SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Taarifa zaidi zinadokeza
kimeandaliwa kikundi cha Dharula cha kumshambulia Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe kwenye mitandao ya kijamii , redioni , barabarani , vichochoroni na kwenye TV na media zote.
Hivi, nauliza tu; Mbowe huwa anashambuliwa au anajishambulia?
Changa hili......Tunataka Bandari yetu!
Kamata haoooo, shika haoooo
Naendelea kuamini,Maridhiano, nyuma ya pazia, ni Kugawana Dola tu. Mengine, tumia udadisi wako tu...