Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

Hakika wewe ni mwanamke makini sana.
Hakuna cha rubii Miss Natafuta wala jje's
Wote hawaingii hata robo kwako.

Lakini dada yangu, hapo kwenye **** umeandika kitu gani??
Bila shaka hilo ni tusi. Labda uliandika **** kimakosa ukimaanisha Kuna.
Waumini wangu na Mapadri wenzangu niko nao peace kabisa. Na ni wengi niliwashawishi kuachana na ukafiri na kuifata haki ilipo.
naona unanipenda kweli, jina langu halikauki kinywani mwako
 
Asante dada Inna
Nashindwa kujibu swali lako, sijaona alama ya "?"
Kwenye hiyo dini ya haki huwa mnaamini mtapewa mabikra wenye makalio makubwa na macho kama vikombe mbinguni, je wanawake wao watapewa wanaume wangapi?
Na je kutokana na matamanio yako kuzidi kiasi cha kupiga punyeto je ahadi ya mabikira 72 mbinguni siyo ilokuvutia kuhamia dini ulioiita ya haki?

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Je ulilelewa kwa imani ya dini IP?

Je sio tamaa ya wanawake ilikufanya ukaachana na upadre?

Kwa nini kidume ujiite mcharuko na kama ilo jina ulipewa na waumini huoni ni sababu ya tabia zako chafu?

Ukiwa mchungaji wa kondoo wa bwana ulifanikiwa kula wangapi kabla ujatimuliwa?

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app


Mdogo wangu harder king
Sijui nikusadieje. Maswali karibu yote nimeshajibu kwa ufasaha kabisa huko nyuma.

Hiyo TECNO Boom J8 pengine inakuzingua ku load pages kwa haraka.
Nakushauri uza, nunua walau TECNO W5
 
io haki kwenye dini yako mpya ndo ipi.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Akitokea hapa ustadhi Mohamed bin OMAR akaweka avatar ya Imam aliyekatika vazi la kuendesha swalah, na akatapika haya wewe unenayo sijui kama hapa pangekalika!....ha ha ha any way tumia uhuru wako vizuri hapa JF maana kule uraiani na mjengoni hatuna uhuru to that extend!

alaaaaaa akibaruuuuuu
 
Sisambazi chuki.
Sijui kwanini unasema nasambaza chuki
huwa nakuona maeneo mengi upo tayari kumtack mkristo kwa maneno mabaya ili mradi umuudhi.. padri wa kweli me huwa sikufurahii japo ungetumia nafasi iliyopata ya kujua dini zote mbili ungeweza saidia sana ila umekuwa kama mtu wa kuponda tu ukristo,.. mpaka najiuliza je padri kwenye ukristo uliona ubaya tu au? .
nb; si lazima kila mtu akufurahie padri
 
Mbona hujibu maswali yangu wewe?


Internet access yako itakua inasumbua blaza.
Nimekujibu tayari, nimebakiza moja tu.
Nilichogundua unapenda ujibiwe kwa kirefu, basi naandaa majibu yako kwa umakini.
 
Je ushawahi kuliwa nyuma?
Why mcharuko?
Mama yako anajua ww ni shoga?
Marinda yako mazima?
Unanyonya dudu ukitaka kudukuliwa?
Je naweza kukupata wap na mm nikuhonje jicho lako?
NB. Umesema maswali yoyote..

-Mond-


Asante mamdogo Mondray
Bahati mbaya maswali yako hayana kichwa, miguu wala matako.
 
huwa nakuona maeneo mengi upo tayari kumtack mkristo kwa maneno mabaya ili mradi umuudhi.. padri wa kweli me huwa sikufurahii japo ungetumia nafasi iliyopata ya kujua dini zote mbili ungeweza saidia sana ila umekuwa kama mtu wa kuponda tu ukristo,.. mpaka najiuliza je padri kwenye ukristo uliona ubaya tu au? .
nb; si lazima kila mtu akufurahie padri


Ngoja kwanza.
Kwahiyo miss chagga hunipendi??
 
Eti inasemeka una mwili mkubwa na bichwa kubwa ila akili kisoda?

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom