Walitangaza kustaafu ila Makonda akawataka waendeleeHao nao wamezeeka tangu enzi za Maximo, inabidi wastaafu tu ili vijana wapate nafasi nao.
Unataka useme tutafuzu CHAN?Tungepeleka iki kikosi Afcon goli za Algeria zingepungua.
Utakuja kukikana hiki kikosiKikosi kimetulia kuliko kilichoenda kutalii Misri
Hamna Cha Juma Wala Nani ,Tanzania maneno mengi,huyo Juma utakuja MkataaJuma K Juma ni mtu sahihi kuwepo Taifa Stars hata huko Misri alipaswa kwenda sema ushabiki mandazi wetu ndo ulimfanya asiwepo
Utakuja kukikana hiki kikosi
Kenya wanatutia adabu tenaUnataka useme tutafuzu CHAN?
Muimba taarabu wa kambiKama fei toto hayumo basi hakuna timu hapo
Kuna msemo wa wandengereko unasema " coaches are hired to be fireJiandaeni kufukuza kocha.
Kaseja tena?
Wandengereko wangejiongeza kidoogo wangemfukuza anayeajiri kocha ili amfukuzeKuna msemo wa wandengereko unasema " coaches are hired to be fire
So akizingua atafukuzwa tu mara mana hakuna namna
Mkuu mambo madogo kama haya uwe unakaushia😂😂Kikosi kitakachovaana na CHAN?? kumbe kuna timu inaitwa CHAN?