Kikao cha 77 cha Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, leo Oktoba 20, 2023

Kikao cha 77 cha Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, leo Oktoba 20, 2023

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Kikao cha 77 cha kawaida cha Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kinaanza tarehe 20 Oktoba, 2023, na kinatarajiwa kuendelea hadi tarehe 09 Novemba, 2023.

Washiriki wanajumuisha wawakilishi kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika na nje ya Afrika.Jumla ya washiriki 700 wamesajili kutoka kwenye NGOs na washiriki 90 wametoka kwenye Taasisi za Kitaifa za masuala ya Haki za Binadamu.

Kuanzia tarehe 16 Oktoba, 2023, hadi tarehe 19 Oktoba, 2023, jumla ya washiriki 1,283 wamesajiliwa kushiriki kikao hiki. Washiriki hawa wamegawanyika katika makundi mbalimbali kama ifuatavyo: Aina ya Washiriki Idadi ya WashirikiTaasisi za Kiraia (NGOs) 700, Taasisi za Kitaifa za masuala ya Haki za Binadamu (NHRI) 90, Taasisi za Umoja wa Mataifa 4, Taasisi za Afrika za AU 2, Makamishina na Watumishi wa Kamisheni 39, Washiriki URP 150, Wasaidizi na watoa huduma 298.

 
Hatutaki mambo hayo hapa! issue ya haki za binaadamu ni issue ya 'MORALITY' na sisi watanzania we belong to different schools of morality ie, ideological morality: hapa kwetu mtu akiwa treated inhumanely kama sio wa imani yako kidini au kichama unaunga mkono lkn akiwa wa upande wako unalaani wakati haki za binaadanu zinatakiwa ziwe universal and objective!
 
Tanzania ndio mfano wa kuigwa kwa Haki za binadamu Afrika nzima
 
Kikao cha 77 cha kawaida
kama ni hivyo basi ni mwendo wakuunguza pato tu
 
Kikao cha 77 cha kawaida cha Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kinaanza tarehe 20 Oktoba, 2023, na kinatarajiwa kuendelea hadi tarehe 09 Novemba, 2023.

Washiriki wanajumuisha wawakilishi kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika na nje ya Afrika.Jumla ya washiriki 700 wamesajili kutoka kwenye NGOs na washiriki 90 wametoka kwenye Taasisi za Kitaifa za masuala ya Haki za Binadamu.

Kuanzia tarehe 16 Oktoba, 2023, hadi tarehe 19 Oktoba, 2023, jumla ya washiriki 1,283 wamesajiliwa kushiriki kikao hiki. Washiriki hawa wamegawanyika katika makundi mbalimbali kama ifuatavyo: Aina ya Washiriki Idadi ya WashirikiTaasisi za Kiraia (NGOs) 700, Taasisi za Kitaifa za masuala ya Haki za Binadamu (NHRI) 90, Taasisi za Umoja wa Mataifa 4, Taasisi za Afrika za AU 2, Makamishina na Watumishi wa Kamisheni 39, Washiriki URP 150, Wasaidizi na watoa huduma 298.


Mikutano ya namna hii ni muhimu kwa Taifa letu! Washiriki hutumia huongeza hela kwenye mzunguko wetu wa fedha! Ni ishara nzuri nchi yetu kuwa kivutio kimataifa!
 
Back
Top Bottom