nteze john lungu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 214
- 200
K
Kwa uchezaji wao na wachezaji tulionao sioni mchezaji wa kuwastaafisha wacha waendelee kuupiga mwingi mpaka tutakapopata vijana wenye uwezo unaoshabihiana na waoHao nao wamezeeka tangu enzi za Maximo, inabidi wastaafu tu ili vijana wapate nafasi nao.