Ngendabi nyumba zote zimesombwa na maji ila kanisa limesimama vilevile.
Je hii ni sababu ya matereal za ujenzi au Koroho zaidi?
Bongo nyoso kweliKama hakuna picha hii ni chai
Broo si lazima uamini nmepoteza ndugu watano kwenye Hilo jangaNani kakwambia kijiji chote kimesombwa? Ndo ujinga wa wabongo mtu anaeleza tukio kama yupo eneo la tukio wakati hayupo
Nani asiejua kuwa wamekufa watu zaidi ya 70+? Taarifa za kusema kijiji kizima kimesombwa siyo za kweli ni uongo.Broo si lazima uamini nmepoteza ndugu watano kwenye Hilo janga
Basi tuseme hakuna kilichotokea