CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Maduka yanayotembea yenye miguu miwili yajiandae, story zenu za mpira una matokeo matatu kasimulieni wake zenu na marehemu bibi zenu, nyambafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa aliyefuatilia pre-season ya Simba, Simba day, na mechi mbili za ligi hatashangazwa na matokeo ya jana. Hao wanaotuhumiwa kuuza game ni uwongo tu, Simba ikubali ukweli kikosi kimefikia ukomo na baadhi ya wachezaji hapo ndio mwisho wao. Timu inahitaji kusukwa upya, na mpaka upate kikosi kingine bora itachukuwa muda, corona nayo imeisha hakuna hata cha kusingizia wachezaji wa timu pinzani ili wasicheze.Maduka yanayotembea yenye miguu miwili yajiandae ,story zenu za mpira una matokeo matatu kasimulieni wake zenu na marehemu bibi zenu, nyambafu
View attachment 1986405
Ulianza vzur ila mwisho kusema simba ilikua inashinda kisa corona ni maneno ya kishabik tu,ulichoongea ni kwel simba wachezaji wengi wamechoka kama sio kwa umr bas kutumika sana kibaya zaid viongozi wakafanya utan ktk usajil wamesajil wachezaji wengi ambao sio moja kwa moja wanaingia kikosi cha kwanza na ata ivyo miaka yote simba inafanya vzur lkn walikua na matatzo karbu sehem zote kuanzia nyuma ad mbele nilitegemea mechi ile na wasauth iwe somo zur ktk usajili lkn wamezembea simba mara nyng wabovu wakiwa wanashambuliwa sana sana mipira ya juu ukiwapelekea mashambuliz meng kwa kupitia pemben au katkat unawafunga ,na wao bado wana matatzo ya kufunga wanatengeneza nafas nyng ata timu wakiizd vp wataishia gol nne tu sio wazur wa kushambulia na kutumia nafas pamoja na uzembe wa wachezaji na kocha wao ila mm naona matatzo makubwa wameyataka viongozi hawakusajil kwa kuangalia shida yao ilipoKwa aliyefuatilia pre-season ya Simba, Simba day, na mechi mbili za ligi hatashangazwa na matokeo ya jana. Hao wanaotuhumiwa kuuza game ni uwongo tu, Simba ikubali ukweli kikosi kimefikia ukomo na baadhi ya wachezaji hapo ndio mwisho wao. Timu inahitaji kusukwa upya, na mpaka upate kikosi kingine bora itachukuwa muda, corona nayo imeisha hakuna hata cha kusingizia wa timu pinzani ili wasicheze.
Uwezo huo wanao Yanga tu, huwa tunafukuza timu nzima na kuanza upya.Hicho kikao kije na maazimio kitakayowafanya wale wachezaji wajue majukumu yao kwa timu, ufaza hautakiwi kuwepo Simba wajue mapema ukizingua unazinguliwa, kwa ule ujinga wa jana walichofanya hauvumiliki, hauelezeki, ni upuuzi wa kutupwa jalalani.
Viongozi wa Simba washajua mashabiki yao ni Mambumbumbu ndio maana kila wakifungwa au kufanya vibaya huja na usanii wa kuhujumiwa,tumeona hili kwenye match ya Biashara na hata ile ya Dodoma Jiji.Kwa aliyefuatilia pre-season ya Simba, Simba day, na mechi mbili za ligi hatashangazwa na matokeo ya jana. Hao wanaotuhumiwa kuuza game ni uwongo tu, Simba ikubali ukweli kikosi kimefikia ukomo na baadhi ya wachezaji hapo ndio mwisho wao. Timu inahitaji kusukwa upya, na mpaka upate kikosi kingine bora itachukuwa muda, corona nayo imeisha hakuna hata cha kusingizia wa timu pinzani ili wasicheze.
