Kikosi Kazi kimeundwa na Msajili sio Rais, na wajumbe wake hawajaapa mbele ya Rais

Kikosi Kazi kimeundwa na Msajili sio Rais, na wajumbe wake hawajaapa mbele ya Rais

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Tusifananishe KIKOSI KAZI na Tume za Kijaji za Nyalali, Kisanga na Warioba.

Kikosi kazi hakikuundwa na Rais. Kimeundwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa baada ya AZIMIO la kikao cha Baraza la Vyama vya Siasa kilichofanyika Dodoma.

Tume ya Nyalali, Kisanga & Warioba, zote, zilianzishwa KISHERIA na wajumbe wake walikula KIAPO mbele ya Rais kabla ya kuanza Kazi. Hiki KIKOSI KAZI hakiko kisheria na sijaona yeyote akila kiapo. Je wajumbe wake waliapishwa lini na walikula kiapo mbele ya Rais au Msajili?

Tusubiri MAPENDEKEZO ya KIKOSI KAZI halafu uyafananishe na mapendekezo ya hizi Tume za Majaji. Utaratibu wa kukusanya maoni yanayogusa Jamii yote ya mTZ, sio jambo la kuchukulia kiwepesi wepesi hivi! Wajumbe wa KIKOSI KAZI hawana historia nzuri za kimaamuzi kwenye DEMOKRASIA.
======================

Maoni ya Mdau mmoja wa Twitter akimjibu Fatma Karume aliyesema Kikosi Kazi ni tume ya Rais Sawa na Tume ya Nyalali, Kisanga & Warioba.

6AF9D0B7-AF78-4E91-8C54-6BC300691F35.jpeg
 
Hicho ni kikosi ulaji wala siyo kikosi kazi
Mh Rungwe yumo kwenye kikosi KAZI, Juzi amekiri HAWAJAAPA popote hivyo hawapo kisheria.

Ameshauri KATIBA mpya ianze kwanza kabla ya tume ya uchaguzi. CCM wanajua wanachofanya wanabuy time Ili mwaka wa uchaguzi ufike waendelee na uhuni wao.

Mungu ataingilia kati na HAKI itatendeka. Tutapata KATIBA mpya 2026. Amen
 
Mh Rungwe yumo kwenye kikosi KAZI, Juzi amekiri HAWAJAAPA popote hivyo hawapo kisheria.

Ameshauri KATIBA mpya ianze kwanza kabla ya tume ya uchaguzi. CCM wanajua wanachofanya wanabuy time Ili mwaka wa uchaguzi ufike waendelee na uhuni wao.

Mungu ataingilia kati na HAKI itatendeka. Tutapata KATIBA mpya 2026. Amen
Wala hata hawana time table lini watamaliza yaani ni uhuni tupu
 
Mh Rungwe yumo kwenye kikosi KAZI, Juzi amekiri HAWAJAAPA popote hivyo hawapo kisheria.

Ameshauri KATIBA mpya ianze kwanza kabla ya tume ya uchaguzi. CCM wanajua wanachofanya wanabuy time Ili mwaka wa uchaguzi ufike waendelee na uhuni wao.

Mungu ataingilia kati na HAKI itatendeka. Tutapata KATIBA mpya 2026. Amen
Matapeli yote yamejaa kwenye hicho kikosi
 
Tusifananishe KIKOSI KAZI na Tume za Kijaji za Nyalali, Kisanga na Warioba.

Kikosi kazi hakikuundwa na Rais. Kimeundwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa baada ya AZIMIO la kikao cha Baraza la Vyama vya Siasa kilichofanyika Dodoma.

Tume ya Nyalali, Kisanga & Warioba, zote, zilianzishwa KISHERIA na wajumbe wake walikula KIAPO mbele ya Rais kabla ya kuanza Kazi. Hiki KIKOSI KAZI hakiko kisheria na sijaona yeyote akila kiapo. Je wajumbe wake waliapishwa lini na walikula kiapo mbele ya Rais au Msajili?

Tusubiri MAPENDEKEZO ya KIKOSI KAZI halafu uyafananishe na mapendekezo ya hizi Tume za Majaji. Utaratibu wa kukusanya maoni yanayogusa Jamii yote ya mTZ, sio jambo la kuchukulia kiwepesi wepesi hivi! Wajumbe wa KIKOSI KAZI hawana historia nzuri za kimaamuzi kwenye DEMOKRASIA.
======================

Maoni ya Mdau mmoja wa Twitter akimjibu Fatma Karume aliyesema Kikosi Kazi ni tume ya Rais Sawa na Tume ya Nyalali, Kisanga & Warioba.

Kikosi Kazi kimeundwa na Msajili , Ili kupooza makali ya upinzani mitaani Ili 2025 kulipwa kumepoa. JK ni mjanja sana ni sala la katiba ya warioba​

 
Hahahahaha

Sugu na Mbowe wangekuwa Waislam nao wangetuhumiwa kwa udini kama ilivyo kwa Zitto na Fatma

Fatma alichelewa kuwajua

kwenu Demokrasia na uhuru wa mawazo mna definition yenu
Ni mara ngapi Mbowe ametuhumiwa kwa udini na ukabila? Sasa imegeuka kwenu imekuwa nongwa?

Amandla...
 
Back
Top Bottom