miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
kiukweli sikufurahii kabisa .. kukupenda sina hakika padriNgoja kwanza.
Kwahiyo miss chagga hunipendi??
Nataka nikutongoze. Utakubali?Simjui huyo mtu
Niulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole
Karibuni.
Niulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole
Karibuni.
tafuta habari zake kisha njo hapaSimjui huyo mtu
Naomba unijibu haya maswali yangu :-
1.uislam ulikuwepo kabla au baada ya mtume?
2.Je alkaaba ni nn kwann tukiswali tunaeleke huko na ndani yake kuna nn
Jibu hayo kwanza ustadhi alafu tuendelee na mada
Sent from my HUAWEI CUN-U29 using JamiiForums mobile app
din ip ulitambua kuwa ni ya haki
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Niulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole
Karibuni.
Dini yako ni ipi kwa sasaSio Padri tena kwa sasa.
Nilikua Padri wa dhehebu moja pendwa Parokia ya Itigi Singida.
Baada ya kutambua dini ya haki, nikaachana na utumishi.
kashakwambia kabla ya upadre alikua muhuni, je unaamini uhuni umemuishaPadri aliyeiva hasa hawezi kuongea lugha za hovyo namna hii. Mbona Privatus Karugendo ameacha upadri lakini hana lugha za ukakasi kama zako....
Dini yako ni ipi kwa sasa
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
je hayo matusi unaruhusiwa kwenye dini ya haki?Naam. Swali zuri sana dada yangu poa tu
Ndio maana nikaitwa Mcharo Mcharuko.
Ni mtu wa misimamo sana, sipendi uababishaji.
Nikiona ujinga kwenye forum lazima nirushe mvua ya matusi kama kawa.
Ni uzi huu pekee nimejipiga marufuku kutukana.
Otherwise hata wewe hapa kubabake ulikua ule za uso tu.