Michael mbano
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 820
- 570
siyo udini bali atakuwa anakula taratibu.Fatuma Karume udini unamsumbua sana hana hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siyo udini bali atakuwa anakula taratibu.Fatuma Karume udini unamsumbua sana hana hoja
Ameahidiwa uteuzisiyo udini bali atakuwa anakula taratibu.
Amegeuka kwa ghafla sana wengi hatukutegemea.siyo udini bali atakuwa anakula taratibu.
Jisomee zaid hapa ili uwe na uelewa mpana jinsi sheria na Tume za rais zinavyofanya kazi, hazianzishwi kiholela.Nadhani ungesoma tena kilichoandikwa kwenye ile taarifa ujiridhishe kama kuna popote mle kunapozungumziwa sheria ya kuanzisha hiyo tume au kunazungumziwa tu sheria 40 ambazo tume hiyo ya Nyalali iliona kuna umuhimu wa kuzifuta ili kujenga mazingira ya siasa za haki nchini!.