Tetesi: Kikao cha usiku Gamondi ang'aka awaambia viongozi msimu haujaisha nidhamu na majeruhi ndio chanzo cha kupoteza mechi

Tetesi: Kikao cha usiku Gamondi ang'aka awaambia viongozi msimu haujaisha nidhamu na majeruhi ndio chanzo cha kupoteza mechi

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza chanzo cha ndani kinasema baada ya Gamondi ametaka watu kumfanya kichaka cha kujifichia ilibidi ang'ake na kuwa mkali na kila mmoja afanye kazi yake kwa matokeo yeye asilimia mia atayafanyia kazi.

Ameng'aka kuna wachezaji uongozi unachangia unawafanya kama rafiki zao imepelekea kuwa kama Mungu watu.

Aliulizwa kwanini baadhi ya wachezaji hawatumii nae akajibu kwanini hilo swali halikuwepo wakati timu inashinda, viongozi wameuliza kwanini timu inapata ushindi wa goli moja hapo ndipo alipokuw mkali sana.

Kumbukeni chanzo cha taarifa hii ni nyeti najua yanga watakuja kukanusha lakini ndio ukweli wenyewe!

PIA SOMA
- Yanga Yaitisha Kikao Cha Dharura Usiku Huu, Gamondi Kikangaoni
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza chanzo cha ndani kinasema baada ya Gamondi ametaka watu kumfanya kichaka cha kujifichia ilibidi ang'ake na kuwa mkali na kila mmoja afanye kazi yake kwa matokeo yeye asilimia mia atayafanyia kazi.

Ameng'aka kuna wachezaji uongozi unachangia unawafanya kama rafiki zao imepelekea kuwa kama Mungu watu.

Aliulizwa kwanini baadhi ya wachezaji hawatumii nae akajibu kwanini hilo swali halikuwepo wakati timu inashinda, viongozi wameuliza kwanini timu inapata ushindi wa goli moja hapo ndipo alipokuw mkali sana.

Kumbukeni chanzo cha taarifa hii ni nyeti najua yanga watakuja kukanusha lakini ndio ukweli wenyewe!

PIA SOMA
- Yanga Yaitisha Kikao Cha Dharura Usiku Huu, Gamondi Kikangaoni
Mbuzi wa kafala anatafutwa,kiburi chako injinia kwa manara na wenzake ndiyo matokeo yake haya.Kuna mtu alitoa nyuzi kumtaka injinia amrudishe manara na wenzake watu wakabeza na kusema anacheza namba ngapi?wasichojua watu wanamawazo na mipango ya kuifanya klabu iwemaarufu na imara kisoka.
 
Mbuzi wa kafala anatafutwa,kiburi chako injinia kwa manara na wenzake ndiyo matokeo yake haya.Kuna mtu alitoa nyuzi kumtaka injinia amrudishe manara na wenzake watu wakabeza na kusema anacheza namba ngapi?wasichojua watu wanamawazo na mipango ya kuifanya klabu iwemaarufu na imara kisoka.
Wacha watoane damu ila wasiumizane!
 
Mbuzi wa kafala anatafutwa,kiburi chako injinia kwa manara na wenzake ndiyo matokeo yake haya.Kuna mtu alitoa nyuzi kumtaka injinia amrudishe manara na wenzake watu wakabeza na kusema anacheza namba ngapi?wasichojua watu wanamawazo na mipango ya kuifanya klabu iwemaarufu na imara kisoka.
Manara ndiyo nani? Arudishwe kwa lipi? Mnataka timu iache kujenga mifumo ijikite kwenye uswahili wenu?
 
Mbuzi wa kafala anatafutwa,kiburi chako injinia kwa manara na wenzake ndiyo matokeo yake haya.Kuna mtu alitoa nyuzi kumtaka injinia amrudishe manara na wenzake watu wakabeza na kusema anacheza namba ngapi?wasichojua watu wanamawazo na mipango ya kuifanya klabu iwemaarufu na imara kisoka.
Kutokurudi kwa Manara hakuna impact yeyote kwa Yanga.
Mbona Manara alipofungiwa Yanga ilikua ikifanya vizuri!?
Kuna kitu kingine nyeti tofauti na hiko unachodai.
Kuna tatizo Yanga sio bure.
Maana hata jana walivyokua wanacheza sio Yanga wale,wachovu na hawana hata muunganiko wala motisha.
 
1000015015.jpg
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza chanzo cha ndani kinasema baada ya Gamondi ametaka watu kumfanya kichaka cha kujifichia ilibidi ang'ake na kuwa mkali na kila mmoja afanye kazi yake kwa matokeo yeye asilimia mia atayafanyia kazi.

Ameng'aka kuna wachezaji uongozi unachangia unawafanya kama rafiki zao imepelekea kuwa kama Mungu watu.

Aliulizwa kwanini baadhi ya wachezaji hawatumii nae akajibu kwanini hilo swali halikuwepo wakati timu inashinda, viongozi wameuliza kwanini timu inapata ushindi wa goli moja hapo ndipo alipokuw mkali sana.

Kumbukeni chanzo cha taarifa hii ni nyeti najua yanga watakuja kukanusha lakini ndio ukweli wenyewe!

PIA SOMA
- Yanga Yaitisha Kikao Cha Dharura Usiku Huu, Gamondi Kikangaoni
***** hakuna marefu yasi na mwisho.
 
Back
Top Bottom