Ewe Aunt mcharuko....usianze kuleta tabia ya nduguyo Maimuna t*ako laini...kuutwa kujifungasha baibui lakini udhu anausikia kwa wenzie...!Dada yangu Azarel
Maswali yote nimejibu kwa ufasaha.
Ukiona sijajibu swali lako au mtu mwingine, ujue swali hilo halina kichwa, miguu wala matako.
nakujua zaid hata unavyojijua maana me mwenyewe mcharo.He!!! Umejuaje
Ufike Milan usifike Vatican? Inafikirisha?
Kekereeeenkede...si mara moja nimeshatoa sababu kuwa Muhammad ndiye Kafir wa kwanza.Nilikua nimeenda kuchukua rakaa zangu nne za Salat ishaa.
Siwezi kukimbia kelele za makafiri mie!!
Mtume Mudy (25) alitongozwa na Bi khadija (40) alyekuwa mhasibu wa meccaAsingetongozwa mama yako ungekuwepo leo?
Dishi lililoyumba ni la wale wajifanyao kuwa hawaikaribii mvinyo lakini wameahidiwa Mvinyo utiririkao Akhera ulio mtamu.Nimeamini kuwa wewe dishi lako limeyumba.
Akacharuke na jini HulKama wewe ni MCHARUKO basi ulikoenda ndiko mahala pako.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Yaap...ndio dini ya hakhi hiyo...na bado wanatunziwa mvinyo wao wa akhera ulio mtamu na zile zawadi zingine sheikh.
Hii ndiyo dini ya haki
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Aya za shetani umewahi kuzisikia?Simjui huyo mtu
Mcharo waweza kusema una dini ya haki?
Kwa hiyo walipohifadhi vichwani waliikusanyia wapi kama hawakuandika? Na kama waliandika waliandika kina nani? Kati yao mmoja alikuwa na mashetani tafuta utajua. Sasa inaaminika vipi kitu kilichoandikwa na mtu aliyepagawa?Hapana.
Qur'an haikuandikwa kama unavofikiri.
Qur'an imeteremshwa kutoka kwa Allah Mungu mmoja.
Watu walihifadhi vichwani na baadae kukusanywa katika maandishi baada ya kifo cha mtume Muhammad SAW
Ukweli ni nini? Maana unasema quran haikuandikwa ilhali ni kitabu, huoni huo ni uwongo?Uongo hauruhusiwi.
Ndio maana nimekua mkweli kwa kila kitu hapa.
I am very sorry.
Nishafuta kabisa memory ya habari za Maandiko ya kiyunani.
Niulize habari za Aboubakar ibn Sadik, Uthman ibn Hatwaab, Abu Lahabu.
Deo kisandu huyu anatusumbua tuPadre umesoma Tabora boys?mi nachojua mapadre wana seminary zao from pre form one
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Wanabetigi wap jamani
Padri/Ustadh imani inazungumza nini kuhusu kamali.
Sorry kwa members wanaobet kama mimi,ila nataka kujifunza tu.
Sent from my C1605 using JamiiForums mobile app