Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kisaikolojia ukimsoma vizuri ni mtu aliyejaribu kuujua ukatoliki lakini sasa mambo mengi ameyakuta yako ndani ya milango ya chuma na angepata nafasi tu angenyea watu vichwani.Huyu ni muongo lakini ni mwanaume mwenye mdomo mrefu sijawahi ona ,,,nazani kile kitendo ni sehemu ya masomo wanaelewa wanao fanya na sio mbwembwe kama anavo dai
Jibu maswali kwenye post [HASHTAG]#162[/HASHTAG]Niulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole
Karibuni.
Unamkimbiza mwenzio kwenye Uzi wake lol
Ahaa.nimekuelewa.mimi sina bifu za KIKE.mpendwaa.mmmh! mie naogopa bhana...kwanza wewe nilikuitaga kule hukuja
Mi sitaki kujua kwann umeacha upadri na kwenda kwenye dini ya haki.Asante dada Inna
Nashindwa kujibu swali lako, sijaona alama ya "?"
Ahaa.nimekuelewa.mimi sina bifu za KIKE.mpendwaa.
[emoji1] [emoji1] .siwez rushiana maneno.kama wanawake mbele za watu.sikuona sababu ya kuja.maana mwanaume hafanyi mambo yale.Sasa si ungeitikia wito tu jamanii
Principle tano za kuzingatia napopiga punyeto usiku..Atakwambia amesahau!
Huyu bwana yupo anatuzingua tuwewe lazima zimefyatuka... Umesema 2012 ukafuata dini ya haki alafu gwajima kaongea habari za maharage mwaka 2015/16. Unaakili za form two na hakuna padri mwenye akili ya hivi
Leo ndo nimeamini ukiacha upadre lazima uwe mwendawazumu, kumbe ni laana kuvunja yale maagano.Wako wapi.
Kuna sehem nimeandika kuwa mimi ni Nabii.
Au unataka nikuwashie moto hapa hapa!!
[emoji1] [emoji1] .siwez rushiana maneno.kama wanawake mbele za watu.sikuona sababu ya kuja.maana mwanaume hafanyi mambo yale.
Na bado utatukana hadi mama yakoSikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu