Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kumbe alishapata haki yake ya kufungiwa? Safi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha... msalimieJamaa mstaarabu sana.
Anajibu maswali kwa logic kubwa mno
Nakuelewa sana wilbaldBasi kwa jibu hilo hujui lolote kuhusu upadre.
Huyu sio padre Na hajawahi kua padreKuna vitu vingi sana natofautiana na wakatoliki katika ukristo lakini nahisi hujakutana na Yesu aliye hai kwa Yesu kuna raha jamani , ipo siku nataka ukutane nae kama Zakayo! Tunakuombea!
Naheshimu mawazo yako sina swali mana uliangaika kuuliza maaskofu ndo mama ukapotea ungekaa chini ukaruhusu roho mtakatifu azungumze nawe akufundishe haswa nini cha kufanya ungekuwa mbali hata hivyo ' mavuno ni mengi watendakazi ni wachache'.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Ok,thanks! But under this condition...on XYZ basis.
kwa nini wamekuBANNiulize chochote, kuhusu lolote.
Itikadi zangu, attitute yangu nakadhalika.
Sitokutukana, nitakujibu kwa upole
Karibuni.
Padri Mcharo mbona ulipotea na Id yako ya Chief engineer
Wewe kama Mimi! Hadi hapo nimekuelewa ukisema dini ya haqi!Padri kwa sababu nilishawahi kuwa Padri nimetumikia Parokia ya Itigi Singida kwa takriban miaka 7 na ushee.
Nenda pale Itigi utakuta habari zangu.
Mcharo kwa sababu ya misimamo yangu kiimani. Mimi ni mcharuko kweli linapokuja suala la upelekeshwa kwenye masuala ya dini.
Tangu nitambue dini ya haki niliachana kabisa na mambo ya utumishi.
Japo kanisa ndio lilinisomesha kwa mamilioni ya pesa
Kuna vitu vingi sana natofautiana na wakatoliki katika ukristo lakini nahisi hujakutana na Yesu aliye hai kwa Yesu kuna raha jamani , ipo siku nataka ukutane nae kama Zakayo! Tunakuombea!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu
Padri Mcharo nakuhitaji huku kwa nini unabeti wakati dini ya kiislamu inakataza waumini wake kubeti?
"MAGIC CASTER"