Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

Kikundi kipya cha Magaidi kimeanza kuua Wananchi huko Nigeria kinaitwa Lukarawa

M

Mnawasingizia Bure hao marekani, ninyi mnafanya nini?? Yaan USA na hao wakristo wamewashika akili kiasi gani mpaka kila jambo baya watakalo mnalifanya?

Shida kubwa ni hiyo dini ya kipuuzi ya uislam ambayo ndio TOOL nambari moja ya kuwatumia vijana masikini kuwaaminisha kuwa kuwaua wasioamini hiyo imani watapata thawabu sijui vitu gani huko kwa Allah,

Uislam ni njia mojawapo ya kumtawala mjinga afuate matakwa ya bwana wake kwa kuaminishwa vitu nje ya uhalisia.

Dini zote ni tatizo hapa dunian lkn uislam unaongoza kwa maovu, na iaminike kuwa wamiliki wa hivyo vikundi huenda na hata si waislam na hawana habari na huo uislam bali wako kimaslahi, lkn hizo kondoo(magaidi) zinaaminishwa upuuzi kupitia uislam maana ndio njia ambayo inaweza kuwaaminisha kuharibu mali za wengine ni halali, kutoa maisha ya wengine ni halali, kumbe deep down wanatekeleza maagizo ya wakubwa wao na si huyo Allah ambaye kaundwa na waanzilishi wa dini.

Magaidi nambari moja ni hao viongozi wa kidini wanaoshindwa kuziaminisha kondoo zao(wafuasi) ukweli ni upi na kudumisha upendo baina yao na wasiofuata imani zao.

Magaidi nambari 2 ni wanasiasa&viongozi wanaonunulika na kusahau majukumu yao, inashangaza sana nchi yenye jeshi, rasilimali na pesa inashindwa kukomesha upuuzi wa wapumbavu wachache wasio na uwezo wowote kielimu na hata kivita zaidi ya kumiliki Chuki& roho mbaya walizopandikizwa kuhusu imani.

Magaidi wa 3 ni hao mabwana zenu mnaopokea misaada yao na hao wanaowafadhili kwa namna yoyote ile.

Tunasema kila siku, dini ililetwa kumtawala mtu na kumuaminisha uongo, imagine dini zisingekuwepo, hao wahuni wangepata wapi wafuasi&majambazi wa kuwaaminisha kuwa kumtoa uhai asiye wa upande wako ni vizuri?

Dini zisingekuwepo hao wahuni na wezi wa rasilimali wangetumia njia ipo kuwagombanisha raia na serikali zao?

Dini zisingekuwepo hao wahuni&wafadhiri&wezi wa rasilimali wangetumia mbinu gani kuwagawa waafrika kiitikadi? Maana hakuna njia nyingine ukitoa ukabila ambayo inaweza kuwagawa watu na kuchukiana nje ya Dini.

Dini ni ushetani ulioundwa kuharibu fikra za watu kwa maslahi ya wachumia tumbo&wanasiasa, dini haitomuokoa yeyote msilumbane na kuchukiana kisa dini za uzushi.

Shameful on Africans
Bonge la ujumbe.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Ugaidi kuumaliza huwa inachukua muda na inatakiwa Nchi Majirani kushirikiana Intelligence na Movement za Magaidi.

Ni kazi ya pamoja.
Huo ugaidi wa huko Nigeria unasukumwa zaidi na Ideiolojia kali za kidini zinazoenea kwa haraka kwenye jamii zenye hali ngumu ya kiuchumi na zilizosahaulika.

Huwezi kuumaliza ugaidi kutumia mabavu pekee
 
Huo ugaidi wa huko Nigeria unasukumwa zaidi na Ideiolojia kali za kidini zinazoenea kwa haraka kwenye jamii zenye hali ngumu ya kiuchumi na zilizosahaulika.
Kuna ukakasi kidogo hapo, unajua tokea Nigeria ipate Uhuru Jamii za Kaskazini ndio zilikuwa zikiongoza Taifa hilo kwa muda mrefu na uporoji mkubwa uliokuwa ukifanyika ni jamii hizo ndio zilizokuwa zikifaidika.
Kwahiyo unaposema "Jamii zilizohaulika" sijui haswa unamaana gani?.
 
Mambo haya uislamu uko mbali nayo ukichunguza hao wapuuzi hata kusoma herufi hawajui.
 