Huu ndio ukweli mchungu ambao hata Wanasimba wenyewe wanaufahamu,Wanachama na Mashabiki wa Yanga sisi ni waelewa,wavumilivu sana na tunafikiria vitu kwa upana na uhalisa sio maneno maneno ya usanii ya Viongozi,mfano tumekaa miaka 4 bila kombe la Ligi Kuu lakini tunajua hali halisi ya timu yetu ilivyokuwa hasa Kiuchumi na hujuma kutoka kwa wakina Bashite na genge lake ovu. Ndio maana tumekaa kimya tulikubali matokeo na wala hatujawatupia lawama Viongozi wetu,na tumekuwa bega kwa bega na Viongozi wetu kwenye kipindi kigumu tulichopitia.Uwezo huo wanao Yanga tu, huwa tunafukuza timu nzima na kuanza upya.
George Mpondela alipokuwa mwenyekiti tulifukuza timu nzima na kusajili upya na kuwapandisha Yanga B kina Anwar Awadhi, Mzee Abdalah na wengineo ndio tukawaongezea wageni kina Constantine Kimanda na Shaaban Nonda Papii.
Yanga huwa hakuna kuremba tunapoamuwa kufanya maamuzi magumu.
Kutesa kwa zamu,wakati ule tunahujumiwa hadharani na wakina Bashite na genge lao mlikuwa mnafurahi sana na mpaka mkafikia kukufuru eti mtachukua Ubingwa back to back miaka yote Kayafa atakayokuwa Madarakani. Sasa Mungu sio Mwamedi wala Hans Pope wala Karia, Kayafa kala udongo mapema sana,sasa jiandaeni kwa maumivu na kutafutana uchawi.Kwenye game kama ile ya Jana nilijikuta namkumbuka sana Luis Mickson, Dogo alikuwa anajituma sana. Pengo lake limeathiri sana hii timu.
Kocha wa Galax alisema anawashukuru sana watu wa Yanga walioenda kwenye Hotel waliyofikia na kuwasaidia mbinu na uchawi uliowasaidia kupata ushindi wa jana. Hivyo waliohusika kuwahujumu Simba ni watanzania wenzetu.
Nyie wanayanga kumbukeni Simba ndio inayofanya mpate nafasi ya Kupanda Ndege na kwenda kutia aibu ugenini na Kupiga wageni mingumi.Kutesa kwa zamu,wakati ule tunahujumiwa hadharani na wakina Bashite na genge lao mlikuwa mnafurahi sana na mpaka mkafikia kukufuru eti mtachukua Ubingwa back to back miaka yote Kayafa atakayokuwa Madarakani. Sasa Mungu sio Mwamedi wala Hans Pope wala Karia, Kayafa kala udongo mapema sana,sasa jiandaeni kwa maumivu na kutafutana uchawi.
Sent using Jamii Forums mobile app
labda wakaisadie Yanga kubeba mabegi.Nyie wanayanga kumbukeni Simba ndio inayofanya mpate nafasi ya Kupanda Ndege na kwenda kutia aibu ugenini na Kupiga wageni mingumi.
Sasa kwa taarifa yenu mwakani kimataifa itaenda Simba na Polisi Tanzania
Huu ujinga mhadithie mkeo.Kwenye game kama ile ya Jana nilijikuta namkumbuka sana Luis Mickson, Dogo alikuwa anajituma sana. Pengo lake limeathiri sana hii timu.
Kocha wa Galax alisema anawashukuru sana watu wa Yanga walioenda kwenye Hotel waliyofikia na kuwasaidia mbinu na uchawi uliowasaidia kupata ushindi wa jana. Hivyo waliohusika kuwahujumu Simba ni watanzania wenzetu.
Viongozi wa Simba washajua mashabiki yao ni Mambumbumbu ndio maana kila wakifungwa au kufanya vibaya huja na usanii wa kuhujumiwa,tumeona hili kwenye match ya Biashara na hata ile ya Dodoma Jiji.
Sent using Jamii Forums mobile app