Kikao kizito cha dharura cha bodi ya simba kinaendelea muda huu

Kikao kizito cha dharura cha bodi ya simba kinaendelea muda huu

Ulianza vzur ila mwisho kusema simba ilikua inashinda kisa corona ni maneno ya kishabik tu,ulichoongea ni kwel simba wachezaji wengi wamechoka kama sio kwa umr bas kutumika sana kibaya zaid viongozi wakafanya utan ktk usajil wamesajil wachezaji wengi ambao sio moja kwa moja wanaingia kikosi cha kwanza na ata ivyo miaka yote simba inafanya vzur lkn walikua na matatzo karbu sehem zote kuanzia nyuma ad mbele nilitegemea mechi ile na wasauth iwe somo zur ktk usajili lkn wamezembea simba mara nyng wabovu wakiwa wanashambuliwa sana sana mipira ya juu ukiwapelekea mashambuliz meng kwa kupitia pemben au katkat unawafunga ,na wao bado wana matatzo ya kufunga wanatengeneza nafas nyng ata timu wakiizd vp wataishia gol nne tu sio wazur wa kushambulia na kutumia nafas pamoja na uzembe wa wachezaji na kocha wao ila mm naona matatzo makubwa wameyataka viongozi hawakusajil kwa kuangalia shida yao ilipo
Kwa mazungumzo yako.....

Team nzima ilikuwa ni mbovu na ilitakiwa ifumuliwe ije mpya......
Kwa dirisha moja la usajili, sijui uliwahi ona wapi kitu kama hicho......
Nitajie tatizo lililokuwepo msimu uliopita hawakudhamiria kulitatua.....
 
Kwa mazungumzo yako.....

Team nzima ilikuwa ni mbovu na ilitakiwa ifumuliwe ije mpya......
Kwa dirisha moja la usajili, sijui uliwahi ona wapi kitu kama hicho......
Nitajie tatizo lililokuwepo msimu uliopita hawakudhamiria kulitatua.....
Huu ubishi wenu ndio maana kila mara ikitokea kufungwa kwa uzembe mnasema hujuma kilichotufelisha kufka nusu final msim uliosha si ndio matatzo yale yale ambayo juz yametokea unazan shida hiz zitaisha kwa kuwasema au kuwafundsha nn zaid ikiwa ndo viwango vyao, huwez kusajil timu nzima lkn kuna maeneo unajua kabisa yaliitaj nguvu zaid kuliko iliopo sasa ,ww unavyoona simba ipo sawa ile anzia bek za pemben kat mpka mbele,timu nyepesi kufungwa magol ya kros na kona na wao pia si wazur kutumia nafas mechi kama ya juz nafas zaid ya 10 unapata gol moj wale nafas ata tano hazikuzd wamepata magol matatu ,kataa kubal simba ina matatzo karbu kila idara kama utachukulia mechi ambazo simba anashinda unaweza kusema hawana shida ila kushinda mechi kuna mambo meng ubora wa mpinzan sababu ya kwanza na ubora wa timu yako utaupima kwa timu bora ,wachezaji wengi ambao simba wanaanza kwa level za simba kama kwel nia yao kufka mbal walitakiwa wasaidie wa wengine ambao kwa kiwango ni bora zaid ya hawa sisem kama wote wabaya hapana ila kuna level unafka unasema apa lazma niongeze nguvu ,sasa leo hii mbadala wa kapombe akawe mwenda,mbadala wa lwanga akawe erasto,mbadala wa mugalu akawe boko alaf ukashindane na mamerod wakat ata hawa polisi tanzania tunatweta ,mpra wa kuita press unaongea nataka hivi mara hivi alaf msimu wa usajil ukifka unasajil wachezaji ambao unakuta wengi viwango vyao sawa na waliokuwepo na wengine wamezidiwa hatuwez kufka
 
Kwa aliyefuatilia pre-season ya Simba, Simba day, na mechi mbili za ligi hatashangazwa na matokeo ya jana. Hao wanaotuhumiwa kuuza game ni uwongo tu, Simba ikubali ukweli kikosi kimefikia ukomo na baadhi ya wachezaji hapo ndio mwisho wao. Timu inahitaji kusukwa upya, na mpaka upate kikosi kingine bora itachukuwa muda, corona nayo imeisha hakuna hata cha kusingizia wachezaji wa timu pinzani ili wasicheze.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kwenye korona umeua.
 
