Kikao cha dharura kwa walioumizwa na mapenzi

Tatizo mnampenda kichwa kichwa mwili mzima ndio maana mnaumia .

Mwanamke haitakiwi hata kama unampenda hautakiwi umwonyeshe wazi kuwa unampenda atakunyamyasa sana akijua kuwa umekufa umeoza
 
Tatizo mnampenda kichwa kichwa mwili mzima ndio maana mnaumia .
Mwanamke haitakiwi hata kama unampenda hautakiwi umwonyeshe wazi kuwa unampenda atakunyamyasa sana akijua kuwa umekufa umeoza
Na mwanamke akipenda Je...afanyeje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…