Kikosi cha Urusi cha "58th army" chafyekwa bila kusazwa hata mmoja

Kikosi cha Urusi cha "58th army" chafyekwa bila kusazwa hata mmoja

Sijui Putin huwaambia nini wazazi wa hawa wanajeshi wanaouawa kama senene.
___________________

KATERYNA TYSHCHENKO - Tuesday, 24 May 2022, 21:46

According to an intercepted conversation of a Russian serviceman, Russia’s 58th Army, which the aggressors themselves called one of their leading armies, was completely destroyed.

Source: Intercepted conversation published by the Security Service of Ukraine

Quote from a conversation between the aggressor and his wife: "There’s just about nothing left of the 58th Army. It was considered the toughest army in the Southern Military District. Bottom line, there’s almost nothing left of it.


Habari nyingine ya kujifariji kwa pro USA. Mnavyopenda sifa hiyo habari ingekuwa na ukweli mngeionyesha wiki nzima kwenye tv zenu za kimagharibi
 
Sasa wewe mbona unajawa na jazba kwakuwa hupendi kusikia habari usizozipenda.Unaonaje ukiwa unapita kimya kimya? Nyinyi mnajaza thread hazina kichwa wala miguu mbona tunawavumilieni.Pelekeni udictator wenu uchwara kama wa Putin huko,hutaki kusoma mweke kwa Ignore list,tupo wengi tunaopenda kusoma
machoko mtalia sana mwaka huu, na huyu ndio mwamba Putin yeye hakuna kuchonga ni kuwapelekea moto tu, na huu mwaka hakuna linda la choko yoyote litakalo baki salama.
 
Unajua sisi ndio tunaochelewesha hii vita. Hivi kweli Dunia nzima tukipaza Sauti kumshauri Zelensky na Ukraine kua hawawezi kupigana na Mwamba Putin na Urusi si wanaweza kusikia na kuachana na Vita ambayo wanajua hawawezi kushinda. Tuwe na Huruma jamani, ndugu zetu wanapelekewa Moto sio kama tunavyodanganywa hali ni mbaya sana kwa Ukraine kuliko kwa Russia.

Huyo mwamba wenu amelizwa na kataifa kadogo Ukraine, kichekesho sana yule.
 
This is war is not just mere jokes or playing. If they have been wiped out it is okay and good news for Ukrainians, but they have not wiped out the entire Russian army operating in Ukraine. In a war there will always be casualties and it is normal. Always those who start the war very few finishes it. But these are mere western propaganda ,on the battle field things are different. Time will tell, the Nazi will be punished and cleaned of their satanic ideology. Ha ha ha ha

Useless superpower, losing thousands of soldiers so recklessly in a fight against a tiny nation.
 
Mleta mada una habari kuwa leo hii mkoa wa SEVERODONESK umeshangukia kwenye mikono ya WARUSI
Sijui Putin huwaambia nini wazazi wa hawa wanajeshi wanaouawa kama senene.
___________________

KATERYNA TYSHCHENKO - Tuesday, 24 May 2022, 21:46

According to an intercepted conversation of a Russian serviceman, Russia’s 58th Army, which the aggressors themselves called one of their leading armies, was completely destroyed.

Source: Intercepted conversation published by the Security Service of Ukraine

Quote from a conversation between the aggressor and his wife: "There’s just about nothing left of the 58th Army. It was considered the toughest army in the Southern Military District. Bottom line, there’s almost nothing left of it.


 
Useless superpower, losing thousands of soldiers so recklessly in a fight against a tiny nation.
How sure are you about this information? Are you on a battle field? Are you a soldier or been a soldier ,what is/was your title? Do you have a combat experience? So we all read the same media and we reserve ourselves to give comments like yours. Time is the only variable that never lie. Wait and see ,the future will tell us. What you do is just a blind fanatism
 
Mleta mada una habari kuwa leo hii mkoa wa SEVERODONESK umeshangukia kwenye mikono ya WARUSI

Nikiona jina mohamed kwenye jina lako wala sina haja ya kuwaza zaidi, kwa namna mnamuabudu Putin kha.
 
How sure are you about this information? Are you on a battle field? Are you a soldier or been a soldier ,what is/was your title? Do you have a combat experience? So we all read the same media and we reserve ourselves to give comments like yours. Time is the only variable that never lie. Wait and see ,the future will tell us. What you do is just a blind fanatism

Neither are you on the battle ground, we are all following up from the comfort of our beds, we are consumers of the news from various outlets, the world has been reduced to a global village, internet has made it easy for us to get inundated by news, it's through internet that I learnt that Russia didn't manage to take over Kiev, despite marching a whole convoy of tens of kilometres long, they were taken out so easily.

Your idol Putin needs to learn a very important lesson, you can't use WW2 tactics to win any battle today.
 
Urusi hii vita hawezi kushinda kwa kuwa anayepigana naye (Marekani) ana nguvu kubwa kijeshi na kiuchumi.
Urusi ni bora tu akubali kujitoa kwenye hii vita kupitia meza ya mazungumzo ambapo kwa kuanzia wataanza na cease fire ambapo majeshi yanayopigana yanasimamisha kwanza mapigano kwa mda wa miezi miwili mitatu ili kutoa fursa ya mazungumzo...
Sawa kesho sisi warusi weusi tutaanza mazungumzo nanyie us weusi
Vita itasitishwa kuanzia kesho j3 majira ya alasiri
Hapo vp MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua sisi ndio tunaochelewesha hii vita. Hivi kweli Dunia nzima tukipaza Sauti kumshauri Zelensky na Ukraine kua hawawezi kupigana na Mwamba Putin na Urusi si wanaweza kusikia na kuachana na Vita ambayo wanajua hawawezi kushinda. Tuwe na Huruma jamani, ndugu zetu wanapelekewa Moto sio kama tunavyodanganywa hali ni mbaya sana kwa Ukraine kuliko kwa Russia.
Moto wanaopelekewa mkuu si wa Dunia hii🤣🤣🤣
 
Unajua sisi ndio tunaochelewesha hii vita. Hivi kweli Dunia nzima tukipaza Sauti kumshauri Zelensky na Ukraine kua hawawezi kupigana na Mwamba Putin na Urusi si wanaweza kusikia na kuachana na Vita ambayo wanajua hawawezi kushinda. Tuwe na Huruma jamani, ndugu zetu wanapelekewa Moto sio kama tunavyodanganywa hali ni mbaya sana kwa Ukraine kuliko kwa Russia.
Zelensiky hasikilizi watu waoga kama nyinyi.Yule ni Muyahudi na asili yao ni ujasili,kama huwajui nenda kaangalie The Six days war,The 1973 Yom Kippur war, na nyinginezo kibao ndiyo utajua Muyahudi kwenye ujasiri ni habari nyingine.Nyinyi bakini na uoga wenu wa kulazwa saa kumi na mbili jioni na Panya Road.
 
machoko mtalia sana mwaka huu, na huyu ndio mwamba Putin yeye hakuna kuchonga ni kuwapelekea moto tu, na huu mwaka hakuna linda la choko yoyote litakalo baki salama.
Tayari ushajaa pumzi,tunapress button kidogo tu,panic mode inakuwa activated at full capacity.[emoji3]
 
Back
Top Bottom