green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Hiyo ni sunna ulitakiwa unuse kwa karibu afu umwambie ahsante niongezee nyingine umkisiAlijamba shuzi linanuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni sunna ulitakiwa unuse kwa karibu afu umwambie ahsante niongezee nyingine umkisiAlijamba shuzi linanuka
Kwa nini ulikuwa unampa pesa mwanamke ambaye sio mke wako?Nilikua nampa pesa ya Matumiz Kila siku anaiona ndogo, kumbuka huyu mwanamke sikai nae.
Wanaume wachache sana wanajitambua mkuu, imagine unaishi gomz yeye yupo tabata na kila siku unatuma matumizi, as if ni mkeo, ushamba tu!Kwa nini ulikuwa unampa pesa mwanamke ambaye sio mke wako?
Hujioni ulikuwa mjinga mkuu?
Dont play fatherly or husband role on a girlfriend
Ishi humo
🤣alitumia unene wake kuniadhibu!, kisa yeye anatunyamanyama kunizidi akatumia hiyo nafasi kunipa kerebu!!.
wakati mimi natumia ngumi kujilinda yeye akaja ki mgongo mgongo kwa spidi ya sgr!, nikashindwa kuhimili uzito wake nikaangua na hilo ndilo likawa kosa, akanilalia huku akinibana mbavu nilipoona nitakufa hapa nilipiga welelo majirani wakaja kuokoa jahazi!..
kuanzia hapo nikawa simjali maana niliona kabisa naishi na mpiganaji mieleka!. wito usiingie kwenye mahusiano na mwanamke mnene kama wewe ni mwembamba ipo siku isiyona jina utaipa jina!.
Ushamba sana mkuu halafu utakuta jitu senge kama hilo linajisifu eti nahudumiaWanaume wachache sana wanajitambua mkuu, imagine unaishi gomz yeye yupo tabata na kila siku unatuma matumizi, as if ni mkeo, ushamba tu!