naona unanipenda kweli, jina langu halikauki kinywani mwakoHakika wewe ni mwanamke makini sana.
Hakuna cha rubii Miss Natafuta wala jje's
Wote hawaingii hata robo kwako.
Lakini dada yangu, hapo kwenye **** umeandika kitu gani??
Bila shaka hilo ni tusi. Labda uliandika **** kimakosa ukimaanisha Kuna.
Waumini wangu na Mapadri wenzangu niko nao peace kabisa. Na ni wengi niliwashawishi kuachana na ukafiri na kuifata haki ilipo.
Kwenye hiyo dini ya haki huwa mnaamini mtapewa mabikra wenye makalio makubwa na macho kama vikombe mbinguni, je wanawake wao watapewa wanaume wangapi?Asante dada Inna
Nashindwa kujibu swali lako, sijaona alama ya "?"
Unaamini kwamba Mungu yupo?Niulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole
Karibuni.
kwa nini wewe sasa unnapenda kusambaza chuki.. huoni kama unakosea imani yako?Hapana dada yangu miss chagga
Hairuhusu kabisa.
Laiti siku ungepata nafasi ukaenda mji wa Jakarta Indonesia. Hutotamani kurudi bongo, utapaona huku ni Jehanamu.
Je ulilelewa kwa imani ya dini IP?
Je sio tamaa ya wanawake ilikufanya ukaachana na upadre?
Kwa nini kidume ujiite mcharuko na kama ilo jina ulipewa na waumini huoni ni sababu ya tabia zako chafu?
Ukiwa mchungaji wa kondoo wa bwana ulifanikiwa kula wangapi kabla ujatimuliwa?
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
niamni kwa sasa kuwa ni ustaziSijaelewa.
Lengo uamini kuwa nilikua Mtumishi.
Au lengo uamini kuwa sasa ni Ustaaz
kwa nini wewe sasa unnapenda kusambaza chuki.. huoni kama unakosea imani yako?
huwa nakuona maeneo mengi upo tayari kumtack mkristo kwa maneno mabaya ili mradi umuudhi.. padri wa kweli me huwa sikufurahii japo ungetumia nafasi iliyopata ya kujua dini zote mbili ungeweza saidia sana ila umekuwa kama mtu wa kuponda tu ukristo,.. mpaka najiuliza je padri kwenye ukristo uliona ubaya tu au? .Sisambazi chuki.
Sijui kwanini unasema nasambaza chuki
Mbona hujibu maswali yangu wewe?
Je ushawahi kuliwa nyuma?
Why mcharuko?
Mama yako anajua ww ni shoga?
Marinda yako mazima?
Unanyonya dudu ukitaka kudukuliwa?
Je naweza kukupata wap na mm nikuhonje jicho lako?
NB. Umesema maswali yoyote..
-Mond-
Vipi Habari za Salman Rushdie?I am very sorry.
Nishafuta kabisa memory ya habari za Maandiko ya kiyunani.
Niulize habari za Aboubakar ibn Sadik, Uthman ibn Hatwaab, Abu Lahabu.
huwa nakuona maeneo mengi upo tayari kumtack mkristo kwa maneno mabaya ili mradi umuudhi.. padri wa kweli me huwa sikufurahii japo ungetumia nafasi iliyopata ya kujua dini zote mbili ungeweza saidia sana ila umekuwa kama mtu wa kuponda tu ukristo,.. mpaka najiuliza je padri kwenye ukristo uliona ubaya tu au? .
nb; si lazima kila mtu akufurahie padri