Kikosi bora cha mwaka JF

Hawa inabidi tuwapeleke kwenye kamati ya Maadili japo sijaiona hapo juu.

Kiti moto kinawahusu ili iwe mfano kwa wengine. Teh teh.
 
Joto linazidi kupanda kwa wapinzani wetu.
MABEBERU FC.. kutoka KENYA..!

Ndugu yetu tuliempandikiza huko Kichwa Kichafu hebu tupe update huko..
 
Pia ndugu wasemaji tunaomba muiweke jezi ya team tutakayovaa kesho.. Tafadhali
 
Pia unazungumziaje mechi ya kesho itayokayokuwa hapa live..

Kurudishwa kwa buji buji..
Bazazi kupewa ucaptain
Ninaamini itakuwa big match kwani kama alivyotangulia kusema Numbisa uwepo wa Bujibuji utaongeza nguvu kwenye timu iliyodhoofishwa na hali ya hewa na wingu kubwa la ukosefu wa mambando na usomaji wa namba usiotabirika.

Huyo Bazazi kwa utulivu , maamuzi yake na hata umakini wake ninaamini atakuwa msimamiaji mzuri wa wachezaji wa timu ya JF ambao hawatakuwa wanaonewa hovyo hovyo na marefa hasa wale wakandamizaji katika kuwanyima haki zao wachezaji wa jf.

Hivyo yaliyofanyika yamefanyika kwa usahihi wa hali ya juu.
 
Asante sana ndugu msemaji kwa upembuzi yakinifu. Pia tungeomba jezi tutakazovaa ziwekwe hapa watu wazione
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…