Kikosi cha kike cha SWAT kinachoweza kupambana na ugaidi chazinduliwa Kenya. First in sub-saharan Africa.

Kikosi cha kike cha SWAT kinachoweza kupambana na ugaidi chazinduliwa Kenya. First in sub-saharan Africa.

Kwenye karne hii, mtu ambaye ana dhana kwamba wanawake hawawezi wakafanya lolote lingine isipokuwa kuzaa na kulea ni mtu mpumbavu kupindukia.
Narudia tena, kwa kusapotiana ujinga na nduguzo hamjambo.
Umesikia hatuna jeshi la wanawake?
 
That's a big NO from me! Qualification ya hizo vitu inafaa ikue on merit, hakuna mambo ya affirmative action kwenye SWAT, basic training for both men and female SWAT should be the same, kama hauezi kupanda 20 floors of stairs ukiwa umebeba bag la 50kg uwe mume au mke haufuzu kuingia kwa kikosi, wasiweke standards za wanaume na wanawake!!!
 
Hizo ni personal comment zao tena nadhani ni jokes tu, au umeona all Tanzanian wamekuja kucoment humu [emoji23][emoji23][emoji23]
...unadhani, nimekuelewa. Alafu nimewakashifu wao wenyewe, personally, sio kwa ujumla. Kama wewe ndio wakili wao, waambie wabadilike lakini kama ni kiherehe chako tu, badilika pia.
 
Huu ni utani mazee,wanawake wakapambae na magaidi!
Wataweza kwa kiasi chao,lakini haina maana kwamba wao ni wakali kuriko vikosi vyote vinavyopambana na ugaidi!
Nenda kaangalia movie moja ,"lone survivor"jinsi hiyo filamu ilivyosimulia tukio la kweli ambalo,kikosi kizima cha NAVY SEAL kilivyosambaratishwa na magaidi wa Alqaida,akapona mmoja.
Kama NAVY SEAL,walitoka jasho,sembuse hao Dada zenu,
"Black Hawk down,unaikumbuka,makomandoo,wa USA,walismabaratishwa na Magaidi wa Somalia,
Acha kabisa kitu gaidi,hata ujue style zote za martial art,sio kigezo cha kuwa mkali
Don't Undermine Women at this generation brother. Wanaweza kuwa na mapungufu ya mambo machache ila wamejitolea as how the soldier duty requires na wako well trained tujenge imani ya participation yao and wait for the trails to begin tujue outcome watakayo leta kwa taifa la Kenya, nchi jirani kama Tanzania, Uganda and the rest of Africa. Ila hata wajaanza operations za maeneo makubwa ya kuzidi kuimarika tayari umeshatoa negative remarks to them. It's a selfish opinion you just put out here brother ila una free will na kuchangia mawazo yako kama ulivyofanya, it's okay.

NB: And let's be proud here for a minute Africa ndio tumepata kikosi cha kwanza cha Wanawake SWAT force. Bravo!!!!!
 
Ungeanza kumuambia mleta uzi abadilike,
Hivi unadhani asingeingiza Tz ungetuona hapa tukicommenu ? Hapana
Punguzeni shobo
Au unadhani wanaume wa Tz ni kama hao wakwenu wanaochapwa daily na bibi zao [emoji23][emoji23][emoji23]
...unadhani, nimekuelewa. Alafu nimewakashifu wao wenyewe, personally sio kwa ujumla. Kama wewe ndio wakili wao, waambie wabadilike lakini kama ni kiherehe tu badilika pia.
 
Ungeanza kumuambia mleta uzi abadilike,
Hivi unadhani asingeingiza Tz ungetuona hapa tukicommenu ? Hapana
Punguzeni shobo
Au unadhani wanaume wa Tz ni kama hao wakwenu wanaochapwa daily na bibi zao [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe hawa madada wanaeza kukuparamia na kukupa kichapo cha mbwa hadi ukajinyea. Hawa sio wa kuchezewa. Na wewe unajiona una nguvu sana lakini kumbuka huna mafunzo yoyote ya kivita na mmoja wa wanawake hawa anaweza chukua dakika mbili tu kukuchapa hadi ukakaa chini.
 
Hiki kikosi kinaweza kutandika mwanaume yeyote hapo Tanzania. Wamepata mafunzo ya kikomando kutoka Israel.




Meet Kenya’s first all-female SWAT team, a first in Africa
By Wangui Ngechu For Citizen Digital
time updated
Published on: August 9, 2019 16:52 (EAT)


SWAT team member showing off her skills

Kenya's first all-female SWAT team unveiled. Photo/Courtesy
In Summary
  • The team of 48 commandos is the first of its kind in Sub-Saharan Africa.
  • Their training featured among others, the application of Israeli Krav Maga, multiple weapons handling techniques as well as explosives and IEDs management.
  • According to the Interior CS, the officers are not only ready to thwart terror threats and attacks but have demonstrated unmatched expertise.

Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i on Friday presided over the graduation of an elite all-female Special Weapons and Tactics (SWAT) team.
The team of 48 commandos is the first of its kind in Sub-Saharan Africa.
Their training featured among others, the application of Israeli Krav Maga, multiple weapons handling techniques as well as explosives and IEDs management.
female-SWAT.jpg

Speaking during the passing-out ceremony in Ngong, CS Matiang’i noted that the new team comes in a time when the country seeks to handle emerging security threats and hostage crisis promptly and with precision.
According to the Interior CS, the officers are not only ready to thwart terror threats and attacks but have demonstrated unmatched expertise.
Also Read:
  1. Pressure mounts on Homa Bay Governor Cyprian Awiti to disband his cabinet
  2. Matiang’i gives seven-day deadline to over 4,000 gun holders
  3. Kenyans have until September 1 to apply for e-passports
“Today gives us confidence as the government that we have the capacity to protect our people and secure our country… Now we can rest assured that we have more officers who can undertake intricate security operations that require specialized approaches,” said Dr. Matiang’i.
The officers, who are drawn from the Administration Police Service (APS) have undergone five months of physical and combat drilling which is the first phase of their 15-months long standardized training.

On his part Inspector General of Police Hillary Mutyambai committed to progressively increase the contingent in the next intake.
Mimi mwanamke yeyoye hata commando hawezi kunipiga, Akyamungu ntapiga hadi asahau kambini


Vp ww unapigwa na mwanamke??

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Unaongea like tushawahi kutana mahali [emoji23][emoji23][emoji23]
Katika watanzania kumi humkosi mmoja aliyepitia JKT, shauri yako
Wewe hawa madada wanaeza kukuparamia na kukupa kichapo cha mbwa hadi ukajinyea. Hawa sio wa kuchezewa. Na wewe unajiona una nguvu sana lakini kumbuka huna mafunzo yoyote ya kivita na mmoja wa wanawake hawa anaweza chukua dakika mbili tu kukuchapa hadi ukakaa chini.
 
Mimi mwanamke yeyoye hata commando hawezi kunipiga, Akyamungu ntapiga hadi asahau kambini


Vp ww unapigwa na mwanamke??

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Wewe hata hutapigwa ngumi, wewe ni makofi tu kisha utaishia kuzimia na kujinyea
 
Unaongea like tushawahi kutana mahali [emoji23][emoji23][emoji23]
Katika watanzania kumi humkosi mmoja aliyepitia JKT, shauri yako
Jkt na Swat, wapi na wapi. Mmoja amefunzwa kutumia bazooka na mwingine amefunzwa kutumia rungu kupigana.
 
Back
Top Bottom