Haundi sababu lengo lake kubwa ni kuchafua haiba na sura safi ilokua nayo uislam
Haiba gani hii👇
20241113_164051.jpg
 
Sahihi. Just to create instability and weaken the ruling government.

The government may allocate entire resources (including military) to fight these groups. It may result into regions division or fall of the ruling government.

THAT'S POWER CLASHING. It's nothing other than fighting to rule.
Kuna kipindi rais wa Nigeria Buhara alitenga kila kitu jeshi walichokihitaji na bado wakashindwa.

Akaliuliza jeshi kwa sasa mnahitaji nini maana kila kitu mlichohitaji nimewapa! Kumbe wakuu wa majeshi wanatafuna asilimia kadhaa za hela halafu asilimia inayobako ndiyo wanaingiza jeshini

Msumbiji hapo Wagner walienda kupambana na magaidi ya huko ila baadaye wakaondoka. Walichogundua ni kwamba kuna viongozi serikalini wanashirikiana na hilo kundi la kigaidi.

Hivyo huwezi kuitumikia serikali hiyo hiyo ambayo huku inasema inapambana na magaidi na huku inashirikiana na magaidi.

Ukanda wa Niger inafahamika wafaransa ndiyo wanafadhili magaidi ya huko.
 
Data humu zilishawekwa za kutosha kuhusu hayo makundi ya kigaidi ya nchi za kiafrika mengi yanafadhiliwa na nani!

Na hata Niger baada ya kufanyika mapinduzi na France kuambiwa kutoa majeshi yake inafahamika walienda kufadhili makabila mengine na kuwapa silaha ili kupambana na utawala wa kijeshi ambao haukubaliani na janja janja za mfaransa.

Wewe unapindua makusudi na kupitisha agenda zako za kidini ili kuchonganisha watu humu kupandikiza chuki kwa watanzania.

Na kubwa zaidi wewe unafahamika humu siyo mtanzania, bali ni mtutsi wa Rwanda. Hupendi kuiona Tanzania ikiwa na amani unataka wachinjane kama nchi yenu huko Rwanda.
 
Uislam unaenda kwa hoja ukitaka uufate ukitaka uachane nao
Huyo jamaa ni Mrwanda, ni mtutsi!

Lengo lake ni kuchochea chuki za kidini ili watanzania wachukiane. Sijui anataka watu wachinjane kama kwao Rwanda?

Anafanya hivi makusudi ili apandikize chuki kwa jamii ya watanzania humu Jf.
 
Na kubwa zaidi wewe unafahamika humu siyo mtanzania, bali ni mtutsi wa Rwanda. Hupendi kuiona Tanzania ikiwa na amani unataka wachinjane kama nchi yenu huko Rwanda.
Mbona mnachukia sana Watutsi na Wayahudi wakati Jamii zote hizo zimepitia kwenye Genocide?!
 
Huyo jamaa ni Mrwanda, ni mtutsi!

Lengo lake ni kuchochea chuki za kidini ili watanzania wachukiane. Sijui anataka watu wachinjane kama kwao Rwanda?

Anafanya hivi makusudi ili apandikize chuki kwa jamii ya watanzania humu Jf.
Kashafeli sababu watanzania hawapo hivyo nimeishi sana dar na wakristo ndio walikua jirani zetu wakubwa wakileta kuku wachinjwe na mzee kipindi hicho mie mdogo wao wanajua kama kuchinja kwao kazi achana na huyo mhutu
 
Mbona mnachukia sana Watutsi na Wayahudi wakati Jamii zote hizo zimepitia kwenye Genocide?!
Usiwaingize wayahudi humu wewe mtutsi!

Tunafahamu lengo lako humu wala usitufanye sisi wajinga!

Mambo yenu ya kueneza chuki na kuuana peleka kwenu Rwanda!
 
Punguzeni Povu ili mjadala uwe mtamu.
 
Kashafeli sababu watanzania hawapo hivyo nimeishi sana dar na wakristo ndio walikua jirani zetu wakubwa wakileta kuku wachinjwe na mzee kipindi hicho mie mdogo wao wanajua kama kuchinja kwao kazi achana na huyo mhutu
Humu Jf anajifanya kujificha kwenye kichaka cha Ukristo ili kuwasemea mbaya waislamu, lakini hilo si lengo lake, lengo lake ni kueneza chuki kwa jamiiya watanzania wa JF.

Salamu zikufikie wewe mnyarwanda mtutsi imhotep umeshafeli pakubwa!
 
Back
Top Bottom