Katiba mpya itapatikana 2026. Mchakato wa HAKI unaanza mdogo mdogo. Kufika Decemba mtoto atakuwa ameanza kucheza TUMBONI mwa mama TANZANIA. Amen.Kwahiyo katiba mpya ni 2031?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba mpya itapatikana 2026. Mchakato wa HAKI unaanza mdogo mdogo. Kufika Decemba mtoto atakuwa ameanza kucheza TUMBONI mwa mama TANZANIA. Amen.Kwahiyo katiba mpya ni 2031?
Kuna Mdada tena MWANASHERIA anapotosha anafananisha Tume za Nyalali Kisanga na Warioba sawa na KIKOSI kazi ambacho hakipo kisheriaKatiba mpya itapatikana 2026. Mchakato wa HAKI unaanza mdogo mdogo. Kufika Decemba mtoto atakuwa ameanza kucheza TUMBONI mwa mama TANZANIA. Amen.
Tume ya Nyalali na Kisanga zilikuwepo kwa mujibu wa sheria gani?Kuna Mdada tena MWANASHERIA anapotosha anafananisha Tume za Nyalali Kisanga na Warioba sawa na KIKOSI kazi ambacho hakipo kisheria
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Hicho kiinimacho ndo walitaka na CDM wajoin, CCM Haina haja na Katiba mpya, wanaotafuta Kila njia wachepushe mchakato wa KATIBA. Bt wamemshindwa. AmenKuna Mdada tena MWANASHERIA anapotosha anafananisha Tume za Nyalali Kisanga na Warioba sawa na KIKOSI kazi ambacho hakipo kisheria
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Hizo ziliundwa na rais wajumbe wake wakaapa mbele ya rais maana yake wakikosea wanawajibishwa kisheria hawa kina babu tale utawawajibisha wapi.Tume ya kijaji unaijua wewe?.
Tume za Nyalali na Kissanga hazina tofauti na tume za Makinikia. Ni uamuzi tu wa Raisi kuunda tume
Wajumbe waliapa na viapo vipo kisheria (ibara ya 42(5) ukiapa hasa mbele ya rais maana yake lazima utekeleze kazi na maangizo uliyopewa, amri ya rais ni sheria ukiipuuza unaweza kupelekwa mahakamani.Tume ya Nyalali na Kisanga zilikuwepo kwa mujibu wa sheria gani?
Waliapishwa na nani?Wajumbe waliapa na viapo vipo kisheria (ibara ya 42(5) ukiapa hasa mbele ya rais maana yake lazima utekeleze kazi na maangizo uliyopewa, amri ya rais ni sheria ukiipuuza unaweza kupelekwa mahakamani.
Waliapishwa na nani?
Hakuna mahali hapo panapoonyesha wajumbe wa tume ya Nyalali kuwa waliapishwa kabla ya kuanza majukumu yao
Wewe unataka kuapa au unataka sheria iliyotumika kuanzisha tume.Hakuna mahali hapo panapoonyesha wajumbe wa tume ya Nyalali kuwa waliapishwa kabla ya kuanza majukumu yao
Hakuna mahali hapo panapoonyesha wajumbe wa tume ya Nyalali kuwa waliapishwa kabla ya kuanza majukumu yao
Wakati wa Tume ya Nyalali ilipoundwa, JK alikuwa waziri Junior kabisa kwenye serikali ya Mwinyi
Usilazimishe vitu ambavyo havipo, wakati wa tume ya nyalali 1990 mitandao ya kijamii haikuwepo sanasana magazeti na tv ndio zilikuwa zimeanza kwa Tanzania, umepewa sheria iliyounda tume bado unataka picha wakati wanaapa ili u prove nini.Wakati wa Tume ya Nyalali ilipoundwa, JK alikuwa waziri Junior kabisa kwenye serikali ya Mwinyi
Nadhani ungesoma tena kilichoandikwa kwenye ile taarifa ujiridhishe kama kuna popote mle kunapozungumziwa sheria ya kuanzisha hiyo tume au kunazungumziwa tu sheria 40 ambazo tume hiyo ya Nyalali iliona kuna umuhimu wa kuzifuta ili kujenga mazingira ya siasa za haki nchini!.Usilazimishe vitu ambavyo havipo, wakati wa tume ya nyalali 1990 mitandao ya kijamii haikuwepo sanasana magazeti na tv ndio zilikuwa zimeanza kwa Tanzania, umepewa sheria iliyounda tume bado unataka picha wakati wanaapa ili u prove nini.