Tetesi: Kikao cha usiku Gamondi ang'aka awaambia viongozi msimu haujaisha nidhamu na majeruhi ndio chanzo cha kupoteza mechi

Tetesi: Kikao cha usiku Gamondi ang'aka awaambia viongozi msimu haujaisha nidhamu na majeruhi ndio chanzo cha kupoteza mechi

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza chanzo cha ndani kinasema baada ya Gamondi ametaka watu kumfanya kichaka cha kujifichia ilibidi ang'ake na kuwa mkali na kila mmoja afanye kazi yake kwa matokeo yeye asilimia mia atayafanyia kazi.

Ameng'aka kuna wachezaji uongozi unachangia unawafanya kama rafiki zao imepelekea kuwa kama Mungu watu.

Aliulizwa kwanini baadhi ya wachezaji hawatumii nae akajibu kwanini hilo swali halikuwepo wakati timu inashinda, viongozi wameuliza kwanini timu inapata ushindi wa goli moja hapo ndipo alipokuw mkali sana.

Kumbukeni chanzo cha taarifa hii ni nyeti najua yanga watakuja kukanusha lakini ndio ukweli wenyewe!

PIA SOMA
- Yanga Yaitisha Kikao Cha Dharura Usiku Huu, Gamondi Kikangaoni
Kumbukeni chanzo cha taarifa hii ni nyeti najua yanga watakuja kukanusha lakini ndio ukweli wenyewe🥍🔨
 
FB_IMG_17310033083436890.jpg
 
Rotation ya timu ni muhimu sana,kocha wa simba amelifanyia kazi haraka sana hili kwani alianza bagua baadhi ya wachezaji sasa unaona kuna watu walikua panga pangua mwanzo sasa wanaingia sub,Gamondi anafanya rotation kukiwa na majeruhi which is wrong,wachezaji wanakua fitness ndogo sana kimchezo.
 
Rotation ya timu ni muhimu sana,kocha wa simba amelifanyia kazi haraka sana hili kwani alianza bagua baadhi ya wachezaji sasa unaona kuna watu walikua panga pangua mwanzo sasa wanaingia sub,Gamondi anafanya rotation kukiwa na majeruhi which is wrong,wachezaji wanakua fitness ndogo sana kimchezo.
Kakubali kubeba lawama!
 
[emoji23]kwenye mkataba wa Mr domo kuna kipengele cha lazima acheze? Maana jamaa msimu huu ni amna kitu kabsa
Shida sana kua na wachezaj wa aina hii bei ghali yan matajiri wanakusanyika kumlipa mshahara na marupurupu..kwanza jana mmemtoa akasepa zake kaingia kwenye gari akasepa masikio kuzid kichwa ndio hii
 
Yanga watulie ligi bado, mbona haya yanawapata hata timu kubwa za ulaya?
 
Back
Top Bottom