Huu ubishi wenu ndio maana kila mara ikitokea kufungwa kwa uzembe mnasema hujuma kilichotufelisha kufka nusu final msim uliosha si ndio matatzo yale yale ambayo juz yametokea unazan shida hiz zitaisha kwa kuwasema au kuwafundsha nn zaid ikiwa ndo viwango vyao, huwez kusajil timu nzima lkn kuna maeneo unajua kabisa yaliitaj nguvu zaid kuliko iliopo sasa ,ww unavyoona simba ipo sawa ile anzia bek za pemben kat mpka mbele,timu nyepesi kufungwa magol ya kros na kona na wao pia si wazur kutumia nafas mechi kama ya juz nafas zaid ya 10 unapata gol moj wale nafas ata tano hazikuzd wamepata magol matatu ,kataa kubal simba ina matatzo karbu kila idara kama utachukulia mechi ambazo simba anashinda unaweza kusema hawana shida ila kushinda mechi kuna mambo meng ubora wa mpinzan sababu ya kwanza na ubora wa timu yako utaupima kwa timu bora ,wachezaji wengi ambao simba wanaanza kwa level za simba kama kwel nia yao kufka mbal walitakiwa wasaidie wa wengine ambao kwa kiwango ni bora zaid ya hawa sisem kama wote wabaya hapana ila kuna level unafka unasema apa lazma niongeze nguvu ,sasa leo hii mbadala wa kapombe akawe mwenda,mbadala wa lwanga akawe erasto,mbadala wa mugalu akawe boko alaf ukashindane na mamerod wakat ata hawa polisi tanzania tunatweta ,mpra wa kuita press unaongea nataka hivi mara hivi alaf msimu wa usajil ukifka unasajil wachezaji ambao unakuta wengi viwango vyao sawa na waliokuwepo na wengine wamezidiwa hatuwez kufka
Unaongea mambo either usiyo ya fahamu au wewe ni lile kundi ambalo limejaa lawama.....
Team yenye udhaifu wote huo, haiwezi kuifunga team yoyote ile Duniani, kufungwa kupo na kunatokea hata Brazil alizabwa Saba....
Dirisha moja la usajili ulitaka wafanyaje?
Ngoja nikuoneshe kitu kidogo ujione kuwa unatoa lawama zisizo na msingi.

Beki ya kati- wamemsajili baka beki bora kutoka Congo.
Kiungo- amesajiliwa kanoute CM wa kikosi bora CHAN.
Tusizungumze huko mbele maana kumejaa.
Kwa usajili tu wa mtindo huo unaelewa nini?
Mbadala wa kapombe kama sio mwenda ulitaka awe nani? Kuna beki nyingine ya kulia nzuri kuliko mwenda Nchi hii?

Usiwe mtu aliyejawa lawama kwa mambo ambayo huna uelewa nayo kiundani.
Vipi kama baada ya kupata goli la bwalya wangepaki basi wakafika makundi.....
Hizi kauli zako zingekuwepo?
 
Unaongea mambo either usiyo ya fahamu au wewe ni lile kundi ambalo limejaa lawama.....
Team yenye udhaifu wote huo, haiwezi kuifunga team yoyote ile Duniani, kufungwa kupo na kunatokea hata Brazil alizabwa Saba....na kina Neymar ndani.
Dirisha moja la usajili ulitaka wafanyaje?
Ngoja nikuoneshe kitu kidogo ujione kuwa unatoa lawama zisizo na msingi.

Beki ya kati- wamemsajili baka beki bora kutoka Congo.
Kiungo- amesajiliwa kanoute CM wa kikosi bora CHAN.
Tusizungumze huko mbele maana kumejaa.
Kwa usajili tu wa mtindo huo unaelewa nini?
Mbadala wa kapombe kama sio mwenda ulitaka awe nani? Kuna beki nyingine ya kulia nzuri kuliko mwenda Nchi hii?

Usiwe mtu aliyejawa lawama kwa mambo ambayo huna uelewa nayo kiundani.
Vipi kama baada ya kupata goli la bwalya wangepaki basi wakafika makundi.....
Hizi kauli zako zingekuwepo?
Kwenye zile saba za Brazil Neymar hakucheza mkuu.
 
