Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #121
unapiga ngapi mzeeSijaona sababu za kutoitwa kikosini sasa ntacheza na mademu zenu watakaokuja uwanjani kuwatizama mkicheza
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unapiga ngapi mzeeSijaona sababu za kutoitwa kikosini sasa ntacheza na mademu zenu watakaokuja uwanjani kuwatizama mkicheza
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Dimba LA chini DKK 45 tuunapiga ngapi mzee
Yaani jitihada zangu zote hamzioni??Zikiwa zimebaki siku chache mwaka uishe.
Ningeomba tuweke kikosi bora cha jf kwa mtindo wa wachezaji soka...
Kipa.. Nyani Ngabu
Beki 2: pancho boy
Beki 3 Baba Swalehe
Beki 4 Bazazi
Beki5: rikiboy na sub yake mkwepu jr
namba 6 Da'Vinci
namba 7 CONTROLA
namba 8: Bujibuji
Namba9: Zero IQ
Namba 10: troublemaker
Namba 11 MLEVi Mmoja
Sub Hazard CFC
Nokia83
funzadume
Bitoz
Sesten Zakazaka
@icebreaker
James Comey
Benchi la ufundi..
Kocha mkuu _ Asprin
Kocha msaidizi_ Kiranga
kocha wa viungo Mwl.RCT
Kocha wa viungo 2. Don Clericuzio
Wasemaji wa team..
Matola
GuDume
Numbisa
Shadeeya
Kamati ya ufundi.. (ulozi)
Mshana Jr
Rakims
Wafadhili wa team.
Kiduku Lilo
Mikwara Ya Andunje
Tajiri Kichwa ,Tajiri mpole
Kamati ya hamasa..
Shunie
Miss Natafuta
manengelo
Mishil
Depal
Sakayo
Mabaunsa wa team..
Castr
Pablo Blanco
Jon Stephano
Dokta wa team
Mwifwa
mweka hazina wa team.
Pascal Mayalla
Daby
Watu8
Mpishi wa team..
Sky Eclat
Zesh
Mzigua90
Hawachi
Kitengo cha figisufisu bila ulozi.
MO11
joanah
Billie
Kichwa Kichafu
Viatu vya Samaki.
Ushimen
Wazee wabishi wa team (wapigaji
FaizaFoxy
mlinzi wa getini makao Makuu.
MKWEPA KODI
MAGALLAH R
Update: matajiri Wetu ndugu Kiduku Lilo ametoa shilingi milioni 800 kama motisha kwa team yenu na posho za wachezaji.
Huku ndugu Tajiri Kichwa ,Tajiri mpole wakitoa milioni 200 kila mmoja..
Pia ndugu. Mikwara Ya Andunje akitoa milioni 600 tunasubiri mgao kutoka kwa muweka hazina Ushimen
Unaruhusiwa Ongezea wewe ili tupate team Kali ya jf.. Ya mwaka
Nsije kuonekana napendelea..
Msemaji wetu mwenyewe kila siku unafurushwa nje ya uwanja 😀 😀 😀Hahaha aisee eti manara. Kama msemaji nasema kaonewa mpira miguuni mengine vikorombwezo tu. Angepewa onyo mara tatu
Msemaji wetu mwenyewe kila siku unafurushwa nje ya uwanja 😀 😀 😀
ndio mkuu umerdhika??
Sijaelewa kikosi nilichopo
Figisufigisu ndio nini?
nae ndugu Kichwa Kichafu kutoka kitengo cha figisu bila ulozi amedaiwa kulitia bisibisi tairi la basi la team pinzani. Wakati wakiwa njiani kujiandaa kuja kucheza na team yetu ya jf
Uongozi umesema kuwa ndugu Kichwa Kichafu ataongezwa mshahara kwani kazi aliyofanya ni ya kuigwa
asante sana mkuu
sawa sawa ndugu Kichwa Kichafu uongozi umebariki hiloBench la figisufigusi inawapa taarifa wote kubeba mawe na chupa pale refa anapofanya maamuzi ambayo hatuyaelewi tunahakikisha hafiki kwake
By Mwenyekiti wa Figisufigusi
Ole wako utuzingueNaona mmenipanga namba ya mwezi wa kuzaliwa
Wewe unacheza ngapi mzeeYaani jitihada zangu zote hamzioni??
Kwa nini hamtupi sasaCc wengine hatutajwagi kwenye nyuzi Kama hizi cjui kwasababu tuna hela halafu hatuwapi wapiga mizinga