Kikundi Cha AlQuds Brigades Chaonesha Kombe la Vita (Trophy) ililotwaa Kibabe kutoka Jeshi la Mazayuni Ghaza.

Kikundi Cha AlQuds Brigades Chaonesha Kombe la Vita (Trophy) ililotwaa Kibabe kutoka Jeshi la Mazayuni Ghaza.

Video ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.

Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza

Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:

View attachment 2849854
Hao wazungu waliowapeleka Waisrahell Mashariki ya kati ni vichaa kama sio wenda wazimu yani Waisrahell hawatokaa kwa amani kamwe maana hamna kiumbe chochote kwenye uso huu wa dunia anayeweza kupigana na Mwarabu akawashinda
 
Video ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.

Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza

Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:

View attachment 2849854
kwamba ukidungua ndege moja ya idf unakuwa umeshinda vita , huku wapalestina elf 20 wamekufa , pia watu million 1 hawana makazi , hv waislam nan aliwaroga?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
kwa nn unawachukia sana wakristo??unataka kila mtu awe muislam?
Screenshot_20231219_113054_com.facebook.katana.jpg

KULA CHUMA HICHO EWE KAFIRI!
 
Hao wazungu waliowapeleka Waisrahell Mashariki ya kati ni vichaa kama sio wenda wazimu yani Waisrahell hawatokaa kwa amani kamwe maana hamna kiumbe chochote kwenye uso huu wa dunia anayeweza kupigana na Mwarabu akawashinda
Waliwapeleka huko kwa wao kukoseshwa amani. walikuwa na uhasama mkubwa sana wa kidini huko Ulaya, baina ya Wakristo na wayahudi.

Huo uhasama mpaka leo upo, israel mpaka leo ukijionesha kuwa mkrisyo wanakuona najisi mla nguruwe, unatemewa mate wazi wazi barabarani.

Hao siyo watu wenye maana kabisa, ni wabaguzi kupita mfano, wao ndiyo chanzo cha ubaguzi wote duniani. Wana fitna, wana majungu, wana ushetani wa hali ya juu hizaya hao.

Wazungu waliwatema, masikini Warabu wakawapokea, kumbe wamelipokea balaa.
 
kwamba ukidungua ndege moja ya idf unakuwa umeshinda vita , huku wapalestina elf 20 wamekufa , pia watu million 1 hawana makazi , hv waislam nan aliwaroga?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Haijalishi, huo ni ushindi mkubwa sana kwa Wapalestina, mwezi wa tatu unakaribia huu, vijana wako ngangari.

Wewe umeliona kombe hilo na vimbwanga vyake? madogo hayo kwa kikundi cha wanamgambo kushindana na jeshi kali duniani?
 
Waliwapeleka huko kwa wao kukoseshwa amani. walikuwa na uhasama mkubwa sana wa kidini huko Ulaya, baina ya Wakristo na wayahudi.

Huo uhasama mpaka leo upo, israel mpaka leo ukijionesha kuwa mkrisyo wanakuona najisi mla nguruwe, unatemewa mate wazi wazi barabarani.

Hao siyo watu wenye maana kabisa, ni wabaguzi kupita mfano, wao ndiyo chanzo cha ubaguzi wote duniani. Wana fitna, wana majungu, wana ushetani wa hali ya juu hizaya hao.

Wazungu waliwatema, masikini Warabu wakawapokea, kumbe wamelipokea balaa.
Waislamu hawakuwapokea ilikuwa niamri toka kwa British. Ila chaguo LA kwanza walitakiwa kupelekwa Uganda .baadae waka pendekeza Palestine.chuki ya waisrael dunian kote ilikuwa nikiwaona wao ndio walimuua yesu sasa mataifa yaliwachukia ndio mana Hitler alitaka kuwafuta kabisa.
 
Waislamu hawakuwapokea ilikuwa niamri toka kwa British. Ila chaguo LA kwanza walitakiwa kupelekwa Uganda .baadae waka pendekeza Palestine.chuki ya waisrael dunian kote ilikuwa nikiwaona wao ndio walimuua yesu sasa mataifa yaliwachukia ndio mana Hitler alitaka kuwafuta kabisa.
Vyovyote vile, kila mmoja na uelewa wake. Sasa tupo kazini kuhakikisha Wapalestina wanaipata haki yao kwa nguvu au kwa hiyari.
 