Uwezo huo wanao Yanga tu, huwa tunafukuza timu nzima na kuanza upya.

George Mpondela alipokuwa mwenyekiti tulifukuza timu nzima na kusajili upya na kuwapandisha Yanga B kina Anwar Awadhi, Mzee Abdalah na wengineo ndio tukawaongezea wageni kina Constantine Kimanda na Shaaban Nonda Papii.

Yanga huwa hakuna kuremba tunapoamuwa kufanya maamuzi magumu.
Yeesss...
 
Unaongea mambo either usiyo ya fahamu au wewe ni lile kundi ambalo limejaa lawama.....
Team yenye udhaifu wote huo, haiwezi kuifunga team yoyote ile Duniani, kufungwa kupo na kunatokea hata Brazil alizabwa Saba....
Dirisha moja la usajili ulitaka wafanyaje?
Ngoja nikuoneshe kitu kidogo ujione kuwa unatoa lawama zisizo na msingi.

Beki ya kati- wamemsajili baka beki bora kutoka Congo.
Kiungo- amesajiliwa kanoute CM wa kikosi bora CHAN.
Tusizungumze huko mbele maana kumejaa.
Kwa usajili tu wa mtindo huo unaelewa nini?
Mbadala wa kapombe kama sio mwenda ulitaka awe nani? Kuna beki nyingine ya kulia nzuri kuliko mwenda Nchi hii?

Usiwe mtu aliyejawa lawama kwa mambo ambayo huna uelewa nayo kiundani.
Vipi kama baada ya kupata goli la bwalya wangepaki basi wakafika makundi.....
Hizi kauli zako zingekuwepo?
Ni bora upak bas kwa mipango ukishambulia kwa mipango ,ww bishana lkn ukwel ni kwamba wachezai wengi wa simba wamechoka si jambo rahisi kuwa ktk ubora kwa zaid ya misimu minne lazma lazma kuna ubora utapungua tu ata kama kapombe kachoka si kwel mbadala wake akawa mwenda na si kwel hakuna bek bora zaid ya mwenda uyo mwenda ata kwa david bryson bado achana na manyama au mangalo, ww unataka kuleta siasa ktk mpra ndio kama brazil ilifungwa saba maana yake kuna wachezaji hawakua na viwango bora Ndio maana wamefungwa haiwez kuwa jambo geni mm nazungumzia makosa ya simba karbu misimu minne ni yale yale kuanzia uzuiaj ad umaliziaji walimtoa kotei kwa sababu hakua mzur ktk kuzuia na kushambulia je uyo lwanga ana sifa izo ,na pia kwa level iliyofikia simba si sawa kuipima kwa ligi yetu hawa galaxy na wengine ndio wakuonyesha ubora ,narudia tena kama unafuatilia vzur kilichoifelisha simba mwaka jana kufka nusu fainal ni makosa uzuiaj na umaliziaji niambie ww unais izo shida zimeisha au zitaisha kwa msimu huu
 
Ni bora upak bas kwa mipango ukishambulia kwa mipango ,ww bishana lkn ukwel ni kwamba wachezai wengi wa simba wamechoka si jambo rahisi kuwa ktk ubora kwa zaid ya misimu minne lazma lazma kuna ubora utapungua tu ata kama kapombe kachoka si kwel mbadala wake akawa mwenda na si kwel hakuna bek bora zaid ya mwenda uyo mwenda ata kwa david bryson bado achana na manyama au mangalo, ww unataka kuleta siasa ktk mpra ndio kama brazil ilifungwa saba maana yake kuna wachezaji hawakua na viwango bora Ndio maana wamefungwa haiwez kuwa jambo geni mm nazungumzia makosa ya simba karbu misimu minne ni yale yale kuanzia uzuiaj ad umaliziaji walimtoa kotei kwa sababu hakua mzur ktk kuzuia na kushambulia je uyo lwanga ana sifa izo ,na pia kwa level iliyofikia simba si sawa kuipima kwa ligi yetu hawa galaxy na wengine ndio wakuonyesha ubora ,narudia tena kama unafuatilia vzur kilichoifelisha simba mwaka jana kufka nusu fainal ni makosa uzuiaj na umaliziaji niambie ww unais izo shida zimeisha au zitaisha kwa msimu huu
Unavyoandika stick kwenye mada moja.....
Ikiisha tutaamia nyingine, huo ndio mtindo mzuri mzuri wa uwasilishaji hoja.
Unasema mangalo je ni beki wa pembeni? Beki wa pembeni kikosi cha taifa ukiondoa kapombe ni nani?
 
