Kikao cha dharura kwa walioumizwa na mapenzi

Big up sana kwa hlo
 
Utavuruga tu
 
Asante sana
 
Mapenzi ni nn?
Mapenzi n..............
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna maisha nje ya mapenzi. Acha maisha yaendeleee.
 
Pole bibiye, nashindwa nikushauri nini au niseme nini? Maana mapenzi mapenzi yaache tu ila kwanini unapenda na wewe???..
 
Poleni kwa kuumizwa. Ni swala la muda tu, utaumia jipe muda lipite maisha yaendelee. Tusicomplicate maisha jifunze kurahisisha mambo, punguza kuwa serious sana hii itakusaidia.
 
karibu nikupoze, mwakata, nyinza, Vavene, kamwene, Wangaluka, ausindile, ushindidachi, kusinda vihi, namnaani, mbukweni, wakashina, kwabwina, masipota, shimboni, saitaa, amang'ana, Mwaghona, mwaluka bwanji, walindauli, ughonile, ausindile, mashine mtambuka ipo imejaa tele
 
Hii comments inaendana na avatar yako!
😃😃😃haya mapenzi mda mwingi ukiyachukulia serious sana mwisho huwa ni mbovu

2020 nlkula tukio hilo😂😂sasa hv nakula zangu gym maisha yanaenda
 
Ughonile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…