Landcruiser
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,805
- 599
Endelea kuutafuta, kina WEMA ndio wanajua kila kitu mjini humu.Lakini MNA ushahidi??
Aliyekudanganya k ina expire ni nani?amejiuza south Africa mpaka wamemchoka huyo aliempamgishia nyumba huko Makongo sijui ana akili gani aisee....kiongozi mzima kumpangishia nyumba huyu ni kujidhalilisha tu
Hela yako tu hata wewe unakaribishwaWakubwa wanafaidi sana aisee.
Kwani inaharibikaga?amejiuza south Africa mpaka wamemchoka huyo aliempamgishia nyumba huko Makongo sijui ana akili gani aisee....kiongozi mzima kumpangishia nyumba huyu ni kujidhalilisha tu
kuna tofauti kati ya umbeya na umbeaKuongea vitu visivyo na ushahidi ni umasikini wa kifikra, haina tofauti na umbeyaa.
Watoto wa kiume mnakuwa wambeyaa kiasi hiki kuliko hata dada zenu..!? Ni hatari kwa Taifa.
Tunajua wauza madawa nao ni watu wenye uwezo hivyo lazima wamchafue Mh mkuu wetu wa Mkoa, napenda kumwambia, Watanzania Wanyonge tupo nyuma yake na Mungu atambariki kufikia lengo lake.
Hata kama kapanga nyumba makongo sio shida kwa sababu pengine kapanga ili apate taarifa na mtandao mzima wa mashetani yanayo tuletea madawa ya kulevya.
Watanzania tunatakiwa tuipe dola nafasi, kwa style hii tutawavunja nguvu watetezi wetu na Taifa kuhangamia kabisa na madawa ya kulevya.
NB kwa faida yenu, hakuna mwanamke anaejua kubembeleza mwanaume, kama mwanamke alie tumika sana na mwenye kilometa nyingi. Ukitaka kuenjoy barabara tafuta Gari lenye engine kubwa kama V8.
Nimejiuliza hiyo sauti.Alafu iyo sauti kwenye hiyo video kama ya madereva [emoji849][emoji3]
Km siti ya daladala au CHUPA ya soda ukiitumia yasafishwa yajazwa tena utamu kolea,hio ndo mizigo iliyojazia anayosema kipozeo.Halua haina makombo hiyo kitu hata iburuzwe vipi ukupiga mizuka ileile aloipata wa mwanzo itakuwa sawa na yako. Acha ipigwe tu na wenyenacho.
una uhakika au unaropoka ujinga tu,acheni upuuzi wenu mnaongea vitu avina ushahidi,wema kakutwa na madawa ya kulevya aina ya bangi,bangi hairuhusiwi hapa kwetu hivyo ni lazima tumfikishe mahakamani sheria ichue mkondo wakeMshamba wa bara anasaliti ndoa Yake na kahaba mkubwa... Halafu anajiita mcha mungu!
ushahidi unao au povu tu linakumwagika?amejiuza south Africa mpaka wamemchoka huyo aliempamgishia nyumba huko Makongo sijui ana akili gani aisee....kiongozi mzima kumpangishia nyumba huyu ni kujidhalilisha tu
Acha hizo ndugu! Huoni hata aibu kuongea hayo unayoyasema! Eti kakutwa na madawa ya kulevya! Eti sheria ifuate mkondo wake!una uhakika au unaropoka ujinga tu,acheni upuuzi wenu mnaongea vitu avina ushahidi,wema kakutwa na madawa ya kulevya aina ya bangi,bangi hairuhusiwi hapa kwetu hivyo ni lazima tumfikishe mahakamani sheria ichue mkondo wake
bangr ni nini?Acha hizo ndugu! Huoni hata aibu kuongea hayo unayoyasema! Eti kakutwa na madawa ya kulevya! Eti sheria ifuate mkondo wake!
Ina ukhty huelewi huo msemo au?Yaani
Hiyo ndiyo gharama ya kuchokoza nyuki mengi yatasemwa lakini vita ni mbele kwa mbeleUongozi ni kazi kweli..
Hivi mke wa mpambanaji wetu, mungu wa dar akisikia tuhuma za huyu binti kupangiwa kajumba anapika kweli??
Bangi ni sigara tu... Msokoto mmoja na lizla zinazouzwa madukani ndiyo unamkamata bibie eti anahusika Na madawa ya kulevya! My foot! Malaya wake, kahaba wa kutupa ameshakamatwa na madawa halisi Ya kulevya tena shehena kubwa! Mbona hajamkamata!bangr ni nini?
kaanza na wema wengine wanafuataBangi ni sigara tu... Msokoto mmoja na lizla zinazouzwa madukani ndiyo unamkamata bibie eti anahusika Na madawa ya kulevya! My foot! Malaya wake, kahaba wa kutupa ameshakamatwa na madawa halisi Ya kulevya tena shehena kubwa! Mbona hajamkamata!
Hata sielewi mwenzanguIna maana ukhuty huelewi huo msemo au..?
Makombo ni pale linapokuwa kama bwawa la mabibo.hainaga,makombo ile...
katoka kwa kajala,kahamia hukoo
Wacha hizo banaHata sielewi mwenzangu