Unavyoandika stick kwenye mada moja.....
Ikiisha tutaamia nyingine, huo ndio mtindo mzuri mzuri wa uwasilishaji hoja.
Unasema mangalo je ni beki wa pembeni? Beki wa pembeni kikosi cha taifa ukiondoa kapombe ni nani?
Kibwana shomary,lusajo mwaikenda,reliant lusajo ,lazaro manyama hao ni baadhi ambao wanaweza kucheza ,na ishu sio kapombe apa nazungumzia mwenda akawa mbadala wa kapombe pale simba ndio naona tatzo ata kama mwenda mzur si kumzd kapombe kwa sasa iv
 
Kibwana shomary,lusajo mwaikenda,reliant lusajo ,lazaro manyama hao ni baadhi ambao wanaweza kucheza ,na ishu sio kapombe apa nazungumzia mwenda akawa mbadala wa kapombe pale simba ndio naona tatzo ata kama mwenda mzur si kumzd kapombe kwa sasa iv
Ulitaka asajiliwe nani....
Anayemzidi kapombe Tanzania hii?
 
Yes.....unakuja nnapopataka...
Kama hakuna mzawa aliyezaidi ya kapombe na nafasi za kigeni zimejaa unafanyaje?
Iko wazi utamchukua anayemkaribia ambaye ni Mwenda.
Kwa sababu ameshasajiliwa sawa lkn si kwel kwamba mwenda ndio beki bora wa pemben ukimtoa shomari ,mm nakuambia uyu mwenda bado ata kwa yule alienda azam ana muda mwingi wa kukuza kiwango ili awe bora ,alaf mbona kulikua na nafas ya kusajili nje iyo nafas ata kabla ya kujazaa ,una nyoni una banda una sakho bado una morrison ,nafas moja ingebak kwa bek sizan kama kuna siku hao wote watakua bora ad kufikia kutokuona umuhim wa kuwa na bek bora wa pemben kutoka nje
 
Muddy kauza wachezaji kisha kaokota wamachinga toka nje ya nchi kawavalisha jezi eti ndo wachezaji wa kigeni
 
Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu,viongozi wenu wanawachezea akili na nyie mnakubali. Kila mara linapotokea jambo zito viongozi wakiongozwa na Mwamedi na Magori hutoa kauli za timu kuhujumiwa ili kuwapumbaza mashabiki na nyie mnaingia king kuwasapoti. Mpira unachezwa hadharani sio mafichoni,waandishi wa habari na waachambuzi wa mpira walipokuwa wakisema kuwa Simba hii haiko sawa Viongozi wa Simba walitoa kauli za kuwaambia msisikilize uzushi eti hao waandishi wana lao jambo na wanaionea wivu Simba kwa hatua kubwa mliyopiga.

Leo hii wanajifanya kukaa kikao ili watoke na tamko la kuwapumbaza na nyie mtakubaliana nao. Ujinga kama huu ingekuwa ni Yanga usingekubali na muda mrefu ingekuwa kishanuka tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona yanga wamedanganywa sana tu kwenye hii miaka minne waliyokosa ubingwa hadi mtu anawaambia tukikosa ubingwa mniulize mimi na bado ubingwa ulikosekana na hatukuona kikinuka popote wala mashabiki kumfuata kumuuliza huyo bwana ubingwa wao ulipo
 
Kwa sababu ameshasajiliwa sawa lkn si kwel kwamba mwenda ndio beki bora wa pemben ukimtoa shomari ,mm nakuambia uyu mwenda bado ata kwa yule alienda azam ana muda mwingi wa kukuza kiwango ili awe bora ,alaf mbona kulikua na nafas ya kusajili nje iyo nafas ata kabla ya kujazaa ,una nyoni una banda una sakho bado una morrison ,nafas moja ingebak kwa bek sizan kama kuna siku hao wote watakua bora ad kufikia kutokuona umuhim wa kuwa na bek bora wa pemben kutoka nje
Unasajili wageni nafasi ambazo, wazawa ni wachache.....
Sio usajili mgeni aje awekwe benchi na kapombe.

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom