Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

Kikaangoni: Wengi hawajui kwanini naitwa Padri Mcharo, niulize chochote nikujibu

Hawa watu bwana basi tu ila hvi ni kwanini wakatoliki amuoi wala kuolewa wakati Mungu alisema watu wazae na kujaza dunia ? Hivi mkisikia hamu ni kwamba mnajikaza au mnapiga nyeto ?
 
Sijiiti mimi.
Bali waumini wangu ndio wananiita mpaka hivi sasa.
Nilishawaambia zaidi ya mara 105 kuwa higi sasa naitwa: Ustaadh Aziz Deo.
Lakini hawataki kuelewa, sasa mie nifanyeje
We sio Deo kisandu kweli

Big Baba

 
Nakumbuka ilikua alfajiri ya tarehe 16 June 2012. Niliposikia adhana toka msikitini muadhini akisema:
Sala ni bora kuliko usingizi.
Asaatu khayrul minan nnauum.

Siku hiyo ndipo nilipotambua dini ya haki ni ipi nikaachana kabisa na habari za Upadri
Haingii akilin kumwambia mtu mzima kuwa et hii ndo sababu ya kuhama din, wewe ongea ukweli kwanini ulihama din

Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
 



Screenshot_2017-07-11-14-12-32.png



Ulisema Upadre umeacha mwaka 2014 eh
 
Hawa watu bwana basi tu ila hvi ni kwanini wakatoliki amuoi wala kuolewa wakati Mungu alisema watu wazae na kujaza dunia ? Hivi mkisikia hamu ni kwamba mnajikaza au mnapiga nyeto ?


Kumbe alisema tukazae na yet kuna wagumba pia matasa, hao sio watu wake?
 
Sikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu
Padre/ustadhi anasema kubabake

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe alisema tukazae na yet kuna wagumba pia matasa, hao sio watu wake?
Hapana mkuu kwani maandiko yanasemaje baada ya Mungu kumuumba Adam na Awa ? Hao wagumba walikuwepo tokea zamani hivi unakumbuka kisa cha mke wa Elkana ambaye alikuwa mgumba lakini baada ya kumuomba Mungu alimpatia mtoto wa kiume . Kitabu cha 1samweli 1. Endelea kusoma zaidi.
 
Padre/ustadhi anasema kubabake

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
Nimecheka sana asee nimekumbuka siku moja kikwete alitusalimia kwa kutuita oya washikaji mambo ! Niliwaza sana aina ya rais tuliokuwa nayo ila kwasasa nimegundua alikuwa mtu wa aina gani yule mswahili .
 
Hapana mkuu kwani maandiko yanasemaje baada ya Mungu kumuumba Adam na Awa ? Hao wagumba walikuwepo tokea zamani hivi unakumbuka kisa cha mke wa Elkana ambaye alikuwa mgumba lakini baada ya kumuomba Mungu alimpatia mtoto wa kiume . Kitabu cha 1samweli 1. Endelea kusoma zaidi.


Awa ndio nani?
 
Hakuna kitu kinachoitwa Koran katika Uislamu.
Sijataja neno Uislam hapo umeliingizaje neno hilo narudia swali kama hukuliona vzr
Hakuna kitu kinachoitwa Koran katika Uislamu.
Nashangaa wapi?nimetaja UISLAM swali dogo unajichanganya ndo utakuwa Padri haya narudia
To a ufafanuzi Koran 10:94
 
Asante sana bwana mdogo lufungulo k
Maswali yako mengi nimeyajibu page ya pili.
Hapa nakujibu baadhi ambayo hayapo kule.

Upadri ni mchakato, lakini kama kuhitimu basi nimehitimu chuo cha Theology kiitwacho Amsterdam House of Evangelists kipo nchini Uholanzi.
Tulikua wanafunzi 26 kutoka nchi 21.
Mwafrika (mtu mweusi) nilikua peke yangu.
Kabla ya kuwa Padri nilikua muhuni tu kama walivo vijana wengi.

Mwisho kabisa, kwenye Uislamu hakuna kitu kiitwacho Korani

cc:
God Heals and halloperidon
Kwanza napenda kutoa samahani kwako binafsi na wote waliofuatilia maswali haya.
Sababu ya kuomba msamaha huu ni kwamba nimekupiga dozi kubwa mno kwa MTU ambaye roho iko radhi kuuishi ukristo lkn mwili unaogopa macho ya watu wengine. Nilipaswa niende nawe taratibu.
Ktk kitabu chako unachokiamini
- yesu katajwa Mara ngapi? Na kwa majina gani?
- wanawake wangapi? Waliotajwa
- kati ya hao wanawake mama wa yesu katajwa?
- mama wa yesu kazungumziwa kifo chake?
- yesu anazungumziwaje? Je atarudi tena duniani na Muhammad (S.A.W) naye VP alikufa nae je ? atarudi tena duniani?
Kwa Leo jibu hayo ambayo ni daa'wa
 
Sikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu
he ustaadh unabet?

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 
Sikia bwana mdogo.
Lile jukwaa kuna kajamaa kanaitwa ka Pdidy.
Jamaa anaboa kishenz kujaza ma prediction sijui anaya kopi kutoka wapi huko.
Siku moja nimeiga kubeti kwa kutumia prediction zake. Kubabake 35,000 yangu ilienda na maji.
Hivo nina hasira na pesa yangu
he ustaadh unabet?
 
Kwa kweli sijajua kwanini umelike.
Ahsante Mtumishi wa Mungu, usilolijua si vyema ukalitolea maelezo.

Nashukuru kwa Busara yako...[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Hapana sijawahi.
Lakini nimefika sehemu nyingi sana mfano Jerusalem, Maccabi, Tel Aviv, Amsterdam (niliposomea degree yangu ya Theology), Sao Paulo, Milan, Catalunya (Barcelona)
Hapa Africa nimetembea karibu nchi zote isipokua Somalia tu
Ufike Milan usifike Vatican? Inafikirisha.
 
Back
Top Bottom