Video ya kile kinachoitwa 'kombe la vita' imetolewa na Brigedi za Al Quds za Islamic Jihad. Video hiyo inaonyesha ndege isiyo na rubani ya Israel 'Sky Racing' iliyodunguliwa na wapiganaji wa Islamic Jihad wakati wa makabiliano ya Ghaza. Maelezo yaliyotajwa kwenye drone yalisomeka: "Sky Racing Drone Model No. 528." Jina la mtengenezaji, Elbit Systems, pia limetajwa kwenye drone. Wakati huo huo, mbali na Hamas na Islamic Jihad, kundi la tatu la Ghaza pia linaongeza mashambulizi. 'Mujahideen Brigades' imetoa video ya shambulio la roketi dhidi ya vikosi vya Israel.

Chanzo: #alquds #islamicjihad #mujahideenbrigade #israelpalestineconflict #israeliarmy #idf #palestine #gaza

Licha ya ndege hiyo pia wameonesha silaha zingine za kisasa walizoziteka kutoka kwa mazayuni ambazo sasa wanazitumia kuwatandikia mazayuni. Jionee:

View attachment 2849854
HAKIKA Allah hawatupi waja wake
Inshaallah Hamas na Waislamu wote watashinda katika hii vita na nyinginezo dhidi ya mayahudi na manaswari
 
Kuna watu hawana akili halafu wanaongozwa na kujiamini. Eti waliouleta ukristo walikaribishwa waisalamu🤣🤣

SMH!!! Anyways hongereni kwa kombe🎓
 
Hili kundi jpya lililojitokeza Ghaza ni hatari kuliko Hamas:

 
Unadhani yupi bora kati ya anayeenda kuimba mapambio na anayeenda kupigwa pvmbu?unaonekana unapenda sana ngono wewe na hivi unaonekana umeanza kuuingia uzee sijui wakati wa usichana wako ilikuwaje.

Yaani upigwe miti duniani na wanaume mbalimbali tena unasubiri ukapigwe na group la wengine 72 randomly huko kwa alah?
Ngono ni sitarehe kuliko sitarehe yeyote hapa ulimwenguni sasa mapambio yana faida gani zaidi ya kupayuka kama kichaa na kujichosha?

Ww mama yako asinge fanya ngono na baba yako ww ungekuwepo hapa ulimwenguni ukiimba hayo mapambio unayo yasema?

Au ww huyo mke uliye naye umemuoa ili kuimba mapambio kitandani?
Mkitaka kuandika jambo muwe mnalipima ili msioneshe jinsi mlivyo wapumbavu.
 
Ngono ni sitarehe kuliko sitarehe yeyote hapa ulimwenguni sasa mapambio yana faida gani zaidi ya kupayuka kama kichaa na kujichosha?

Ww mama yako asinge fanya ngono na baba yako ww ungekuwepo hapa ulimwenguni ukiimba hayo mapambio unayo yasema?

Au ww huyo mke uliye naye umemuoa ili kuimba mapambio kitandani?
Mkitaka kuandika jambo muwe mnalipima ili msioneshe jinsi mlivyo wapumbavu.
Heheeee
Naunga mkono hoja
 
Waislamu hawakuwapokea ilikuwa niamri toka kwa British. Ila chaguo LA kwanza walitakiwa kupelekwa Uganda .baadae waka pendekeza Palestine.chuki ya waisrael dunian kote ilikuwa nikiwaona wao ndio walimuua yesu sasa mataifa yaliwachukia ndio mana Hitler alitaka kuwafuta kabisa.
Acha uongo. Walichukiwa kwasababu ya kujifanya wajuaji na specially yahani ni wateule wa mungu na roho zao mbaya za ubaguzi
 
FaizaFoxy ni lini utajiunga na HAMAS na wewe ukawasaidie kukamata Kombe la Vita kama hilo? Maana Hamas wanahitajika kuyakamata mengi hayo makombe ya Vita (Trophy) kutoka Jeshi la Mazayuni Gaza.
 
Back
Top Bottom