Kikosi cha Tanzania kitakachoumana na Kenya kufuzu CHAN

Nashauri tuu golini wamjaribu kaseja
Huyu jamaa huwa hazeeki. Zile kona anazofungwa manula tuone kama kwa JK zitapita 😎
 
#viatu_vya_samaki
mbona samatta hajaitwa??...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Naomba tuu kelvin John apewe nafasi hata dk 15.

Ila onesmo mayaya na dickson Job wanahitajika taifa stars kwa aajili ya chan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…