Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

Asante sana bwana mdogo lufungulo k

Kabla ya kuwa Padri nilikua muhuni tu kama walivo vijana wengi





Niko dini ya haki




Bado sijaoa.
.
Nimeathiriwa sana na Nyeto.




Umri wangu ni miaka kati ya 20 na 50

Kwa sasa nina degree mbili.
Theology (from Amsterdam Nethelands)
Computer Science (distance learning from Cambridge University)
MBA in Oil and Gas from UDSM (ON GOING)

Utumishi kwa ujumla (kuanzia masomo hadi Upadri wenyewe) nimedumu kwa takriban miaka 13

1.Kabla ya kuwa padri ulikuwa mhuni wakati unadai umeingia huko katika umri wa 15 yrs!
2.Dini ya haki na kamali,nyeto uongo na lugha za ajabuajabu wapi na wapi.

Huyu jamaa sijui hata kama ni Muislam wa kweli. Labda kama kuna kazi katumwa huko imekuwa ngumu..
 
Sijiiti mimi.
Bali waumini wangu ndio wananiita mpaka hivi sasa.
Nilishawaambia zaidi ya mara 105 kuwa higi sasa naitwa: Ustaadh Aziz Deo.
Lakini hawataki kuelewa, sasa mie nifanyeje
Kama hujiiti kwanini kwenye ID umeandika padre, au nayo walikufungulia waumini wako?

.... you can't convince, then confuse....
 
Asante mamdogo GIUSEPPE
Sijaona maswali.
Bali nimeona image zenye maneno
Shehe ushaanza uhanithi sasa, mamdogo ndo nani sasa? Sisi twajua kilicho kupelekaa kwa dini ya haki ni kwasababu ya ruksa ya kuoa wake wengi na ruksa ya kuoa vijitoto na ahadi ya kupata mabikra wa ahera. Hakuna chochote cha maana huko kwenye dini ya haki.
 
Sikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu
Upo kwenye dini ya ili hali unabet

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Naamini Mungu yupo kwa sababu ya kifo.
Siku binadamu akigundua dawa ya kuepukana na Kifo ndipo nitaamini kuwa Mungu hayupo!!!
Kifo kinatakiwa kikufanye uamini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote hayupo.

Kwa sababu angekuwepo asingeachia viumbe vyake anavyovipenda na vinavyopendana vitenganishwe kwa kifo.
 
Dada yangu rubii
Upadri nilianza rasmi mwaka 2009 na kuacha mwaka 2014 mwishon.
Degree ya Computer Science nimesoma mdogo mdogo wakati nikiwa bado Shemasi nilipokua Parokia ya Ngokolo Shinyanga mjini. It was Online based.

Bila shaka sasa umeridhika kabisa na maelezo yangu. Umeniamini sasa


Okay,
2014-2009 makes 5years hivyo umedumu kama padri rasmi kwa miaka 5 tu

Je Utumishi kwa ujumla (kuanzia masomo hadi Upadri wenyewe) umedumu kwa takriban miaka mingapi??
 
Okay,
2014-2009 makes 5years hivyo umedumu kama padri rasmi kwa miaka 5 tu

Je Utumishi kwa ujumla (kuanzia masomo hadi Upadri wenyewe) umedumu kwa takriban miaka mingapi??


Shule miaka 7.
Ushemasi (Ngokolo Shinyanga) miaka 2.
Upadri wenyewe kabisa miaka 5.
Jumla miaka 14 point something
 
Asante dada rubii kwa umakini wako
UDSM ndipo nilipo hivi sasa, nachukua masters ya finance in OIL and GAS kwa scholarship ya kampuni ya STAT OIL.
Karibu UDBS dada yangu.

Umri wangu ni miaka kati ya 20 na 50
Kwa sasa taaluma yangu ni Project manager in IP Routing katika kampuni moja ya Waholanzi (mchongo huu niliupata tangu nasomea Theology pale Amsterdam)
IP Routing ni mambo ya Computer Networks

Kwa sasa nina degree mbili.
Theology (from Amsterdam Nethelands)
Computer Science (distance learning from Cambridge University)
MBA in Oil and Gas from UDSM (ON GOING)

Utumishi kwa ujumla (kuanzia masomo hadi Upadri wenyewe) nimedumu kwa takriban miaka 13





Shule miaka 7.
Ushemasi (Ngokolo Shinyanga) miaka 2.
Upadri wenyewe kabisa miaka 5.
Jumla miaka 14 point something
 
Shule miaka 7.
Ushemasi (Ngokolo Shinyanga) miaka 2.
Upadri wenyewe kabisa miaka 5.
Jumla miaka 14 point something
09fc60c25976d081c9c61ee59dfa6474.jpg
 
Dini yako ya haki inaruhusu kubet

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Dini yako inaruhusu kamari

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Ni wapi biblia haina amani, unapata burudani ukisoma qurani sababu mtume nae alikuwa mcharuko kama ulivyo wewe, muulize max upate habari za mtume.

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom