Mcheza kamari
Member
- Sep 13, 2021
- 50
- 108
Duuh Watu wanayo mawe wengine tunasurvive kwa kamaliNaam. Kiingilio 500,000,000 tu.
Watu unaokaa nao, utafanana naoView attachment 3206100
View attachment 3206095
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh Watu wanayo mawe wengine tunasurvive kwa kamaliNaam. Kiingilio 500,000,000 tu.
Watu unaokaa nao, utafanana naoView attachment 3206100
View attachment 3206095
Na cha wanyapia mbususu 😹Na chawachangia shahawa pia kiwepo
Ewaaa! Muhimu hicho.Na cha wanyapia mbususu 😹
Kama ni kweli bas tutafuye pesa Kwa bidii.Lakini ninachojiuliza hicho kikundi madhumuni yake ni Nini?Maana itakuwa ujinga kikundi Cha pesa nyingi Hivyo halafu madhumuni yawe kuchangia misiba au harusiUna mawazo kama yangu mkuu, na hii yote inasababishwa na umasikini wetu.
Tutafute hela mkuu, au ulikuwa badohauna ufahamu kipindi kile Pro. Tibaijuka anaiita shilingi bilioni moja ya kipindi kile kuwa ni hela ya mboga huku Bwana. Andrew Chenge a.k.a Jika la Makengeza akiita vijisenti
Kinatafuta Dola, kwa kuchangia baadhi yao kugombea ubunge na UraisKama ni kweli bas tutafuye pesa Kwa bidii.Lakini ninachojiuliza hicho kikundi madhumuni yake ni Nini?Maana itakuwa ujinga kikundi Cha pesa nyingi Hivyo halafu madhumuni yawe kuchangia misiba au harusi
Yani viinua mgongo vya watumishi wa ngazi "njema" serikalini ndiyo kiingilio chao.Daadeeki!Waendelee tu kuwa Royal mimi naendelea kuwa loyal.Naam. Kiingilio 500,000,000 tu.
Watu unaokaa nao, utafanana naoView attachment 3206100
View attachment 3206095
Hapo nimekuelewa vyema.Kinatafuta Dola, kwa kuchangia baadhi yao kugombea ubunge na Urais
Hao ni potential investors or garantors or sponsors.Kama ni kweli bas tutafuye pesa Kwa bidii.Lakini ninachojiuliza hicho kikundi madhumuni yake ni Nini?Maana itakuwa ujinga kikundi Cha pesa nyingi Hivyo halafu madhumuni yawe kuchangia misiba au harusi
Nakuona mzee unaeamini kwenye kushindwa....wenzako 500m ni kama wewe unavyoiona elfu 50 ya kiingilio kwenye kikundi chenu. Wenzako ni wafanyabiashara wakubwa wanajua wakitupia million 500 Kila mwanachama, kama wapo 20 wanapata bilion 10 mtaji wa pamoja hivyo mikopo midogo midogo ya million 20 wanachukua kwenye kikundi huku bank wanaenda kwa mikopo mikubwa mikubwaUongo.hakuna kikundi Cha kiingilio milioni Miatano ispokuwa kaongea kama utani na kufanya gumzo Kwa watu.Milioni Miatano ni sawa V8GXR new model.waache utani.
😹😹😹 nouma sana😭😭 Bora nyie sie buku ziwe 10.
NdiyoooNakuona mzee unaeamini kwenye kushindwa....wenzako 500m ni kama wewe unavyoiona elfu 50 ya kiingilio kwenye kikundi chenu. Wenzako ni wafanyabiashara wakubwa wanajua wakitupia million 500 Kila mwanachama, kama wapo 20 wanapata bilion 10 mtaji wa pamoja hivyo mikopo midogo midogo ya million 20 wanachukua kwenye kikundi huku bank wanaenda kwa mikopo mikubwa mikubwa
Kuna wanaendesha gari za 500-700m sasa utashangaa mtu kuwekeza 500m kwenye billionaires club? Hii aliowekeza kwenye kikundi ni kama security kwake anytime anahitajo hela anaipata kwa masharti nafuu.Nakuona mzee unaeamini kwenye kushindwa....wenzako 500m ni kama wewe unavyoiona elfu 50 ya kiingilio kwenye kikundi chenu. Wenzako ni wafanyabiashara wakubwa wanajua wakitupia million 500 Kila mwanachama, kama wapo 20 wanapata bilion 10 mtaji wa pamoja hivyo mikopo midogo midogo ya million 20 wanachukua kwenye kikundi huku bank wanaenda kwa mikopo mikubwa mikubwa
Watu wana pesa mzee sio poaUongo.hakuna kikundi Cha kiingilio milioni Miatano ispokuwa kaongea kama utani na kufanya gumzo Kwa watu.Milioni Miatano ni sawa V8GXR new model.waache utani.