Chupi ww huna adabu HujitambuiAsante kwa swali zuri lenye mashiko.
Al islam huadin ulladhi baa sallahu bih.
Sayydina Muhammad salallahu aleyhi wassalam.
Umeanza!!![emoji115][emoji53][emoji53][emoji53]Ni kweli.
Kwa sababu Nyeto ndio ilikua msaada wangu mkubwa tangu nikiwa Tabora Boys, Itaga Seminary, UDSM , Amsterdam School of Divinity.
Hujasoma Boarding school wewe???
Ole wako uchepuke!![emoji1][emoji1][emoji1]Nakuona nakuonaa....
Unataka pia nikuulize maswali yanayodhihirisha kuwa wewe una usaa katika upande mmoja wa ubongo wako.Haina maana yoyote, ni mbwembwe tu zile.
Masuala mengi sana hata mie nilikua nauliza Maaskofu zangu sipewi majibu yenye mashiko.
Ndio moja ya sababu kuikimbia dini ya binadam na kuhamia dini ya haki
Hatumii tena gharama kubwa ya kushona suruali ndefuUlivuoamia kwenye dini ya haki unamafanikio gani kutofautiana na wale uliowaacha kwenye dini iziyo ya haki.
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Lete habari ya uhusiano wa mtoto aisha na Mzee Mudy...!I am very sorry.
Nishafuta kabisa memory ya habari za Maandiko ya kiyunani.
Niulize habari za Aboubakar ibn Sadik, Uthman ibn Hatwaab, Abu Lahabu.
Nakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.
Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri
Tukio lipi lilitangulia kati ya hayo mawili?Padri Mcharo Mcharuko.
Nilikua Padri mwenye misimamo sana.
Padri pekee niliemsapoti Askofu Gwajey kipindi kile cha sijui amekula maharagwe ya wapi yuleeeee
Kazi njema huko kwenye dini ya Allah. Ukimaliza ulichotumwa be back soon. Data unazoprovide kwa wayunani hazijakamilika.
Kumbuka za Makkah pia zinatakiwa. Ukishaiva usisahau kwenda huko!!
Vp za Al aqsa ushazidukua?
[emoji207] [emoji207] Kondoo?? wapi na wapi!! Sema mabuzi [emoji238] [emoji238] ya bwana palokoIlikuwaje ukahasi kuchunga kondoo wa bwana?
Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
hivi ni kweli kua ili uwe padr lazma utoe kafara?
Mkuu, akikujibu usiniite maana hakutakuwa na majibu hapo itakuwa vumbi tupu. Ila asipo kujibu usisite kuniambia kuwa kashindwa.-ulisomea wapi upadre?
- mlikuwa wangapi?
- nani anatoa daraja la upadre
- nani mwenye uwezo was kukuvua upadre
- yesu katajwa Mara ngapi? Mwenye korani/Muhammad naye katajwa Mara ngapi?
- Koran inamtamua yesu kwa majina gani?
- wanawake wangapi wametajwa kwa majina kwenye korani wataje?
-kabla ya kuwa padre ulikuwa nani?
- mwaka gani? Ulihitimu upadre na wapi?
- nini? Maana ya mwaka A mwaka B na Mwaka C ktk kanisa na kwann iko hivyo
Anajichanganya kinoma mtu muongo utamjua tu
Una uhusiano wowote na deogratoous kisandu?