Kikao cha Wanaume: Usimkule Mke wa Mtu Hata Kama Kajirahisi Vipi Kwako

Kikao cha Wanaume: Usimkule Mke wa Mtu Hata Kama Kajirahisi Vipi Kwako

Leo nimeukwepa huu mtego. Nimefika mjini nikamjulisha schoolmate wangu kwamba nipo mjini. Akafurahi sana, akauliza lini tutaonana. Nikamwambia siku naondoka kurudi makao makuu ntakutafuta asubuhi yake.
Sasa leo kanitafuta mapema anasema tayari amesha pata ruhusa kwa mume nimpe location.
Sasa kila location ambayo ntamtajia tuonane (ya chakula na vinywaji) kwa ajili ya kusalimiana na kupiga stori za hapa na pale, mwenzangu akazikataa zote.
Nikamwambia sasa wewe ni mwenyeji, niambie wapi tuonane. Akacheka kwa kejeli flani, akanambia kumbe bado hujakua, jifikirie kwanza then utanirudia.
Sasa katika D mbili nilizonazo, nna ka A ka hisabati, nikaishia kucheka tu.
Saiv nipo safari, sijamrudia.
 
Leo nimeukwepa huu mtego. Nimefika mjini nikamjulisha schoolmate wangu kwamba nipo mjini. Akafurahi sana, akauliza lini tutaonana. Nikamwambia siku naondoka kurudi makao makuu ntakutafuta asubuhi yake.
Sasa leo kanitafuta mapema anasema tayari amesha pata ruhusa kwa mume nimpe location.
Sasa kila location ambayo ntamtajia tuonane (ya chakula na vinywaji) kwa ajili ya kusalimiana na kupiga stori za hapa na pale, mwenzangu akazikataa zote.
Nikamwambia sasa wewe ni mwenyeji, niambie wapi tuonane. Akacheka kwa kejeli flani, akanambia kumbe bado hujakua, jifikirie kwanza then utanirudia.
Sasa katika D mbili nilizonazo, nna ka A ka hisabati, nikaishia kucheka tu.
Saiv nipo safari, sijamrudia.
Hiyo A ya hisabati haina faida kwako bora tuu ungefeli😂😂😂😂
 
Ahsante Mwenyekiti,naomba kikao Cha mwezi wa kumi katibu awasilisho maazimio ya kikao kilichopita pamoja na utekelezaji wake, ambaye atashindwa KUSHIRIKI katika kikao hicho mawazo yake yatawasilishwa na wengine
 
Kikao Na. 34 cha WANAUME kimeazimia kuwa kamwe mwanaume usifanye mapenzi na MKE wa mtu. Mke wa mtu hapa ni yule aliyeko ndoani ima ya kidini, kimila, kiserikali au hata waliojifungisha wenyewe (kwa binti kuchukua mkoba wake kuhamia kwa mwanaume). Maamuzi haya yamechukuliwa kwa kuzingatia hoja kuu Tano:

1. Idadi ya wanawake wasio ndoani ni kubwa sana duniani hivyo hakuna sababu ya kuchukua wenye waume.

2. Wanaume HALISI hawasamehe wakibaini mke alicheat;

3. Wanawake walio ndoani huwaga hawakatai wakitongozwa (reserved for future study).

4. Game ya mke wa mtu huwa ni Kali sana mithili ya fainali na hii inaongeza shida ya kiroho kwa MUME wa mwanamke huyo.

5. Mke wa Mtu sumu hata kama ghetto una maziwa.

Mjadala ulikuwa mzito ila mwenyekiti alikuwa imara na mwisho wa Kikao ikaazimiwa hivyo.

Mwisho wa Kikao.
Hahahah au aongo hao Wacha tuone kama tutaweza😂😂
 
Tupe kisa mkuu

Wakiwabeba mashangazi huwa wanawashika bodaboda "dudu la yuyu" ,kama boda watatu tofauti washanaimbia vitu kama hivyo ,bodaboda mmoja akapita naye fresh ila wawili wale kama walipotezea maana kama wangegusa tu ingekuwa imooo...wanajirahisisha sana hadi nomaaa sasa sijui labda wanataka wawe wanabebwa bure au lah.
 
Wakiwabeba mashangazi huwa wanawashika bodaboda "dudu la yuyu" ,kama boda watatu tofauti washanaimbia vitu kama hivyo w,bodaboda mmoja akapita naye fresh ila wale kama walipotezea maana kama wan gegusa tu ingekuwa imooo...wanajirahisisha sana hadi nomaaa sasa sijui labda wanataka wawe wanabebwa bure au lah.
Au waume zao hawawapi
 
Back
Top Bottom